"Metaverse"....Wazo zuri linaloelekea kufa, je liko mbele sana ya muda? Kitu gani angeweza kufanya tofauti kuokoa ndoto hii?

"Metaverse"....Wazo zuri linaloelekea kufa, je liko mbele sana ya muda? Kitu gani angeweza kufanya tofauti kuokoa ndoto hii?

mrengo wa kushoto

Senior Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
100
Reaction score
185
Kama tunavyojua Mark Zuckerberg alikuja na wazo la Facebook, Social media na kuwa peoneer katika ulimwengu wa SOCIAL MEDIA na huwezi kuongelea historia yake bila kutaja jina lake tunaweza kumuita THE FATHER OF SOCIAL MEDIA.

Miaka ya hivi karibuni amekuja na wazo la "METAVERSE" Nakuwekeza sehemu kubwa ya utajiri wake mpaka kubadili jina la kampuni yake mashuhuri ya FACEBOOK nakuiita META akiamini kuwa kitakuwa kitu kikubwa kitakacha badilisha jinsi watu wanavyo wasiliana na kukutana.

METAVERSE ni app ambayo imetengenezwa kama DUNIA ya kidijitali..muonekano na hisia ya MUDA (time) na NAFSI (au ukaribu wa mambo na vitu) (space) iko kama katika dunia ya kweli (real world) na muingiliano wa watu na vitu kwakusikia na kuona kama ilivyo dunia ya kweli, wengi wakitumia AVATARS kuwapresent wao hata kununua kiwanja na kujenga nyumba au duka ambali litafunction kama duka halisi duniani nakukuingizia faida etc. Huku ikitumia mifumo yote ya AR (Argumente Reality) na VR (Visual Reality).

Unaweza kwenda kupiga story na kunywa chai Biden marekani, lunch na Mackron Ufaransa mchana, huku Diner ukimalizia na KimJong Un wa North korea jioni Huku mwili wako ukiwa umekaa kwenye chumba kimoja ulichopanga Tegeta nyuki au buza kwa mama Kibonge.

Kwenye makaratasi METERVESE ilitakiwa kubadili jinsi tunavyo interact (ingiliana) na watu ulimwenguni..
Lakini fast foward muda kidogo.

Mark Zuckerberg na kampuni tanzu ya META wamepoteza mabilioni, SHARES zake zikidondoka kwa kasi huku mwenendo mzima wa mambo ukimlazimisha kuachana na ndoto yake.

Je??..Apiganie ndoto wakati kila kitu kikiwa dhidi yako, aachane na ndoto hiyo na kudeal na core activities za facebook au arudi shambani kulima aachane na mambo ya mjini😃😃
 
litaendelezwa huko mbele kwa njia nyengine mpya.kuna vitu vingi vilianzishwa vikafa ila vikaja kufufuka upya mbeleni
Kuna vingine hatujaviona tena kama TESLA experiments zilizo fanikiwa na kukatizwa na kufutwa kabisa kwenye formal history kwa uoga na urasimu wa mabilionea na trend setters wa miaka hiyo ...Hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya binadamu kwa miaka kadhaa
 
Ni yupo mbele ya muda tu wakati ukifika ataibuka mungine kuyaimplement mawazo yake. Ni kama magufuli alovosema mtu atatoka kwa taxi toka ntwala hadi kigoma, hakueleweka
🤣 Internet yetu kwanza inaruhusu kama ndiyo kampuni yetu pendwa inapambania kununua mitambo ya 4g sasa sijui kama ni mipya ama used....
Tuko ntwala au Kigoma ya miaka hiyo kwenye upande wa teknolojia.
Lakini kwa kasi ya mama tutafika tu😃
 
Kama tunavyojua Mark Zuckerberg alikuja na wazo la Facebook, Social media na kuwa peoneer katika ulimwengu wa SOCIAL MEDIA na huwezi kuongelea historia yake bila kutaja jina lake tunaweza kumuita THE FATHER OF SOCIAL MEDIA.

Miaka ya hivi karibuni amekuja na wazo la "METAVERSE" Nakuwekeza sehemu kubwa ya utajiri wake mpaka kubadili jina la kampuni yake mashuhuri ya FACEBOOK nakuiita META akiamini kuwa kitakuwa kitu kikubwa kitakacha badilisha jinsi watu wanavyo wasiliana na kukutana.

