Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

View attachment 2125794

Hali si shwari ndani ya baraza la madiwani la Manispaa ya Moshi ambako madiwani wamekuja juu wakimtaka meya wao, Juma Raibu kujiuzulu fasta baada ya clip moja kusambaa mitandaoni ambako amesikika akiunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Juma Raibu anadaiwa wiki iliyopita alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa mwanaumme mmoja aliyeko kwenye mapenzi ya jinsia moja hapo mjini Moshi na katika salamu zake amenukuliwa akiunga mkono mapenzi hayo na kusisitiza manispaa ya moshi iko tayari kulinda haki zao na kwmaba itawapa ushirkkiano katika kudi haki zao.

Hii iliwaibua madiwani hao na wakambana vilivyo kwenye kikao cha maandalizi ya baraza la madiwani (Pre Council) kilichokuwa na madiwani wengi wa CCM wakimtaka aachie ngazi kwa kile walichodai amewadhalilisha madiwani na baraza zima la madiwani lakini moto ulizisi kuwa mkali kiasi cha madiwnai hao na meya wao kurushiana maneno mazito yaliyopelekea baadhi ya madiwani hasa wanawake kutoka nje ya kikao.

"Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku zote imekuwa haiungi mkono mapenzi ya jinsia moja leo meya anatoa wapi nguvu ya kuunga mkono mapenzi hayo? Kwa kweli hili limetudhalilisha sana sisi madiwani na njia sahihi kwa meya ni kuachia ngazi?,"amesikika diwani moja alipowatonya wanahabari jana wapohudhuria kikao cha baraza la madiwani.

Kutokana na kasheshe hilo,jana madiwani wote wanaotokana na CCM waliitwa kwenye kikao cha ndani ofisi ya CCM Manispaa ya moja na katibu wa CCM manispaa hiyo Ibrahim Mjanaheri kikao kilichofanyika saa nane mchana mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kumalizika kwa lengo la kwenda kutliza hali ya hewa.

Hata hivyo leo tena mara baada ya kikao cha barza la madinwai kilichoketi kwa siku mbili jana na leo, madiwani ihao mpaka muda huu wapo kwenye kikao cha ndnai ofisi ya CCM mkosa kikao ambacho kipo chini ya katibu wa CCM mkoa, Jonathan Mabihya leo ni hilo hilo la ktuliza mabo ambayo kwa kwlei yanakwenda kombo.

Hadi muda huu kikao cha madiwani hao na viongozi wa CCM mmkoa kinaendelea,mmoja wa madiwani walioko ndnai ya kikao amesma moto ni mkali sana la lazima juma Raibu ataachia ngani na hilo ni suala la muda tu kama ilivyotokea kwa Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja
Hahahaaa kimeumana
 
View attachment 2125794

Hali si shwari ndani ya baraza la madiwani la Manispaa ya Moshi ambako madiwani wamekuja juu wakimtaka meya wao, Juma Raibu kujiuzulu fasta baada ya clip moja kusambaa mitandaoni ambako amesikika akiunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Juma Raibu anadaiwa wiki iliyopita alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa mwanaumme mmoja aliyeko kwenye mapenzi ya jinsia moja hapo mjini Moshi na katika salamu zake amenukuliwa akiunga mkono mapenzi hayo na kusisitiza manispaa ya moshi iko tayari kulinda haki zao na kwmaba itawapa ushirkkiano katika kudi haki zao.

Hii iliwaibua madiwani hao na wakambana vilivyo kwenye kikao cha maandalizi ya baraza la madiwani (Pre Council) kilichokuwa na madiwani wengi wa CCM wakimtaka aachie ngazi kwa kile walichodai amewadhalilisha madiwani na baraza zima la madiwani lakini moto ulizisi kuwa mkali kiasi cha madiwnai hao na meya wao kurushiana maneno mazito yaliyopelekea baadhi ya madiwani hasa wanawake kutoka nje ya kikao.

"Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku zote imekuwa haiungi mkono mapenzi ya jinsia moja leo meya anatoa wapi nguvu ya kuunga mkono mapenzi hayo? Kwa kweli hili limetudhalilisha sana sisi madiwani na njia sahihi kwa meya ni kuachia ngazi?,"amesikika diwani moja alipowatonya wanahabari jana wapohudhuria kikao cha baraza la madiwani.

