We hujatembea nini? Fanya utafiti usikurupuke au sio. Mfano Moshi si ya ukawa ikojeNina amini Halmashauri na manispaa zinazoongozwa na UKAWA hazina jambo jipya la kusukuna maendeleo, kwa kuwa walioteuliwa kuziongoza wana mawazo mgando na wamejaa mipasho na kejeli tu vichwani mwao. Nasubiri, kusahihishwa kwa hili, kwa kuwa katika siku 100 za uongozi wa Rais Magufuli, hawajathubutu wao wenyewe kutoa tathmini ya maeneo yao wanayotawala, wamefanya vizuri kiasi gani.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Mwaka gani? Hili siyo jukwaa la mazuzu
Nadhani tuache ushabiki usio na maana. Kwa kuwa nimegusa mayor wa ukawa basi kila mtu anaona anaonewa, niambie mafanikio yake kwa siku zaidi ya 100 alizo kaa madarakani japo hata mawili.Mleta Uzi uwe unawaza kabla ya kuropoka ropoka. Maendeleo ni hatua , nyie ndio wale mnaopondea kila kitu. Mlaumu Makonda alikaa kinondoni mwaka mzima hiyo barabara hakuiona? Au kisa mayor ni wa ukawa ndio akutekenya? Your cheap in thinking!! Unaleta mipasho ya taarabu Jf.
acha kukurupuka, nenda kamwulize mayor wako wa ukawa kinondoni akwambie majukumu yake.Mleta Uzi amejaa ki Ccc tu hana lolote ,kabrada bra bra nyiiiingi yawezekana ht kazi za ujumbe wa nyumba kumi hajui...ndio tatizo LA kuwa na mihemko ya kiitikadi...
Nenda kamulize MKURUGENZI na ENG hizo barabara zilikuwa zinamsubir Jacob aje...?
Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia. Huu ni mfano lakini barabara za kinondoni hazifai .
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Mbona RC Makonda alichaguliwa siku iliyofuata akala sahani moja na majambazi, sasa Dar shwari, ukijichanganya askari wanakula 1m ya bure.Yaani hata hajajua ofisi aipange vipi tayari amekuwa jipu? Naona sasa falsafa ya jipu imepoteza mwelekeo.
Elimu bureMambo gani aliyofanya yakanigusa mimi "end user?"
Usijitoe ufahamu kwa vitu vya msingi na kuleta ligi zisizo na maana hapa.
By the way, kwani hiyo barabara haimhusu Rais na waziri wake wa ujenzi?!
kweli mkuu, Atafunikwa na huyo makonda na atabaki kulalamika ooh makonda anataka sifa, anataka sifa wakati anatekeleza wajibu wakeMbona RC Makonda alichaguliwa siku iliyofuata akala sahani moja na majambazi, sasa Dar shwari, ukijichanganya askari wanakula 1m ya bure.
Tulia wewe...acha watu wafanye kaziJapo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.