Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Cristiano Ronaldo, mchezaji bora kuwahi kutokea kwrnye historia ya mchezo wq Soka!!
sawa...na unasemaje kuhusu Magician Messi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cristiano Ronaldo, mchezaji bora kuwahi kutokea kwrnye historia ya mchezo wq Soka!!
Cristiano Ronaldo, mchezaji bora kuwahi kutokea kwrnye historia ya mchezo wq Soka!!
Cristiano Ronaldo, mchezaji bora kuwahi kutokea kwrnye historia ya mchezo wq Soka!!
Cristiano Ronaldo, mchezaji bora kuwahi kutokea kwrnye historia ya mchezo wq Soka!!
Kama kurukaruka juu ya mpra uku mpra uko palepale ntakubaliana na ww chrstna hana mpnzani kwa hilo yuko juu na anduje haoni ndani.
Kigezo cha kitaalam ni kuangalia wastani wa magoli ya mchezaji kwa kila mechi. Tangu Messi aanze kucheza la liga mwaka 2004, amefunga magoli 283 katika mechi 312 hivyo wastani wa magoli kwa kila mechi kwa Messi ni 0.9. Yaani kwa wastani dakika 90 hazimtoshi kupata goli moja inabidi akope dakika kadhaa kwenye mechi ya pili ili apate goli moja.
Ronaldo alianza kuchezea la liga mwaka 2009. Amefunga magoli 220 katika mechi 196, ikiwa ni wastani wa magoli 1.13 kwa kila mechi. Yaani Ronaldo anahitaji pungufu ya dakika 90 kupata goli moja. Kwa kigezo hicho cha kitaalam Ronaldo ni mchezaji mzuri zaidi ya messi na kasi yake ya kufunga magoli haijawahi kutokea!
Kigezo cha kitaalam ni kuangalia wastani wa magoli ya mchezaji kwa kila mechi. Tangu Messi aanze kucheza la liga mwaka 2004, amefunga magoli 283 katika mechi 312 hivyo wastani wa magoli kwa kila mechi kwa Messi ni 0.9. Yaani kwa wastani dakika 90 hazimtoshi kupata goli moja inabidi akope dakika kadhaa kwenye mechi ya pili ili apate goli moja.
Ronaldo alianza kuchezea la liga mwaka 2009. Amefunga magoli 220 katika mechi 196, ikiwa ni wastani wa magoli 1.13 kwa kila mechi. Yaani Ronaldo anahitaji pungufu ya dakika 90 kupata goli moja. Kwa kigezo hicho cha kitaalam Ronaldo ni mchezaji mzuri zaidi ya messi na kasi yake ya kufunga magoli haijawahi kutokea!
ebu mjiulize nes kacheza ligi gani ngumu zaidi ya laliga?ni kwa nini msiseme iniesta ni boraa?ni kwa nini msiseme xav?ili hali hao ndo wanaojua aliko na kumtengenezea tusiwe tunakaririshwa na wazungu,cr7 katoka lisbon kangaa kaja mun u kachukua balon dio kaenda hispania kawa moto wa kuotea mbal unawezaje kufananisha na mpika chips ness?
You know nothing abt football dude.
Kaa kimya tu, wanajua mpira na waliocheza kwa kiwango cha juu waongee.
Kigezo cha kitaalam ni kuangalia wastani wa magoli ya mchezaji kwa kila mechi. Tangu Messi aanze kucheza la liga mwaka 2004, amefunga magoli 283 katika mechi 312 hivyo wastani wa magoli kwa kila mechi kwa Messi ni 0.9. Yaani kwa wastani dakika 90 hazimtoshi kupata goli moja inabidi akope dakika kadhaa kwenye mechi ya pili ili apate goli moja.
Ronaldo alianza kuchezea la liga mwaka 2009. Amefunga magoli 220 katika mechi 196, ikiwa ni wastani wa magoli 1.13 kwa kila mechi. Yaani Ronaldo anahitaji pungufu ya dakika 90 kupata goli moja. Kwa kigezo hicho cha kitaalam Ronaldo ni mchezaji mzuri zaidi ya messi na kasi yake ya kufunga magoli haijawahi kutokea!