Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

Meya yupo sahihi kuunga mkono 'sera ya CCM' ambayo imewahi hadi kutolewa tamko la kidiplomasia kumkana RC mstaafu Makonda.

Baada ya Makonda kuanza operesheni ya kupambana na mashoga, Serikali ilikatiwa 'misaada' na papo hapo ikaambiwa itoe muelekeo. 'Pesa tamu' aisee, Serikali ikamkana Paul, ikasisitiza kulinda HAKI za mashoga na kutobugudhiwa.

CCM kuna muda haijui inasimamia nini
 

Hatari sana
 
Mashoga sahv wanajiachia

Kuanzia kwenye medias

Mitaani hadi kwenye matamasha yanayoandaliwa ya wasanii

Ova
 
Balaa lote kalianzisha Lissu na lile group la wasagaji kule twitter
 
Astaghafilullah!
 
Kwa taarifa yako wanaume Wachagga ndiyo wanaongoza kwa ushoga, usijidanganye kuwa wamepelekewa na CCM. Tutakuwekea hapa majina utashangaa. Kaa kimya
 
Mambo ya maana yamewashinda kusimamia sasa wanapoteza muda kwenye ushoga. Kama wangekuwa wakali hivyo kwenye ubadhirifu tungekuwa mbali.
 
Naye atakuwa ni Shoga maridhawa. Acha waendelee kufumuana madonda.
 
Huyo Meya ni mtu wa CCM tangu zamani kweli? Hawakumtoa kule kwingine?? Maana kama ana "elements" za ule upande wa pili, za kutetea haki za Mashoga....???Au anawasiliana na yule jamaa wa Brussels?
NI mwana ccm kindakindaki tangu chipukizi
 
... kuna thread ilianzishwa humu 2 days ago kuhusu ushoga kutamalaki Moshi; I can now connect the dots! Unapata support ya nguvu toka chama chakavu.
Nikithibitisha ndugu yangu ni shoga, namuwahisha futi sita chini fasta kwa njia yoyote ile.
 
Mapumbavu baada ya kuharibu ndugu zao huko pembezoni mwa bahari,wanataka kutuharibia ndugu zetu wa KLM.
Hatukubali.
 
Huyo Meya ni mtu wa CCM tangu zamani kweli? Hawakumtoa kule kwingine?? Maana kama ana "elements" za ule upande wa pili, za kutetea haki za Mashoga....???Au anawasiliana na yule jamaa wa Brussels?
Ni kweli hiyo ID yako inawakilisha wapenda mchezo huo?

Kama ni kweli, nawe ni muhusika?
 
Huyo Meya ni mtu wa CCM tangu zamani kweli? Hawakumtoa kule kwingine?? Maana kama ana "elements" za ule upande wa pili, za kutetea haki za Mashoga....???Au anawasiliana na yule jamaa wa Brussels?
Hiyo tabia chafu yakuinamishana mnayo nyie wenyewe uko. Usisingizie watu wasiohusika.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ndio zao hao.
 
Huyo Meya ni mtu wa CCM tangu zamani kweli? Hawakumtoa kule kwingine?? Maana kama ana "elements" za ule upande wa pili, za kutetea haki za Mashoga....???Au anawasiliana na yule jamaa wa Brussels?
Hakuna sababu ya kuhamishia upande mwingine. Serikali ilishakubali tangu siku nyingi ..... Makonda tu alikuja hapo kati kujitafutia umaarufu.

Kama ni kosa kwa nini wamsakame Meya peke yake wakati wahusika nao wapo. Kwa nini wasichukuliwe hatu kama kwenye ushoga ni jinai Bongo.....!!

Yaani kwa vile CCM wako kimya au wanajiumauma kwenye hili basi watu mnaamini kuwa wako against ...... Tayari nchi ilishawekwa kati kwenye hili na wakasalimu amri ya wakubwa. Yah right ..... Na Brussels!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…