Metacha Mnata ni golikipa kweli?

Mleta mada ona hata aibu unazungumzia ushabiki na pumba hapa.
 
Asiyejua mpira ni aliyefungwa mechi 4 mtawalia.
Hicho si kigezo man u kafungwa na liver 3 -0,4-0,5-0,5-0,7-0 je hawajui mpira rejesha akili yako uwaze kama mtu mwenye akili nzuri!
 
Unajizima data unajua sana hao ndio mada kuu mwigulu kainunua ihefu kisa ilikuwa kikwazo kwa yanga Gsm mpaka leo anamlipa metacha na kuidhamini ihefu black stars!
na Mo ameingia kwasababu simba inaboronga kwasababu haweki Mpunga wa kusajili wachezaji wa viwango vya juu.
 
na Mo ameingia kwasababu simba inaboronga kwasababu haweki Mpunga wa kusajili wachezaji wa viwango vya juu.
Simba hawanunui mechi pesa wamekeza kwenye usajili kumbe kuna mchongo wa marefa na metacha na mwigulu labda tumsanue kwenye hilo!
 
wewe kipara kipya tueleze kwanza kipara zamani yuko wapi
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=91y3jyNiE_0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…