The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Sasa kwann wanamsumbua..Mimi sio fan wa Arsenal ila ozil ni miongoni mwa wachezaji ambao nilikuwa napenda huduma yake
GunduuuSasa kwann wanamsumbua..
Mbn Jones ana gundu lakini hafukuzwi?Gunduuu
Labda na nidhamu ya ndanMbn Jones ana gundu lakini hafukuzwi?
Sasa kama ishu ndy hiyo, anapelekwaje timu ya vijana wakati ananusa 30, wangemwacha hata kama wameamua kumtengaSina uhakika ila naamini kabisa kua issue inaweza kua ni kwa kutetea haki za wale waislamu wanaoteseka kule China,maana Mchina alipiga mkwala kua kila mechi atakayocheza Ozil wao hawataionyesha kule kwao,na mambo ya Advertisement kwa Ozil,kifupi alichanganya Dini,Siasa pamoja na soka,
N.Team hakuondolewa bali alijitundika mwenyeweHata national team ya Ujerumani aliondolewa
Soma tena unielewe mkuu,Arsenal haikua na choice coz angeendelea kuitia timu hasara hasa mambo ya Matangazo na sponsorship.Sasa kama ishu ndy hiyo, anapelekwaje timu ya vijana wakati ananusa 30, wangemwacha hata kama wameamua kumtenga
Sawa, kwahy alichofanyiwa ni sawa?Soma tena unielewe mkuu,Arsenal haikua na choice coz angeendelea kuitia timu hasara hasa mambo ya Matangazo na sponsorship.
Adhabu waliompa kweli ni kubwa kuliko kawaida..unajihisi umetengwa na kila mtuMshkaji alianza dharau kwa kuwa anapokea mpunga mrefu zaidi ya wachezaji wote. Inasemekana alikuwa pia hahudhurii online meetings za wachezaji. Yaani anamzidi mshahara hadi Arteta kwa mbali sana.
Huenda aligoma pia kuwa loaned out panoja na kukataa pay cut.
Ila adhabu wanayompa ni kubwa sana.
Kama issue ni pay cut basi hata Martinel aligoma kukatwa mshahara ila bado yupo Arsenal.Mshkaji alianza dharau kwa kuwa anapokea mpunga mrefu zaidi ya wachezaji wote. Inasemekana alikuwa pia hahudhurii online meetings za wachezaji. Yaani anamzidi mshahara hadi Arteta kwa mbali sana.
Huenda aligoma pia kuwa loaned out panoja na kukataa pay cut.
Ila adhabu wanayompa ni kubwa sana.
Mkuu,hakuna sehemu yeyote niliyosema kua alichofanyiwa Ozil ni sawa au sio sawa,ninachojaribu ni kuchangia mada kama ilivyouliza kwa kutaka kujua roots cause ya matatizo ya Ozil ndani ya Arsenal na EPL kwa ujumla.Sawa, kwahy alichofanyiwa ni sawa?
The Icebreaker, nimekuelewa..kwahy alichofanyiwa kwa upande wako ni sawa?Mkuu,hakuna sehemu yeyote niliyosema kua alichofanyiwa Ozil ni sawa au sio sawa,ninachojaribu ni kuchangia mada kama ilivyouliza kwa kutaka kujua roots causeya matatizo ya Ozil ndani ya Arsenal na EPL kwa ujumla.
Mkuu,mimi siwezi kusema kama ni sawa au sio sawa ila hii ni issue ya financial pia ikiwajumuisha FA coz Mchina alisema atakata "Support' yake EPL.The Icebreaker, nimekuelewa..kwahy alichofanyiwa kwa upande wako ni sawa?
Itakua FA nao wanahusika kwasababu hatujasikia kauli ikitolewa na wao, la sivyo wangekua mstar wa mbele kumteteaMkuu,mimi siwezi kusema kama ni sawa na sio sawa ila hii ni issue ya financial pia ikiwajumuisha FA coz Mchina alisema atakata "Support' yake EPL.
kiukweli sisi wakistro ni wabaguzi na tuna visasi vikali kuliko waislam, Ozil anaadhibiwa kwa kutetea hadharan haki za waislam, Ronaldo 'C7' alifurushwa real Madrid na kuuzwa Italy kwa kutamka tu kuwa hafurahishwi na jinsi waisrael wanavyo watendea wapalestina na hapo alifichua internal feelings zake ambazo ki ukweli wakistro wengi tunazo dhini ya Israel……..Sina uhakika ila naamini kabisa kua issue inaweza kua ni kwa kutetea haki za wale waislamu wanaoteseka kule China,maana Mchina alipiga mkwala kua kila mechi atakayocheza Ozil wao hawataionyesha kule kwao,na mambo ya Advertisement kwa Ozil,kifupi alichanganya Dini,Siasa pamoja na soka,
Hata national team ya Ujerumani aliondolewa baada ya ile issue yake na raisi wa Uturuki Recey tayyip Erdogan,ikumbukwe kua Ozil ni Mjerumani mwenye asili ya Uturuki.