Metacha Mnata ni golikipa kweli?

Metacha Mnata ni golikipa kweli?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Golikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia Yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .

Mwigulu Nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya Tanzania bara kwa kuinunua Ihefu na kuigeuza msekure wa Yanga kama ilivyokuwa kwa Singida.

Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,

Angalizo; msije na povu kuwa Simba amefungwa na Yanga au Camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa Manara Simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka TFF yenyewe!
 
Golikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .

Mwigulu nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya tanzania bara kwa kuinunua ihefu na kuigeuza msekure wa yanga kama ilivyokuwa kwa singida.

Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,

Angalizo; msije na povu kuwa simba amefungwa na yanga au camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa manara simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka Tff yenyewe!
Milango ipo wazi kwa Mo Kanjibai kudhamini timu nyingine ,halafu mwambieni TAJIRI janja janja alete wachezaji wa ukweli asiokoteze ,amwage Mpunga ,azizi watu wamewekeza zaidi ya 400m halafu mnataka mshindane na Yanga?
 
Milango ipo wazi kwa Mo Kanjibai kudhamini timu nyingine ,halafu mwambieni TAJIRI janja janja alete wachezakji wa ukweli asiokoteze ,amwage Mpunga ,azizi watu wamewekaza zaidi ya 400m halafu mnataka mshindane na Yanga?
Jikite kwenye mada Mo anaingiaje!
 
Golikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .

Mwigulu nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya tanzania bara kwa kuinunua ihefu na kuigeuza msekure wa yanga kama ilivyokuwa kwa singida.

Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,

Angalizo; msije na povu kuwa simba amefungwa na yanga au camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa manara simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka Tff yenyewe!
Una matatizo wewe si bure, huyo Ping ping angedaka huyo.
 
Usiumie mafanikio ya wenzako, jipangani na nyie mtakua bora kama Yanga, football is a process, kila kitu ingekua ni hela hata Azam na Chelsea kwa pesa walizonazo wamiliki wao wangechukua makombe back to back !
Wanafanya haki lilah sio magahamu nyuma ya pazia!
 
Back
Top Bottom