Kutokana na kasheshe hilo,jana madiwani wote wanaotokana na CCM waliitwa kwenye kikao cha ndani ofisi ya CCM Manispaa ya moja na katibu wa CCM manispaa hiyo Ibrahim Mjanaheri kikao kilichofanyika saa nane mchana mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kumalizika kwa lengo la kwenda kutliza hali ya hewa.

Hata hivyo leo tena mara baada ya kikao cha barza la madinwai kilichoketi kwa siku mbili jana na leo, madiwani ihao mpaka muda huu wapo kwenye kikao cha ndnai ofisi ya CCM mkosa kikao ambacho kipo chini ya katibu wa CCM mkoa, Jonathan Mabihya leo ni hilo hilo la ktuliza mabo ambayo kwa kwlei yanakwenda kombo.

Hadi muda huu kikao cha madiwani hao na viongozi wa CCM mmkoa kinaendelea,mmoja wa madiwani walioko ndnai ya kikao amesma moto ni mkali sana la lazima juma Raibu ataachia ngani na hilo ni suala la muda tu kama ilivyotokea kwa Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja
Mh. Mayor hajavunja sheria yoyote hapa ,nani sisi katupa haki ya kuhukumu?mtu akiamua kuwa gay, lesbian au straight ni haki yake, vijana wa dot.com tafuteni fedha katika Maisha yenu!...pale Mother City wenye Pesa nyingi ni lesbian &gays wanapitwa na Jewish!nyie endeleeni kupiga domo
 
View attachment 2125794

Hali si shwari ndani ya baraza la madiwani la Manispaa ya Moshi ambako madiwani wamekuja juu wakimtaka meya wao, Juma Raibu kujiuzulu fasta baada ya clip moja kusambaa mitandaoni ambako amesikika akiunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Juma Raibu anadaiwa wiki iliyopita alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa mwanaumme mmoja aliyeko kwenye mapenzi ya jinsia moja hapo mjini Moshi na katika salamu zake amenukuliwa akiunga mkono mapenzi hayo na kusisitiza manispaa ya moshi iko tayari kulinda haki zao na kwmaba itawapa ushirkkiano katika kudi haki zao.

Hii iliwaibua madiwani hao na wakambana vilivyo kwenye kikao cha maandalizi ya baraza la madiwani (Pre Council) kilichokuwa na madiwani wengi wa CCM wakimtaka aachie ngazi kwa kile walichodai amewadhalilisha madiwani na baraza zima la madiwani lakini moto ulizisi kuwa mkali kiasi cha madiwnai hao na meya wao kurushiana maneno mazito yaliyopelekea baadhi ya madiwani hasa wanawake kutoka nje ya kikao.

"Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku zote imekuwa haiungi mkono mapenzi ya jinsia moja leo meya anatoa wapi nguvu ya kuunga mkono mapenzi hayo? Kwa kweli hili limetudhalilisha sana sisi madiwani na njia sahihi kwa meya ni kuachia ngazi?,"amesikika diwani moja alipowatonya wanahabari jana wapohudhuria kikao cha baraza la madiwani.

Kutokana na kasheshe hilo,jana madiwani wote wanaotokana na CCM waliitwa kwenye kikao cha ndani ofisi ya CCM Manispaa ya moja na katibu wa CCM manispaa hiyo Ibrahim Mjanaheri kikao kilichofanyika saa nane mchana mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kumalizika kwa lengo la kwenda kutliza hali ya hewa.

Hata hivyo leo tena mara baada ya kikao cha barza la madinwai kilichoketi kwa siku mbili jana na leo, madiwani ihao mpaka muda huu wapo kwenye kikao cha ndnai ofisi ya CCM mkosa kikao ambacho kipo chini ya katibu wa CCM mkoa, Jonathan Mabihya leo ni hilo hilo la ktuliza mabo ambayo kwa kwlei yanakwenda kombo.

Hadi muda huu kikao cha madiwani hao na viongozi wa CCM mmkoa kinaendelea,mmoja wa madiwani walioko ndnai ya kikao amesma moto ni mkali sana la lazima juma Raibu ataachia ngani na hilo ni suala la muda tu kama ilivyotokea kwa Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja
Huyu Meya anamsapoti mwenezi wa chama chao hayo mambo yamezoeleka huko kwao .
 
