kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Metacha ni kipa kweli!Kuna haja serikali ikaingilia kati maana washabiki wa Simba wanaelekea kuwa wendawazimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Metacha ni kipa kweli!Kuna haja serikali ikaingilia kati maana washabiki wa Simba wanaelekea kuwa wendawazimu
Neno zito sana hiloTimu ya taifa haiwezi kufanya vyema mpira wa magahamu!
Hicho si kigezo man u kafungwa na liver 3 -0,4-0,5-0,5-0,7-0 je hawajui mpira rejesha akili yako uwaze kama mtu mwenye akili nzuri!Asiyejua mpira ni aliyefungwa mechi 4 mtawalia.
Huyo shati tu.Wewe umerogwa ping ping unafananisha na duka la mchaga taka taka kabisa!
na Mo ameingia kwasababu simba inaboronga kwasababu haweki Mpunga wa kusajili wachezaji wa viwango vya juu.Unajizima data unajua sana hao ndio mada kuu mwigulu kainunua ihefu kisa ilikuwa kikwazo kwa yanga Gsm mpaka leo anamlipa metacha na kuidhamini ihefu black stars!
Kwa Africa camara ni kipa bora kwa hivi sasa!Huyo shati tu.
Hata mimi nadhani itakuwa hivyoSoka bovu lipo kwa makolo, mechi ya jana ilikuwa bora sana, Singida ile itampiga mtu 3 bila, nimekaa palee.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya, kwa Africa?Kwa Africa camara ni kipa bora kwa hivi sasa!
Simba hawanunui mechi pesa wamekeza kwenye usajili kumbe kuna mchongo wa marefa na metacha na mwigulu labda tumsanue kwenye hilo!na Mo ameingia kwasababu simba inaboronga kwasababu haweki Mpunga wa kusajili wachezaji wa viwango vya juu.
Takukuru wanatakiwa wafanye kazi yao!Anayejua mpira yuko kileleni ligi kuu. Nunua box la Panadol Extra.
Metacha wenye akili wanajua kwamba alijitahidi sana lile shuti la pacome nila kushitukiza hata mimi sikutegemea kama angelipiga vile, (individual skills)Hata mimi nadhani itakuwa hivyo
Fuata njia ile halafu kata kushoto ukikuta mlango uko wazi ingia!wewe kipara kipya tueleze kwanza kipara zamani yuko wapi
Pipa na mfuniko!Metacha wenye akili wanajua kwamba alijitahidi sana lile shuti la pacome nila kushitukiza hata mimi sikutegemea kama angelipiga vike, (individual skills)
Kweli kabisa kawehuka mleta madaPolepole kila mtu Kwa yanga hii atachanganyikiwa huyu mleta mada awahishwe milembe Kwa machizi wenzie.
Comments reservedPipa na mfuniko!
Golikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia Yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .
Mwigulu Nchemba Mungu anakuona kutuharibia ligi ya Tanzania bara kwa kuinunua Ihefu na kuigeuza msekure wa Yanga kama ilivyokuwa kwa Singida.
Gsm Mungu anawaona kwa kuharibu ligi kuu kwa kudhamini timu karibu saba,
Angalizo; msije na povu kuwa Simba amefungwa na Yanga au Camara kajisaidia mada ni GSM na biashara ya soka kama anavyoendesha ya magodoro kama aliweza kumtoa Manara Simba basi kununua Football federation inawezekana sio kwa udhamini wa timu saba mpaka TFF yenyewe!
Huyo golikipa si huwa akichoka anarudi yanga akichoka yanga anarudi black stars au mfuniko unajizima na kingereza chako pori!Comments reserved