Metacha Mnata ni golikipa kweli?

Metacha Mnata ni golikipa kweli?

Golikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia Yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .

Mwigulu Nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya Tanzania bara kwa kuinunua Ihefu na kuigeuza msekure wa Yanga kama ilivyokuwa kwa Singida.

Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,

Angalizo; msije na povu kuwa Simba amefungwa na Yanga au Camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa Manara Simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka TFF yenyewe!
Simba nae alitutunukia goal jaman GSm raha sanaa kumbee
 
Hakuna mtu alijua au kudhani kwa haraka kuwa Pakome angefyatua shuti kali kufunga (kumbuka alikuwa nje ya Box, angle mbovu ya kujipanga kupiga na mbele yake kuna msitu mpana wa walinzi), hivyo maandalizi ya kipa yalikuwa kutazama miguu na kujiandaa kuruka pembeni ya lango, badala yake kombora likaja juu, moja kwa moja na hata hakujua ni saa ngapi limefyatuliwa.

Kipa yoyote angeweza kufungwa pale. Mpe hongera mfungaji.
 
Hakuna mtu alijua au kudhani kwa haraka kuwa Pakome angefyatua shuti kali kufunga (kumbuka alikuwa nje ya Box, angle mbovu ya kujipanga kupiga na mbele yake kuna msitu mpana wa walinzi), hivyo maandalizi ya kipa yalikuwa kutazama miguu na kujiandaa kuruka pembeni ya lango, badala yake kombora likaja juu, moja kwa moja na hata hakujua ni saa ngapi limefyatuliwa.

Kipa yoyote angeweza kufungwa pale. Mpe hongera mfungaji.
Tumpe hongera kipa!
 
Golikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia Yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .

Mwigulu Nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya Tanzania bara kwa kuinunua Ihefu na kuigeuza msekure wa Yanga kama ilivyokuwa kwa Singida.

Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,

Angalizo; msije na povu kuwa Simba amefungwa na Yanga au Camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa Manara Simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka TFF yenyewe!
Bahati nzuri hata Camara alinunuliwa akapigwa kimoja hicho hicho
 
Kama uliangalia vyema, kipindi cha pili msemaji wa SBS alikuwa anaongea kitu na injinia...

Binafsi baada ya kuona vile nilijiongeza.
 
Lile goli lilifungwa kiufundi zaidi hata ungekuwa wewe goli kipa ungefungwa tu...kipa hakutarajia Pakome angepiga shuti kwa maeneo yale...Nampongeza kipa kwa kuacha mpira uingie nyavuni angejaribu kuufata leo angekuwa kwenye chumba cha kuifadhia maiti.
 
Back
Top Bottom