Messi Vs Pele

Messi Vs Pele

Eti mpira wa zamani haukuwa na kuotea, wewe kweli unajua unachoongea au unaleta tu hadithi za vijiweni, hata hujui sheria ya kuotea ilianza mwaka gani.
Wanalazimisha messsi awe bora kuliko Pele sio sawa, Messi atabaki kuwa bora kwa kizazi hiki na Second to pele.
 
Kwa hiyo Simba ikiifunga Al Ahly maana yake ligi ya Tanzania ni bora kuliko ya Misri?
Mbona TP MAZEMBE aliifunga Corinthians ya Brazil ,Je hii maana yake ni kwamba Ligi ya Kongo ilikuwa bora kuliko ya Brazil?
Aisee..., Yaani hii ligi mbovu iliweza kutoa timu ya kushinda Kombe la Bara la Ulaya na South America mara mbili.., na baadae kuchukua kombe la timu zote zilizoshawahi kushinda hilo kombe....

Hii ligi ambayo kwa kipindi hicho walishinda kombe la dunia 1958, 1962, (1966 wakafanyiwa figisu) na 1970 kipindi hicho wachezaji wote vinara wanacheza kwao (huko so called mchangani) kama hivi vipimo vyote havifai lete vya kwako....
Ubora wa timu hauwezi kutegemea tu factor ya ligi bali kuna vingi vipo vinaweza kuifanya timu kutoka ligi dhaifu kuifunga iliyo kwenye ligi ngumu na hii ndiyo football.
mara moja ni bahati mara kadhaa kuna kitu zaidi ya bahati
Umesema walishinda 1-0 then mashindano yakaishia hapo sasa hii inathibitisha ubora wa America over Europe? Yaani Cameroon kumfunga Brazil ilimaanisha Cameroon wana ligi ngumu kuliko Brazil?
Hivi hata unafuatilia mtiririko wa kinachoongeleawa ?

Kipindi hicho kulikuwa na Kombe la Bara la Ulaya na South America Santos ilishinda mara mbili na Pele akiwemo..., Likaanzishwa Kombe la Timu zote ambazo zilishawahi kushinda hili Kombe tena sio mitoano ni nyumbani na ugenini..., Real akakata Kona Inter akafungwa kwao mechi ya marudiano ambayo ingebidi ifanyike Brazil akakata tena Kona.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23] alicheza namba zote sio? Sasa tupe statistics zake kwa kila idara aliyocheza.
Mfano akiwa striker no 9 alifunga goli kadhaa
Akiwa playmaker (kiungo) alitoa asist ngapi na kushinda duels on ball ngapi , akiwa Golikipa alipata cleansheat ngapi? Akiwa beki no 2 alipiga crosses ngapi na kumdhibiti vilivyo winga yupi?

Hivo no nyingine uzitaje pia
Story za kwamba Messi ni Kiraka kazitoa mwenzako ila Pele was a perfect athletic kuna article ilitoka kwamba ange-excel kwenye michezo mingi ambayo angecheza
 
Ballon d'Or ndio takataka gani. Hajawahi kutokea mchezaji wa kufikia kiwango cha Pele katika dunia hii na labda zitapita karne nyingi.

Fifa walifanya kosa kubwa kuleta sheria nyingi na kuharibu mchezo wa soka eti ili kulinda mastaa wangefanya hivyo mapema Pele asingeacha mpira mwaka 1970 akiwa na miaka 29 tu.

Vile viatu vilivyokuwa vinatembezwa enzi hizo na akina Uruguay Messi asingecheza kabisa mpira, sasa hivi mshambuliaji akiguswa tu kadi hali inayowafanya wachezaji wacheze kwa hofu muda wote. Fifa bure kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] alicheza namba zote sio? Sasa tupe statistics zake kwa kila idara aliyocheza.
Mfano akiwa striker no 9 alifunga goli kadhaa
Akiwa playmaker (kiungo) alitoa asist ngapi na kushinda duels on ball ngapi , akiwa Golikipa alipata cleansheat ngapi? Akiwa beki no 2 alipiga crosses ngapi na kumdhibiti vilivyo winga yupi?

