Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah, Google ipo kwa ajili yako kijana, usinichoshe... Got em........!!!?Ah ah ah ah ah ah mbona mbovu kijana! Btw huwa nasikia hizo records just mention
Eboo!!! We nawe ni mwanamichezo/mpenzi wa soka!!!? Kama ni mwanamichezo kwa nini hujui Messi anafanya nini kwenye soka au Ronaldo anafanya nini kwenye soka au hata Rooney anafanya nini kwenye soka! Kama we ni mwanasoka si kazi yangu kukutajia rekodi fulani inashikiliwa na mchezaji fulani au fualani anashikilia rekodi kadhaa, kama sio mwanasoka please usinichoshe mie... Got em....!!!!!?
There is only one Ronaldo, Ronaldo de lima
Ronaldo anajikakamua, Messi anaufurahia mpira na kutandaza kabumbu safi.
What Cristiano Ronaldo is doing now, Leo Messi has done years ago...
Mbona umecomment kichuki chuki? Messi hajawahi kuwa overratedand there is only one ooverrated dwarf..messi (mess actually)
Mbona umecomment kichuki chuki? Messi hajawahi kuwa overrated
Mbona umecomment kichuki chuki? Messi hajawahi kuwa overrated
Anawivu huyooo
sasa kama huwezi kutaja data basi huna la kuongea..support your arguements with data