Mstahiki Meya wa Mji wa Moshi Juma Rahibu amekumbana na kashfa kubwa ya kushiriki kikao cha Mashoga.Katika hali ya kushangaza na kustahajabisha.

Mstahiki Meya wa Moshi alihudhuria kikao hicho cha Mashoga na kutoa nasaha.Wadau wa siasa wamejikuta wakibabaika na kushangazwa huku watani wao wakuu wa siasa wakiwabeza kwa kuwaambia siku hizi wamebedili msimamo kimya kimya kwa kuunga mkono ushoga.

Ngongo kwasasa Rau madukani.
Hakuna hata kavideo tushuhudie?
 
Mh. Mayor hajavunja sheria yoyote hapa ,nani sisi katupa haki ya kuhukumu?mtu akiamua kuwa gay, lesbian au straight ni haki yake, vijana wa dot.com tafuteni fedha katika Maisha yenu!...pale Mother City wenye Pesa nyingi ni lesbian &gays wanapitwa na Jewish!nyie endeleeni kupiga domo
Utakuwa shouger wewe laana kabisa
 
Hili limenikumbusha jamaa flani alikua anaitwa Mawala hapo Moshi karibu na chuo Cha ushirika alikua anatuhimiwa kuwa ni shoga, familia yake ilikua inaishi Marekani ilidaiwa yeye alirudishwa kwa Sababu hiyo, inadaiwa pia ndio alikua anawapa hela vijana ili kutimiza azma yake. Ushoga ni kinyume na maadili ya jamii yetu tusikubali huu ujinga.
 
Huyo Meya ni mtu wa CCM tangu zamani kweli? Hawakumtoa kule kwingine?? Maana kama ana "elements" za ule upande wa pili, za kutetea haki za Mashoga....???Au anawasiliana na yule jamaa wa Brussels?
Tatizo CCM ni wanafiki wakubwa,Lisu na Fatma ni watu wawazi sana. Walisema hizo ni privacy za watu siyo sahihi kuziingilia kwa namna ya Makonda alivyodeal nazo,mkaanza kelele ooh wanatetea mashoga! Sasa yako wapi kumbe ndo maisha yenu!!!! Huyo ni wa kwenu mpaka tabia zake mnafanana.
 
View attachment 2125794

Hali si shwari ndani ya baraza la madiwani la Manispaa ya Moshi ambako madiwani wamekuja juu wakimtaka meya wao, Juma Raibu kujiuzulu fasta baada ya clip moja kusambaa mitandaoni ambako amesikika akiunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Juma Raibu anadaiwa wiki iliyopita alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa mwanaumme mmoja aliyeko kwenye mapenzi ya jinsia moja hapo mjini Moshi na katika salamu zake amenukuliwa akiunga mkono mapenzi hayo na kusisitiza manispaa ya moshi iko tayari kulinda haki zao na kwmaba itawapa ushirkkiano katika kudi haki zao.

Hii iliwaibua madiwani hao na wakambana vilivyo kwenye kikao cha maandalizi ya baraza la madiwani (Pre Council) kilichokuwa na madiwani wengi wa CCM wakimtaka aachie ngazi kwa kile walichodai amewadhalilisha madiwani na baraza zima la madiwani lakini moto ulizisi kuwa mkali kiasi cha madiwnai hao na meya wao kurushiana maneno mazito yaliyopelekea baadhi ya madiwani hasa wanawake kutoka nje ya kikao.

"Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku zote imekuwa haiungi mkono mapenzi ya jinsia moja leo meya anatoa wapi nguvu ya kuunga mkono mapenzi hayo? Kwa kweli hili limetudhalilisha sana sisi madiwani na njia sahihi kwa meya ni kuachia ngazi?,"amesikika diwani moja alipowatonya wanahabari jana wapohudhuria kikao cha baraza la madiwani.

Kutokana na kasheshe hilo,jana madiwani wote wanaotokana na CCM waliitwa kwenye kikao cha ndani ofisi ya CCM Manispaa ya moja na katibu wa CCM manispaa hiyo Ibrahim Mjanaheri kikao kilichofanyika saa nane mchana mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kumalizika kwa lengo la kwenda kutliza hali ya hewa.

