johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
Chanzo: Jambo TV
Chanzo: Jambo TV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
Source Jambo TV
Hivi kwa akili ya kawaida serikali huwa inashindwa jambo? Hayo ni maneno yake binafsi, huenda na yeye ni mteja, nashauri 2025 apumzike awaachie kazi wanaowezaMstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
Source Jambo TV
Wanunuzi hawatoki rwanda au kenya!ni watanzania wenzetu!kwaiyo hao watanzia hawafuati na hawataki tena hizo zinazoitwa tamaduni.Ameongea ukweli ila utekelezaji wake kwa nchi yetu ni vigumu kwa kile tunachoita utamaduni wa mtanzania.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
Source Jambo TV
Serikali ni nini?!Hivi kwa akili ya kawaida serikali huwa inashindwa jambo? Hayo ni maneno yake binafsi, huenda na yeye ni mteja, nashauri 2025 apumzike awaachie kazi wanaoweza
Wameshindwa kuwaondoa ndiyo waweze kukusanya kodiBora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
Kwa wanawake, huo nao ni mkakati.Wamekosa hela za kuendesha miradi ya Kimkakati?
Kwani Songoro siyo wa hapo ufipa st?Wenzako watakuja kulaumu waseme ni sera za Lissu!
Wameshindwa kuwaondoa ndiyo waweze kukusanya kodi
Nini maana ya Meya na nini maana ya Songoro tuanzie hapoSerikali ni nini?!
Mada ni ileile ndio maana nikauliza wamekosa hela mpaka wafikirie kuruhusu ukahaba?Umeacha mada unaleta mada mpya
Ni Meya SongoroNini maana ya Meya na nini maana ya Songoro tuanzie hapo
Hapo kuna vitu viwili tofauti kabisaNi Meya Songoro
Mada ni ileile ndio maana nikauliza wamekosa hela mpaka wafikirie kuruhusu ukahaba?
Mwananyamala kwa Wahaya since 1978 hadi leo wapo na wanaongezeka!Kukusanya kodi ni rahisi kuliko kuwaondoa.
Huko duniani kuna nchi zinakusanya kodi vizuri tu
Mahojiano ya afisa wa kodi na kahaba.
Afisa: Mfumo unaonyesha unadaiwa kodi.
Kahaba: Biashara mbaya, mauzo yamepungua njoo eneo la biashara ujiridhishe mpenzi.