"Metaverse"....Wazo zuri linaloelekea kufa, je liko mbele sana ya muda? Kitu gani angeweza kufanya tofauti kuokoa ndoto hii?

"Metaverse"....Wazo zuri linaloelekea kufa, je liko mbele sana ya muda? Kitu gani angeweza kufanya tofauti kuokoa ndoto hii?

Open Ai, wakat inaanza watu wa mwanzo kuwekeza na walikuwa kwenye bodi pia na elon musk alikuwemo ila alijitoa 2018 kufocus kwenye tesla.
Kuna movie ilitoka mwaka 2019 niliona inaitwa Jexie...nilijua ni story to science fiction, but chatgpt inafanya kazi kama jexie..maajabu, baada ya miaka kumi sijui itatokea nini...jana nimeiuliza kwanini watu wanaichukia Metaverse???ikanipa majibu ambayo google nilikosa
 
Kuna movie ilitoka mwaka 2019 niliona inaitwa Jexie...nilijua ni story to science fiction, but chatgpt inafanya kazi kama jexie..maajabu, baada ya miaka kumi sijui itatokea nini...jana nimeiuliza kwanini watu wanaichukia Metaverse???ikanipa majibu ambayo google nilikosa
Google ana version yake inaitwa Lamda ambayo wanadai ni kali ina work sawa kama chatgpt lakini aligona kuiachia akihofia inaweza kutoa majibu ya chuki, uongo n.k na hivyo kuharibu jina na biashara yake na pia kumletea kesi.
Sasa baada ya chatgpt sijui ayaiachia. Na ilikuwa tayari kuachiliwa mapema.
Sema leo nimesoma mahali kuwa njia wakiyotumia Open Ai kuachia chagpt ilimeipa hype, badala ya kuachikia kwa technicians ndo waiajribu, wakaiachia kwa umma
 
Chatgpt hata iwe ya kulipia nitalipia tu, kitu adimu sana kile.
Kuna maajabu mengi yanakuja mkuu. Sasa hivi wanakusanya data za kutrain ai hadi za lugha za wagogo, wahehe, kihaya, yani kugha zote na hao ni wamarekani.
Wanachoenda kutengeneza sijui ni kitu gani mkuu na balaa yani. Na wanatumia maela kufanya hivyo
 
Google ana version yake inaitwa Lamda ambayo wanadai ni kali ina work sawa kama chatgpt lakini aligona kuiachia akihofia inaweza kutoa majibu ya chuki, uongo n.k na hivyo kuharibu jina na biashara yake na pia kumletea kesi.
Sasa baada ya chatgpt sijui ayaiachia. Na ilikuwa tayari kuachiliwa mapema.
Sema leo nimesoma mahali kuwa njia wakiyotumia Open Ai kuachia chagpt ilimeipa hype, badala ya kuachikia kwa technicians ndo waiajribu, wakaiachia kwa umma
Jana CEO wa Google kasema chatgpt inahatarisha usalama wa Google coz watu wanahama Google kwa kasi,.
 
Jana CEO wa Google kasema chatgpt inahatarisha usalama wa Google coz watu wanahama Google kwa kasi,.
And 3 au 4 weeks ago walifanya kikao cha dharura kuangalia kama ni tishio kwao.
Nadhani imefika muda sasa wa mabadiliko ya jinsi taarifa zinavyotafutwa na kushirikiwa.
Hii itabadili kila kitu hata blogging.
 
Kuna maajabu mengi yanakuja mkuu. Sasa hivi wanakusanya data za kutrain ai hadi za lugha za wagogo, wahehe, kihaya, yani kugha zote na hao ni wamarekani.
Wanachoenda kutengeneza sijui ni kitu gani mkuu na balaa yani. Na wanatumia maela kufanya hivyo
Kuna mdau humuhumu alisema aliuliza chatgpt kama inaweza kiswahili ikakataa ikasema imedizainiwa kuongea English tu, juzi nimechat nayo kwa kiswahili vizuri tu, means kila siku inakua mpya
 
Kuna mdau humuhumu alisema aliuliza chatgpt kama inaweza kiswahili ikakataa ikasema imedizainiwa kuongea English tu, juzi nimechat nayo kwa kiswahili vizuri tu, means kila siku inakua mpya
Hata mimi nishachat nayo kwa kiswhaki japo kiswahiki chake kilikuwa kibovu bovu. Nliiambiwa iniandikie cv kwa kiswahili pia
 
And 3 au 4 weeks ago walifanya kikao cha dharura kuangalia kama ni tishio kwao.
Nadhani imefika muda sasa wa mabadiliko ya jinsi taarifa zinavyotafutwa na kushirikiwa.
Hii itabadili kila kitu hata blogging.
Sure itakua nimechelewa kuona.,,Google watafanyaje??maana matangazo ndio biashara yao,,unadhani kwa namna gani LAMDA itakua free kama chatgpt wakati huo huo wanatengeneza faida??
 
Sure itakua nimechelewa kuona.,,Google watafanyaje??maana matangazo ndio biashara yao,,unadhani kwa namna gani LAMDA itakua free kama chatgpt wakati huo huo wanatengeneza faida??
Watainteract kwenye products zao hata kikao chao hicho ndivyo walifikia hitimisho la kutumia ai kwa sana prodúcts zao.
Sina hakika kama watatumia lamda ila in case wakiitumia basi bila shaka itakuwa hivyo kama ambavyo microsóft anataka interact chatgpt kweny bing
 
Only addicts wanaweza kutumia metaverse....gamification ya maisha. Todate population ya gamers (wanaocheza computer/video games) bado ni ndogo sana. Na siyo wote ambao wanaweza hamia kwenye virtual world.

Watu wanashida zao, maisha magumu kuwapeleka kwenye game za kununua virtual plates siyo saa hii.

Binafsi naona idea ya metaverse kama hype ambayo haina uhalisia. Ni kama tu forex business...inavuma, wajinga wachache wanajiingiza halafu wanaanza ku drop one by one
 
Microsoft anawamwagia dollar billion 10 halafu anakwenda kuiinteract na bing search engine halafu na wao wanakuja na paid version ya chatgpt. Hii trial version wanadai inawagharimu dollar milliom 3 kwa siku kwa hizo searches ambazo tunafanya bure
Well...ikiwa paid ndo itakuwa na growth ndogo sanaaa..

Bill Gates sikuzote anajua kuharibu tu huku akijionyesha anajali kwambele..
 
Back
Top Bottom