Hata hivyo leo tena mara baada ya kikao cha barza la madinwai kilichoketi kwa siku mbili jana na leo, madiwani ihao mpaka muda huu wapo kwenye kikao cha ndnai ofisi ya CCM mkosa kikao ambacho kipo chini ya katibu wa CCM mkoa, Jonathan Mabihya leo ni hilo hilo la ktuliza mabo ambayo kwa kwlei yanakwenda kombo.

Hadi muda huu kikao cha madiwani hao na viongozi wa CCM mmkoa kinaendelea,mmoja wa madiwani walioko ndnai ya kikao amesma moto ni mkali sana la lazima juma Raibu ataachia ngani na hilo ni suala la muda tu kama ilivyotokea kwa Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja
Boss umekosea kosea sana kuandika. Ulikua umelala au
 
View attachment 2125794

Hali si shwari ndani ya baraza la madiwani la Manispaa ya Moshi ambako madiwani wamekuja juu wakimtaka meya wao, Juma Raibu kujiuzulu fasta baada ya clip moja kusambaa mitandaoni ambako amesikika akiunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Juma Raibu anadaiwa wiki iliyopita alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa mwanaumme mmoja aliyeko kwenye mapenzi ya jinsia moja hapo mjini Moshi na katika salamu zake amenukuliwa akiunga mkono mapenzi hayo na kusisitiza manispaa ya moshi iko tayari kulinda haki zao na kwmaba itawapa ushirkkiano katika kudi haki zao.

Hii iliwaibua madiwani hao na wakambana vilivyo kwenye kikao cha maandalizi ya baraza la madiwani (Pre Council) kilichokuwa na madiwani wengi wa CCM wakimtaka aachie ngazi kwa kile walichodai amewadhalilisha madiwani na baraza zima la madiwani lakini moto ulizisi kuwa mkali kiasi cha madiwnai hao na meya wao kurushiana maneno mazito yaliyopelekea baadhi ya madiwani hasa wanawake kutoka nje ya kikao.

"Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku zote imekuwa haiungi mkono mapenzi ya jinsia moja leo meya anatoa wapi nguvu ya kuunga mkono mapenzi hayo? Kwa kweli hili limetudhalilisha sana sisi madiwani na njia sahihi kwa meya ni kuachia ngazi?,"amesikika diwani moja alipowatonya wanahabari jana wapohudhuria kikao cha baraza la madiwani.

Kutokana na kasheshe hilo,jana madiwani wote wanaotokana na CCM waliitwa kwenye kikao cha ndani ofisi ya CCM Manispaa ya moja na katibu wa CCM manispaa hiyo Ibrahim Mjanaheri kikao kilichofanyika saa nane mchana mara baada ya kikao cha baraza la madiwani kumalizika kwa lengo la kwenda kutliza hali ya hewa.

Hata hivyo leo tena mara baada ya kikao cha barza la madinwai kilichoketi kwa siku mbili jana na leo, madiwani ihao mpaka muda huu wapo kwenye kikao cha ndnai ofisi ya CCM mkosa kikao ambacho kipo chini ya katibu wa CCM mkoa, Jonathan Mabihya leo ni hilo hilo la ktuliza mabo ambayo kwa kwlei yanakwenda kombo.

Hadi muda huu kikao cha madiwani hao na viongozi wa CCM mmkoa kinaendelea,mmoja wa madiwani walioko ndnai ya kikao amesma moto ni mkali sana la lazima juma Raibu ataachia ngani na hilo ni suala la muda tu kama ilivyotokea kwa Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja
Kwani cha ajabu nini huko ccm ?

Screenshot_20211105-000904.png
 
Hili limenikumbusha jamaa flani alikua anaitwa Mawala hapo Moshi karibu na chuo Cha ushirika alikua anatuhimiwa kuwa ni shoga,familia yake ilikua inaishi Marekani ilidaiwa yeye aliludishwa kwa Sababu hiyo, inadaiwa pia ndo alikua anawapa hela vijana ili kutimiza azma yake.Ushoga ni kinyume na maadili ya jamii yetu tusikubali huu ujinga.
Sio yule mzee anatembea taratibu anapenda sana kupiga pensi na fulana na sendoz mchana. Mitaa ya nyuma kule geti la chini ushirika. Sio hiyo?!
 
Back
Top Bottom