Mesut Ozil kafanyaje?

Mesut Ozil kafanyaje?

Umeguswa pambaya.[emoji16][emoji16][emoji16]
Dini zisiwatie upofu na kuwatoa akili maana mnaonekana wapumbavu sana....ita Koleo kwa jina lake na si kijiko kikubwa...halafu ukini quote jadili mada usiniandikie misemo ya "kike" la huwezi pita kimya.
 
Dini zisiwatie upofu na kuwatoa akili maana mnaonekana wapumbavu sana....ita Koleo kwa jina lake na si kijiko kikubwa...halafu ukini quote jadili mada usiniandikie misemo ya "kike" la huwezi pita kimya.
We unafikiri kuna mtu anataka kusikia TAARABU zako mkuu?.Ebu kitulize kwanza.[emoji28]
 
Sina uhakika ila naamini kabisa kua issue inaweza kua ni kwa kutetea haki za wale waislamu wanaoteseka kule China,maana Mchina alipiga mkwala kua kila mechi atakayocheza Ozil wao hawataionyesha kule kwao,na mambo ya Advertisement kwa Ozil,kifupi alichanganya Dini,Siasa pamoja na soka,

Hata national team ya Ujerumani aliondolewa baada ya ile issue yake na raisi wa Uturuki Recey tayyip Erdogan,ikumbukwe kua Ozil ni Mjerumani mwenye asili ya Uturuki.
Inasemekana hizo ndio sababu kwa mujibu wa baadhi ya vyombo vya habari vya uingereza
 
Lakini ninachojiuliza Ni kwanini arsenal wasivunje mkataba wa ozil ili waepukane moja kwa moja na matatizo haya, lakini pia kumruhusu ozil kwenda sehemu nyingine



Umeelezea vzr ila kuna changamoto nyengine. Ozil hauziki coz Timu nyingi zinakwepa ile salary package yake.
Siyo kumuuza Bali ku terminate mkataba.
Ozil kucheza kikosi Cha vijana hakuifaidishi chochote arsenal zaidi ya kuendelea kumlipa mshahara ambao arsenal haifaidiki nao
Pia serikali ya China Bado haijaridhishwa na maamuzi haya na inataka ozil aondolewe kabisa arsenal.
Nafikiri Arsenal wakimuuza itawasidia kurudisha amani na serikali ya China. Lakini pia itamfungulia mlango ozil kwenda sehemu ambayo atakuwa na furaha.

Lakini pia timu za uturuki zitamnunua tu ozil.
 
Arsenal nao pia wanamuhitaji Ozil Vile vile, sina data za 2020 ila mpaka mwishoni mwa mwaka jana Ozil ndio alikuwa anaongoza Mauzo ya Jezi, Alimpita mpaka Auba. Hivyo hata kama Hachezi anawaingizia Arsenal mpunga Mrefu.
Basi hii ndiyo sababu ya arsenal kung'ang'ana abaki.
 
Hiki ndy kinamtafuna Ozil
IMG_20201030_152940_148.JPG
 
Back
Top Bottom