Mesut Ozil kafanyaje?

Umeguswa pambaya.[emoji16][emoji16][emoji16]
Dini zisiwatie upofu na kuwatoa akili maana mnaonekana wapumbavu sana....ita Koleo kwa jina lake na si kijiko kikubwa...halafu ukini quote jadili mada usiniandikie misemo ya "kike" la huwezi pita kimya.
 
Dini zisiwatie upofu na kuwatoa akili maana mnaonekana wapumbavu sana....ita Koleo kwa jina lake na si kijiko kikubwa...halafu ukini quote jadili mada usiniandikie misemo ya "kike" la huwezi pita kimya.
We unafikiri kuna mtu anataka kusikia TAARABU zako mkuu?.Ebu kitulize kwanza.[emoji28]
 
Inasemekana hizo ndio sababu kwa mujibu wa baadhi ya vyombo vya habari vya uingereza
 
Siyo kumuuza Bali ku terminate mkataba.
Ozil kucheza kikosi Cha vijana hakuifaidishi chochote arsenal zaidi ya kuendelea kumlipa mshahara ambao arsenal haifaidiki nao
Pia serikali ya China Bado haijaridhishwa na maamuzi haya na inataka ozil aondolewe kabisa arsenal.
Nafikiri Arsenal wakimuuza itawasidia kurudisha amani na serikali ya China. Lakini pia itamfungulia mlango ozil kwenda sehemu ambayo atakuwa na furaha.

Lakini pia timu za uturuki zitamnunua tu ozil.
 
Arsenal nao pia wanamuhitaji Ozil Vile vile, sina data za 2020 ila mpaka mwishoni mwa mwaka jana Ozil ndio alikuwa anaongoza Mauzo ya Jezi, Alimpita mpaka Auba. Hivyo hata kama Hachezi anawaingizia Arsenal mpunga Mrefu.
Basi hii ndiyo sababu ya arsenal kung'ang'ana abaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…