Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mess yuko juu coz yupo Kwa ajili ya timu lakini CR ni mbinafsi
Messi si wa kumlinganisha na christian hata style ya uchezaji na improvision zao ni tafauti tena kibaya zaidi Cr7 anapocheza hasa ktk La liga anafikiria sana amshinde messi kwahiyo anatumia nguvu nyingi ili afunge goli zaidi amshinde messi Sasa Messi yeye huangaika kwa kila hali ili timu ishinde,ili wenzake wafunge na ikiwepo chance hata yeye afunge hapo ndipo penye tofauti yao nyingine kubwa!
Ni Messi, nasema ni Messi, kwangu mimi ni Messi,yaani hakuna kama Messi, hata Gaucho simuweki level ya Messi, nasema kwangu mimi ni Messi tuu, Messi!!!!!!!
Messi si wa kumlinganisha na christian hata style ya uchezaji na improvision zao ni tafauti tena kibaya zaidi Cr7 anapocheza hasa ktk La liga anafikiria sana amshinde messi kwahiyo anatumia nguvu nyingi ili afunge goli zaidi amshinde messi Sasa Messi yeye huangaika kwa kila hali ili timu ishinde,ili wenzake wafunge na ikiwepo chance hata yeye afunge hapo ndipo penye tofauti yao nyingine kubwa!
Asante sana , pia kocha wa asernal bwana wenga alisema ukiangalia mpira anaocheza mess ni kama mpira wa kwenye kompruta maana anakuwa kama hana mfupa ili muuliza swali aschoke sn amuuliza pepo gadiola ama alex fagason wanayo majib ya huyo mdudu Mess ni habari nyingine kabsa
kaka hiyo pekee ndiyo sababu inayokushawishi kusema messi ni zaidi ya ronaldo au kuna mengine?
Hata huyu morinho anamuogopa messi ndo maana alikimbia spain
Messi akitoweka duniani ndo Ronaldo atachukua nafasi.
Mesi+Ronaldo+Neymar+Suarez # Gaucho akiwa majeruhi
Hupo serious Mkuu