METAVERSE ni app ambayo imetengenezwa kama DUNIA ya kidijitali..muonekano na hisia ya MUDA (time) na NAFSI (au ukaribu wa mambo na vitu) (space) iko kama katika dunia ya kweli (real world) na muingiliano wa watu na vitu kwakusikia na kuona kama ilivyo dunia ya kweli, wengi wakitumia AVATARS kuwapresent wao hata kununua kiwanja na kujenga nyumba au duka ambali litafunction kama duka halisi duniani nakukuingizia faida etc. Huku ikitumia mifumo yote ya AR (Argumente Reality) na VR (Visual Reality).
Unaweza kwenda kupiga story na kunywa chai Biden marekani, lunch na Mackron Ufaransa mchana, huku Diner ukimalizia na KimJong Un wa North korea jioni Huku mwili wako ukiwa umekaa kwenye chumba kimoja ulichopanga Tegeta nyuki au buza kwa mama Kibonge.....

Kwenye makaratasi METERVESE ilitakiwa kubadili jinsi tunavyo interact (ingiliana) na watu ulimwenguni..
Lakini fast foward muda kidogo....
Mark Zuckerberg na kampuni tanzu ya META wamepoteza mabilioni, SHARES zake zikidondoka kwa kasi huku mwenendo mzima wa mambo ukimlazimisha kuachana na ndoto yake.

Je??..Apiganie ndoto wakati kila kitu kikiwa dhidi yako, aachane na ndoto hiyo na kudeal na core activities za facebook au arudi shambani kulima aachane na mambo ya mjini😃😃
Kulikuwa na social media kibao mkuu, Facebook wala sio ya kwanza na Mark hadeserve hio tittle ya Father of all social media mkuu.

Useme tu facebook ni maarufu kuliko zote, ila sio idea mpya.
 
Kulikuwa na social media kibao mkuu, Facebook wala sio ya kwanza na Mark hadeserve hio tittle ya Father of all social media mkuu.

Useme tu facebook ni maarufu kuliko zote, ila sio idea mpya.
Kama ipi mkuu??
Imeweza kuwa maarufu kwasababu aliweza kubridge gap iliyokuwepo na kusolve challenges kubwa zilizokuwa zinafanya hizo social media apps zisiwe maarufu au kufahamika kama ilivyo fb....Kwa hicho tu alifungua mlango kwa wengine kama Twiter,Snapchat,Instagram etc

Mfano : Tunamuita Charles Babbage kama the father of coputers lakini jamii miaka mingi ilikuwa na simple system za computing kabla hajazaliwa.Ila ndo alifanya kitu kilichowezesha computer unayoijua leo iwe ilivyo.
Give credit when its due mkuu...
 
Kama ipi mkuu??
Imeweza kuwa maarufu kwasababu aliweza kubridge gap iliyokuwepo na kusolve challenges kubwa zilizokuwa zinafanya hizo social media apps zisiwe maarufu au kufahamika kama ilivyo fb....Kwa hicho tu alifungua mlango kwa wengine kama Twiter,Snapchat,Instagram etc

Mfano : Tunamuita Charles Babbage kama the father of coputers lakini jamii miaka mingi ilikuwa na simple system za computing kabla hajazaliwa.Ila ndo alifanya kitu kilichowezesha computer unayoijua leo iwe ilivyo.
Give credit when its due mkuu...
Myspace mkuu ilikuwa kubwa sana, Enzi hizo kina 50 cent, Lil wayne na wengineo ukitaka kuwapata ni myspace. Ukitoa hio kulikuwa na Friendster, Mocospace, Mig33, Hi5, Yahoo chat, na makorokoro kibao.

Waulize wakongwe humu enzi hizo unalipia internet cafe kuangalia Email halafu muda ukibakia unachat Yahoo ama Hi5 kutafuta mademu wazungu.

Fb ilivyokuja ikaanza kuua wengine, Mark alichofanya ni kuuza data zetu na kupata hela kupitia sisi bila sisi kutoa hela. Mfano mimi nilikuwepo Mig na Mocospace, ili kupata features ulihitajika utoe pesa hivyo FB ilivyokuja bure kila kitu wengi wakahamia FB.
 
Myspace mkuu ilikuwa kubwa sana, Enzi hizo kina 50 cent, Lil wayne na wengineo ukitaka kuwapata ni myspace. Ukitoa hio kulikuwa na Friendster, Mocospace, Mig33, Hi5, Yahoo chat, na makorokoro kibao.

Waulize wakongwe humu enzi hizo unalipia internet cafe kuangalia Email halafu muda ukibakia unachat Yahoo ama Hi5 kutafuta mademu wazungu.

