Tetesi: Meya Kinondoni ni Jipu

Tetesi: Meya Kinondoni ni Jipu

Nina amini Halmashauri na manispaa zinazoongozwa na UKAWA hazina jambo jipya la kusukuna maendeleo, kwa kuwa walioteuliwa kuziongoza wana mawazo mgando na wamejaa mipasho na kejeli tu vichwani mwao. Nasubiri, kusahihishwa kwa hili, kwa kuwa katika siku 100 za uongozi wa Rais Magufuli, hawajathubutu wao wenyewe kutoa tathmini ya maeneo yao wanayotawala, wamefanya vizuri kiasi gani.
We hujatembea nini? Fanya utafiti usikurupuke au sio. Mfano Moshi si ya ukawa ikoje
 
Kijitonyama/Africa sana,tegeta nyuki/Bahar beach na kijinyama/mwananyamala,hivi Barabara zilijengwa zikawekawa lami,je hiyo lami ilidumu muda gani? Msipende kuropokaropoka tu.
 
Kijitonyama/Africa sana,tegeta nyuki/Bahar beach na kijinyama/mwananyamala,hivi Barabara zilijengwa zikawekawa lami,je hiyo lami ilidumu muda gani? Msipende kuropokaropoka tu.
mwulize mayor
 
Mleta Uzi uwe unawaza kabla ya kuropoka ropoka. Maendeleo ni hatua , nyie ndio wale mnaopondea kila kitu. Mlaumu Makonda alikaa kinondoni mwaka mzima hiyo barabara hakuiona? Au kisa mayor ni wa ukawa ndio akutekenya? Your cheap in thinking!! Unaleta mipasho ya taarabu Jf.
 
Mleta Uzi uwe unawaza kabla ya kuropoka ropoka. Maendeleo ni hatua , nyie ndio wale mnaopondea kila kitu. Mlaumu Makonda alikaa kinondoni mwaka mzima hiyo barabara hakuiona? Au kisa mayor ni wa ukawa ndio akutekenya? Your cheap in thinking!! Unaleta mipasho ya taarabu Jf.
Nadhani tuache ushabiki usio na maana. Kwa kuwa nimegusa mayor wa ukawa basi kila mtu anaona anaonewa, niambie mafanikio yake kwa siku zaidi ya 100 alizo kaa madarakani japo hata mawili.

Tatizo mtu akisha kuwa ukawa vasi anataka kutuaminisha kuwa yeye katoka sayari nyingine na kuwa ataleta miujiza ya maendeleo

Tunataka kuona mambo yakibadilka, kukaa ofisini na kupiga kelele eti wanawaingilia ktk kuwapa wananchi maendeleo hiyo ndio cheap thinking.

kuna mambo ambayo yapo kwenye command yake bado yanalala.
 
Mleta Uzi amejaa ki Ccc tu hana lolote ,kabrada bra bra nyiiiingi yawezekana ht kazi za ujumbe wa nyumba kumi hajui...ndio tatizo LA kuwa na mihemko ya kiitikadi...
Nenda kamulize MKURUGENZI na ENG hizo barabara zilikuwa zinamsubir Jacob aje...?
 
Mleta Uzi amejaa ki Ccc tu hana lolote ,kabrada bra bra nyiiiingi yawezekana ht kazi za ujumbe wa nyumba kumi hajui...ndio tatizo LA kuwa na mihemko ya kiitikadi...
Nenda kamulize MKURUGENZI na ENG hizo barabara zilikuwa zinamsubir Jacob aje...?
acha kukurupuka, nenda kamwulize mayor wako wa ukawa kinondoni akwambie majukumu yake.
 
Hawa ukawa wameshapewa jiji wameshapewa na Meya bado tu hata kujitutumua kama RC Makonda hamna, wamebadilisha halmashauri kuwa saccos wanawakopesha akina mama kodi zao tena kwa riba kubwa badae waje wawakamatie blenda tv na makochi. Yaani wanawakaanga kwa mafuta yao wenyewe.
 
Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.

Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.

Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.

Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia. Huu ni mfano lakini barabara za kinondoni hazifai .

Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.

Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.

Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
 
Yaani hata hajajua ofisi aipange vipi tayari amekuwa jipu? Naona sasa falsafa ya jipu imepoteza mwelekeo.
Mbona RC Makonda alichaguliwa siku iliyofuata akala sahani moja na majambazi, sasa Dar shwari, ukijichanganya askari wanakula 1m ya bure.
 
Hata mim huku a town Bado nampa muda mbunge wangu lema alisema mwaka Jana kwenye kampen pale kijenge chin kuwa mwaka huku mapema barabara yetu ingekuwa mchakato wa kuweka lami ushaanza Sasa n mwez march unayoyoma sion hata kinachoendelea,mkuu MPE muda tu Huyo meya wenu.
 
Mbona RC Makonda alichaguliwa siku iliyofuata akala sahani moja na majambazi, sasa Dar shwari, ukijichanganya askari wanakula 1m ya bure.
kweli mkuu, Atafunikwa na huyo makonda na atabaki kulalamika ooh makonda anataka sifa, anataka sifa wakati anatekeleza wajibu wake
 
Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.

Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.

Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.

Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.

Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.

Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.

Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Tulia wewe...acha watu wafanye kazi
 
Edd ,pole umekosa zile hela nn,asilimia kumi ya mikopo kwa akina mama na vijana ,Mwenda alishindwa kuzitoa Jacob ndani ya mwezi tu mambo saaafi
 
Back
Top Bottom