Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Tatizo huyu Meya wetu nae saa nyingine naonaga km ana mbwembwe sn. Sijaelewa alipata taarifa wakat wameshaondoka au bado wakiwa wanaendelea na zoezi,majirani walisaidia nini sasa wakati watu wameingia na kutoka bila wao kupiga hata picha za ushahidi
