kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #41
Huyo timu zake ni hizo mbili dirisha dogo akiumia diara anakuja kaa yeye golini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I am not closed mindedHuyo golikipa si huwa akichoka anarudi yanga akichoka yanga anarudi black stars au mfuniko unajizima na kingereza chako pori!
Simba nae alitutunukia goal jaman GSm raha sanaa kumbeeGolikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia Yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .
Mwigulu Nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya Tanzania bara kwa kuinunua Ihefu na kuigeuza msekure wa Yanga kama ilivyokuwa kwa Singida.
Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,
Angalizo; msije na povu kuwa Simba amefungwa na Yanga au Camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa Manara Simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka TFF yenyewe!
Saaana!Simba nae alitutunukia goal jaman GSm raha sanaa kumbee
Kizungu manga!I am not closed minded
Speaking ill will not help you, if you do not learn you will not earnKizungu manga!
ni kama alikuwa anahesabu vidoleLile goli alifugwa kuna kitu alikuwa anafanya sijui ni nn, maana ni kama kastukizwa hivi
Limbukeni huwa hajijui hata akifika levo ya chuo kikuu ikifika muda huwa anataka kujionyesha mada ni ya kiswahili!Speaking ill will not help you, if you do not learn you will not earn
These days life learning skills is also consideredLimbukeni huwa hajijui hata akifika levo ya chuo kikuu ikifika muda huwa anataka kujionyesha mada ni ya kiswahili!
NIkuibue siri ukimuona mtu kakomaa na zungu manga kwa waswahili wenzake jua ni mwenda wazimu au mlevi nakuacha!These days life learning skills is also considered
Noted with thanksNIkuibue siri ukimuona mtu kakomaa na zungu manga kwa waswahili wenzake jua ni mwenda wazimu au mlevi nakuacha!
Tumpe hongera kipa!Hakuna mtu alijua au kudhani kwa haraka kuwa Pakome angefyatua shuti kali kufunga (kumbuka alikuwa nje ya Box, angle mbovu ya kujipanga kupiga na mbele yake kuna msitu mpana wa walinzi), hivyo maandalizi ya kipa yalikuwa kutazama miguu na kujiandaa kuruka pembeni ya lango, badala yake kombora likaja juu, moja kwa moja na hata hakujua ni saa ngapi limefyatuliwa.
Kipa yoyote angeweza kufungwa pale. Mpe hongera mfungaji.
Bahati nzuri hata Camara alinunuliwa akapigwa kimoja hicho hichoGolikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia Yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .
Mwigulu Nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya Tanzania bara kwa kuinunua Ihefu na kuigeuza msekure wa Yanga kama ilivyokuwa kwa Singida.
Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,
Angalizo; msije na povu kuwa Simba amefungwa na Yanga au Camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa Manara Simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka TFF yenyewe!
Rudia kusoma angalizo!Bahati nzuri hata Camara alinunuliwa akapigwa kimoja hicho hicho
Mkuu umewahi kucheza mpira?Lile goli alifugwa kuna kitu alikuwa anafanya sijui ni nn, maana ni kama kastukizwa hivi
Alitegemea pacome anatoa pasiLile goli alifugwa kuna kitu alikuwa anafanya sijui ni nn, maana ni kama kastukizwa hivi