Hivo no nyingine uzitaje pia
Kuhusu kipa kuna game baada ya kupiga hat trick na kipa kufanya ndivyo sivyo na kutokelea Pele alichukua Gloves na kuwasaidi Santos golini

 
Pele wakati anacheza mpira alifikisha Goli 1000 Messi wakati anacheza mpira kashindwa kufikisha Goli 1000 ana jumla ya Goli kama 700hivyo kitu ambacho Pele ameweza kufanya uwanjani ni kwamba Kafunga jumla ya Goli 1000 wakati Messi amefikisha Goli 700 plus

Messi ana goli 700?? Unajua soka?
 
Kabisa yaani Haalaand na Mbappe kwa umri wao tu tayari wanafanya mambo makubwa in terms of Starts Compared na Messi na Ronaldo ila haiwezi kujustify kuwa Haaland na Mbappe ni bora kuliko messi na ronaldo, Hivo hivo kwa messi na pele, We need to pay some respect to him just imagine kuna vizazi vingapi vya Dhahabu vimepita hapa kati (Akina Garrincha, Maradona, Alfredo di stefano, george best, Michelle platini,Eusebie, De lima, Zidane,Dinho) but wote hao wamepita na watu wamekubali kuwa pele ndio bora. Watu waache ubishi eti kisa wamemuona messi akicheza football basi ndio bora kuliko Pele ambaye hawakumuona.

Ukitoa kufunga Halaand anakipi special?? Hata chenga hajui kupiga mara 100 uniweke mbappe ntakuelewa
 
Kabisa yaani Haalaand na Mbappe kwa umri wao tu tayari wanafanya mambo makubwa in terms of Starts Compared na Messi na Ronaldo ila haiwezi kujustify kuwa Haaland na Mbappe ni bora kuliko messi na ronaldo, Hivo hivo kwa messi na pele, We need to pay some respect to him just imagine kuna vizazi vingapi vya Dhahabu vimepita hapa kati (Akina Garrincha, Maradona, Alfredo di stefano, george best, Michelle platini,Eusebie, De lima, Zidane,Dinho) but wote hao wamepita na watu wamekubali kuwa pele ndio bora. Watu waache ubishi eti kisa wamemuona messi akicheza football basi ndio bora kuliko Pele ambaye hawakumuona.

Na kwa age ya Halland na Mbappe Messi alikua kanyanyua Uefa ana mafanikio kibao
 
Pele anabaki kushindana na Maradona japo Pele anabaki kuwa mkali wa muda wote.
Mess anabaki kushindana na CR7 wao Wana daraja lao ila Zidane na Gaucho awa nawaweka kwenye daraja lao peke Yao,
Wao Si tu walikua wakicheza mpira ila waliufanya mpira kuwa Sanaa ya ajabu kabisa.
Kwe sanaa ya kuuchezea mpira mbona unamsahau Jay Jay Okocha?
 
Umesoma niliyoandika ? Ngoja nirudie na kukupa link...

Offside ya zamani haikuwa tu marginally bali ilitakiwa yawepo majamaa mawili mbele yako ambayo ni ruksa kukupiga kiatu na hata mtu wa nyuma kukubiga kiatu kutokea nyuma..

Hebu jipe elimu hapo chini... (Ili mkiwa mnadanganyana kwamba mpira zamani ulikuwa hauna offside uweze kuwarekebisha wenzako)
Even during the early years of soccer, the problem with players “goal hanging” was evident. Players would stand around the goal waiting for the right opportunity. In order to prevent this, the offside rule was born. Let’s take a look at the history of the offside rule.

The Offside Rule – 1863
history-offside-1863.gif

The offside rule originated in 1863. A player was considered offside unless three players of the opposing side are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is considered offside because only two players are in front of him.

The Offside Rule – 1925
history-offside-1863.gif


The offside rule was changed in 1925. A player was considered offside unless two players of the opposing team are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because two players are in front of him.

The Offside Rule – 1990

history-offside-1990.gif


The offside rule was changed again in 1990. A player is onside if he is level with the second-to-last player of the opposing team (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because he is level with the second-to-last player.

Even though the rule has changed a couple times, many still have issues with the rule. Some say making an offside call is impossible and feel that FIFA should change the rule again. Only time will tell!

Oya huyo jamaa usihangaike naye ana kila dalili za kuwa mshabiki wa Yanga

Hapo utakesha
 
Back
Top Bottom