Fb ilivyokuja ikaanza kuua wengine, Mark alichofanya ni kuuza data zetu na kupata hela kupitia sisi bila sisi kutoa hela. Mfano mimi nilikuwepo Mig na Mocospace, ili kupata features ulihitajika utoe pesa hivyo FB ilivyokuja bure kila kitu wengi wakahamia FB.
Pia Facebook ulikua unaweza kuingia hata ukiwa na simu ya kawaida tu..hi5 na MySpace bila computer sijui,..matunda internet cafe wamekula hela zangu nilikua secondary
 
Kama tunavyojua Mark Zuckerberg alikuja na wazo la Facebook, Social media na kuwa peoneer katika ulimwengu wa SOCIAL MEDIA na huwezi kuongelea historia yake bila kutaja jina lake tunaweza kumuita THE FATHER OF SOCIAL MEDIA.

Miaka ya hivi karibuni amekuja na wazo la "METAVERSE" Nakuwekeza sehemu kubwa ya utajiri wake mpaka kubadili jina la kampuni yake mashuhuri ya FACEBOOK nakuiita META akiamini kuwa kitakuwa kitu kikubwa kitakacha badilisha jinsi watu wanavyo wasiliana na kukutana.

METAVERSE ni app ambayo imetengenezwa kama DUNIA ya kidijitali..muonekano na hisia ya MUDA (time) na NAFSI (au ukaribu wa mambo na vitu) (space) iko kama katika dunia ya kweli (real world) na muingiliano wa watu na vitu kwakusikia na kuona kama ilivyo dunia ya kweli, wengi wakitumia AVATARS kuwapresent wao hata kununua kiwanja na kujenga nyumba au duka ambali litafunction kama duka halisi duniani nakukuingizia faida etc. Huku ikitumia mifumo yote ya AR (Argumente Reality) na VR (Visual Reality).
Unaweza kwenda kupiga story na kunywa chai Biden marekani, lunch na Mackron Ufaransa mchana, huku Diner ukimalizia na KimJong Un wa North korea jioni Huku mwili wako ukiwa umekaa kwenye chumba kimoja ulichopanga Tegeta nyuki au buza kwa mama Kibonge.....

Kwenye makaratasi METERVESE ilitakiwa kubadili jinsi tunavyo interact (ingiliana) na watu ulimwenguni..
Lakini fast foward muda kidogo....
Mark Zuckerberg na kampuni tanzu ya META wamepoteza mabilioni, SHARES zake zikidondoka kwa kasi huku mwenendo mzima wa mambo ukimlazimisha kuachana na ndoto yake.

Je??..Apiganie ndoto wakati kila kitu kikiwa dhidi yako, aachane na ndoto hiyo na kudeal na core activities za facebook au arudi shambani kulima aachane na mambo ya mjini😃😃
Naunga mkono hoja. Kwenyw teknolojia timing ni kitu muhimu. Hili wazo nadhani si muda wake.
Kitu kikiwahi au kikichelewa hakiwork.
 
Naamini mpango wake atafanikisha, ni wazo Zurich,wanao mpinga sijaona point yao
Anakula hasara sana mkuu. Hisa zimeshuka, report yao wenyewe wanadai kuwa wanaotembelea metaverse asilimka 90 hawarudi na kuna maeneo mengi hayajawahi tembelewa.
Hadi wafanyakazi wa meta wenyewe wanaona kama they are working on a boring project
 
Myspace mkuu ilikuwa kubwa sana, Enzi hizo kina 50 cent, Lil wayne na wengineo ukitaka kuwapata ni myspace. Ukitoa hio kulikuwa na Friendster, Mocospace, Mig33, Hi5, Yahoo chat, na makorokoro kibao.

Waulize wakongwe humu enzi hizo unalipia internet cafe kuangalia Email halafu muda ukibakia unachat Yahoo ama Hi5 kutafuta mademu wazungu.

Fb ilivyokuja ikaanza kuua wengine, Mark alichofanya ni kuuza data zetu na kupata hela kupitia sisi bila sisi kutoa hela. Mfano mimi nilikuwepo Mig na Mocospace, ili kupata features ulihitajika utoe pesa hivyo FB ilivyokuja bure kila kitu wengi wakahamia FB.
Mig33, moco, numbuzz, qeep messenger, yahoo messanger, kitambo sana
 
Hawa jamaa hawana ubinafsi wameiweka iwe open source kwa manufaa ya dunia nzima ,developers wakubwa na wadogo
Microsoft anawamwagia dollar billion 10 halafu anakwenda kuiinteract na bing search engine halafu na wao wanakuja na paid version ya chatgpt. Hii trial version wanadai inawagharimu dollar milliom 3 kwa siku kwa hizo searches ambazo tunafanya bure
 
Back
Top Bottom