Nadhani Ww Ndio Umeingia Dar Mwaka Huu Na Kupata Nafasi Ya Kupita Hapo Ukipelekwa Sobar House Hapo M/mala Hospital!! Sasa Ukimaliza Dose Yako Methadone, Kamuulize Mtu Anaitwa Paul Makonda Aliyekuwa DC K/ ndoni (Sasa RC Dar) Akueleze Kuhusu Ufisadi Uliyofanywa Na Viongozi Wa CCM Na Watendaji Wa Serikali Yao Ktk Miradi Mbali Mbali Ya Maendeleo, Ikiwamo Na Hizo Barabara!!!! Kwa Taarifa Yako Serikali Nzima Ya CCM Kuanzia Ile Kuu Hadi Za Mitaa Watu Walikuwa Busy Kupiga Dili Tu, Kila Mradi Umejengwa Chini Ya Kiwango, Watu Wanachukua Chao Ndio Maana Leo Serikali Ya Awamu Ya 5 Inaangakia Kutoa Huu UOZO Ulitapakaa Kila Kona!! Sijui Huyo Meya Wa UKAWA Ni Lini Wamekaa Na Kupitisha Bajeti Au Kupokea Mafungu Toka Serikali Kuu Kwa Ajili Ya Mradi Wowote Ule, Ambao Yeye Ukiwa Chini Ya Uongozi Wake Umeharibika Au Kufujwa Ama Kufanyika Ubadhilifu!! Kila Ukionacho Dar Hii, Achana Na K/ndoni Ni Matokeo Ya Watendaji Na Viongozi Wa Awamu Zilizopita!!! Ndio Maana Mkurugenzi Wa Manispaa Hiyo Amesimamishwa Kazi Kwa Tuhuma Hizo Hizo, Hivyo Akamwambie MUSSA NATTY, YUSUPH MWENDA Na DIDAS MASABURI Kwanini K/ndoni Barabara Zake Za Manispaa Zina Hali Mbaya!!!??