Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

Messi namfananisha na Luxury car like Alteza kwenye Lami utaipenda lakini kwenye Tope na Makorongo inachemsha, Ronaldo namfananisha na gari zenye muundo wa Station Wagon like BMW X5 kwenye Lami utaenjoy kwenye makorongo na mvua bado utaenjoy so Ronaldo popote pale utakapomuweka hawezi kukuangusha sio km Messi ana mechi zake na timu zake za kuzifunga timu ikizidiwa hawezi kutoa msaada wowote anafichwa zaidi.
 
Rinaldo uwezi kumfananisha na takataka messi kwani hata magoli yete aliyofunga kwa jumla ni mengi sana mess hafiki hata nusu. Ninaposema yote namaanisha aliyoyafunga akiwa fc porto, united, Madrid na timu yake ya taifa. Pia ronaldo amedhiirisha kwamba yeye ni bora kwa kecheza timu tofauti tofauti na kupata mafanikio makubwa kwa kila timu aliyoichezea na kuwa kunara wa ufungaji magoli
Pia tukumbuke ronaldo amecheza na viungo katika timu tofauti lakini pamoja na hayo yote ameendelea kutesa kama kawaida.

Sasa tumwangalie messi, ninasema hata nigekuwa mimi, ukaniweka pamoja na iniesta na sharvi kwa muda mrefu nikazoea, kucheza na hao viumbe wa ajabu katika soka, nisingeshindwa keep tu chochote. Au chukulia ronaldo ka angepata nafasi ya kucheza pamoja na hao niliowataja ingekuwaje?
Wote bila shaka mtakubaliana na Mimi kwamba messi ameshindwa kupata mafanikio katika timu yake ya taifa kwa sababu ya kuwakosa hao watu wawili yaani iniesta na shavi.

Hivyo basi messi ninamuona kuwa wa kawaida sana kwa sababu ameshindwa kucheza na kupata mafanikio akiwa hana hao kina iniesta na shavi, lakini ronaldo ninamuona ni bora sana zaidi ya messi kwa sababu amefanikiwa katika timu zote alizozichezea akiwa na wachezaji tofauti tofauti, na kufanikiwa kufunga magoli kama atakavyo.
 

Messi anafananishwa na Malaika waliopo Mbinguni huku Ronaldo anafananishwa na Mashetani yaliyopo duniani.
 
Mess habari nyingine mkuu .....Mimi binafsi nilishanyooka Mikono tangia majuzi sitaki tena kumfananisha mess na watu wa dunia hii! Mess siyo mchezaji wa sayari hii! Jamaa hata mpige pini vipi mtaishia kupata njano,nyekundu,au penalty.. CR7 akishapigwa pini anaishia kulalama tu kurusha rusha mikono!
 
Unaongea pumba tupu
 

we sio mzma kwani cr kajiuza au kanunuliwa acha uzuzu mess bola atakama angekua anacheza kagera shuga
 
Kwani messi kafanya jambo gani la kumfananisha na Ronaldo! kwanza kaisaidia timu yake kuingia nusu fainali na mwaka jana alikuwa jongoo kwa kuchukua UEFA na mwaka jana kaichangia timu yake ya ureno achukue ndoo!
ureno kaisaidia kwa lipi aswaa zaid ya wenzake ndo walipambana iyo juz ubola wa magoli ya ofside ujui mpila shabik wa man u ww mess kafanya mengi abebwi kama cr daaah kubishana na viraza jau
 
Kwa haya maandishi yako basi hata Muller wa Germany nae ni bora kuliko messi maana nae kabeba World cup!?

Sometimes katika maisha kuna watu wana bahati ila hawana uwezo na hapa tunazungumzia uwezo not otherwise.
 
Hilo halipo na haya ndio mungu hayataki eti kati ya mungu na shetani nani ana nguvu eti unasema wote wanalingana kisha na shetani nae ana super power!? Nop!

Be specific kati ya Messi na Ronaldo nani fundi basi!

Kwa mtazamo wangu kiuwezo wa mchezeshaji hata Marcelo ni bora kuliko Ronaldo wenu ambae anaweza kuwa anamzidi Marcelo mafanikio na sio uwezo.
 
Kwani messi kafanya jambo gani la kumfananisha na Ronaldo! kwanza kaisaidia timu yake kuingia nusu fainali na mwaka jana alikuwa jongoo kwa kuchukua UEFA na mwaka jana kaichangia timu yake ya ureno achukue ndoo!
Ronaldo alikuwa mshabiki 2 kubusu ureno washkaji wengine ndo wamekomaa hata uefa Sergio ramosi ndo kapga kaz
 
World cup final two copa american final olyimpic medal jamani kwani.mpk ulibebe hilo.kombe ndio uwe umeisaidia nchi. Wangapi wamefika wolrld cup final?? Mwacheni messi ni wadunia nyingine ambayo ronaldo haruhusiwe kuingia.
So torress ni bora kuliko messi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…