Tetesi: Meya wa Ilala ndiye aliyemdhalilisha Rais Magufuli

Tetesi: Meya wa Ilala ndiye aliyemdhalilisha Rais Magufuli

Hawa UKAWA sijui wakoje? Bungeni Viongozi Wakuu wa UKAWA walimsusia JPM sasa huku wamejileta kufanya nini? Ule mwaliko ulikuwa formality kama ile ya "Jirani karibu tule".kwny kukata Utepe JPM alimtaka Mwnykt wa CCM Mzee Madabida awepo kuonesha heshma kwa CCM. Mliosubiri akipotezee CCM mtasubiri sana na subirini June akikabidhiwa Chama. Waulizeni Chato watakupeni habari zake.
Jk alilea sana hawa Wahuni mpaka wakakaribishwa kuinajisi Ikulu. Hata Changamoto ya Znz leo ililetwa na Uamuzi wake wa kushinikiza Mseto Znz na Watu wasiofaa wakati Chama kilimkatalia.
JPM hana muda wa kunywa juice, chai na mikate huku akipiga soga zisizokuwa na faida kwa walipa kodi. Huyu nasikia mpaka usiku yupo ofisini anapiga mzigo, wale wanaotafuta popularity ya bei ndogo, yaani waandike maumivu.
 
Wakati mwingine sioni maana yakuanzisha thread zinazo mkashifu rais wakati ukweli upo wazi kabisa kuwa huyu meya alikuwa na mpango mchafu kuchafuwa shughuli ya kuweka jiwe la msingi kwenye madi mkubwa wa umeme wa gas. Nivile rais wetu ni mpole some time hanamuda wakukimbiza upepo umemfanya mleta mada kuleta uzushi kwa sababu zake binafsi.

Hizi ndi dharau za meya wa chama Fulani maana sikuizi hata jina sitaki kulitaja maana soon hatuna aina ya chama hicho.

Hakuudhuria huo ufunguzi na badala yake akaweka jiwe kwa niaba yake kisa chakutoudhuria nikujuwa ataabika maana alisha anzisha dharau tangu hapo mwanzo kwa mkuu.

Pili huyu bwana aliwahi kunukuliwa wakati Fulani akiubeza mchango wa rais ktk shule za msingi kwa kusem hana haja na hizo pesa wakati vijana wana shida ya madawati.

Tatu inasemekana ni mmoja ya watu wanatia fujo ktk uchaguzi wa meya wa jiji huku akiwa mwana mtandao ndani ya chama Fulani kuharibu uteuzi wa meya wajiji.

Nne kama ilivyo kawaida yao mpango huu ulisha pangwa ili tu kumuharibia rais shughuli alienda kuifanya, ujuwe hawa jamaa tangu washindwe wana mipango ya chini kwa chini kukiujumu chama tawala lakiniwataisoma namba kama walivyo isoma namba ktk uchaguzi mwaka jana.

Poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Uzi umeandika ukiwa chooni...!!
 
Wakati mwingine sioni maana yakuanzisha thread zinazo mkashifu rais wakati ukweli upo wazi kabisa kuwa huyu meya alikuwa na mpango mchafu kuchafuwa shughuli ya kuweka jiwe la msingi kwenye madi mkubwa wa umeme wa gas. Nivile rais wetu ni mpole some time hanamuda wakukimbiza upepo umemfanya mleta mada kuleta uzushi kwa sababu zake binafsi.

Hizi ndi dharau za meya wa chama Fulani maana sikuizi hata jina sitaki kulitaja maana soon hatuna aina ya chama hicho.

Hakuudhuria huo ufunguzi na badala yake akaweka jiwe kwa niaba yake kisa chakutoudhuria nikujuwa ataabika maana alisha anzisha dharau tangu hapo mwanzo kwa mkuu.

Pili huyu bwana aliwahi kunukuliwa wakati Fulani akiubeza mchango wa rais ktk shule za msingi kwa kusem hana haja na hizo pesa wakati vijana wana shida ya madawati.

Tatu inasemekana ni mmoja ya watu wanatia fujo ktk uchaguzi wa meya wa jiji huku akiwa mwana mtandao ndani ya chama Fulani kuharibu uteuzi wa meya wajiji.

Nne kama ilivyo kawaida yao mpango huu ulisha pangwa ili tu kumuharibia rais shughuli alienda kuifanya, ujuwe hawa jamaa tangu washindwe wana mipango ya chini kwa chini kukiujumu chama tawala lakiniwataisoma namba kama walivyo isoma namba ktk uchaguzi mwaka jana.

Poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
***
thanks for shits_/
 
RC wa mkoa fulani kanda ya Pwani aliitisha mkutano wa hadhara.......katika mkutano huo kulikuwa na viongozi wa ngazi ya chini yake pamoja na wananchi wa kawaida. Mwnyekiti mmoja wa kijiji alikuwa anasinzia muda wote wa mkutano.........RC katika kuhimiza wananchi kujitolea kujenga barabara aliuliza, "Nani anapenda maandaki?"
yule mwenyekiti wa kijiji akakurupuka na kuitikia, "Mimi mheshimiwa". watu wote,"aaaaaaaaaahhhhhhhhh!!!!!
RC akamuuliza kwa vipi yeye anapenda maandaki? Mwenyekiti akashtuka na kusema, "samahani Mh. nilifikiri umesema nani anapenda MAANDAZI
 
JPM hana muda wa kunywa juice, chai na mikate huku akipiga soga zisizokuwa na faida kwa walipa kodi. Huyu nasikia mpaka usiku yupo ofisini anapiga mzigo, wale wanaotafuta popularity ya bei ndogo, yaani waandike maumivu.
kumbe...unasikia....teh...
 
Wakati mwingine sioni maana yakuanzisha thread zinazo mkashifu rais wakati ukweli upo wazi kabisa kuwa huyu meya alikuwa na mpango mchafu kuchafuwa shughuli ya kuweka jiwe la msingi kwenye madi mkubwa wa umeme wa gas. Nivile rais wetu ni mpole some time hanamuda wakukimbiza upepo umemfanya mleta mada kuleta uzushi kwa sababu zake binafsi.

Hizi ndi dharau za meya wa chama Fulani maana sikuizi hata jina sitaki kulitaja maana soon hatuna aina ya chama hicho.

Hakuudhuria huo ufunguzi na badala yake akaweka jiwe kwa niaba yake kisa chakutoudhuria nikujuwa ataabika maana alisha anzisha dharau tangu hapo mwanzo kwa mkuu.

Pili huyu bwana aliwahi kunukuliwa wakati Fulani akiubeza mchango wa rais ktk shule za msingi kwa kusem hana haja na hizo pesa wakati vijana wana shida ya madawati.

Tatu inasemekana ni mmoja ya watu wanatia fujo ktk uchaguzi wa meya wa jiji huku akiwa mwana mtandao ndani ya chama Fulani kuharibu uteuzi wa meya wajiji.

Nne kama ilivyo kawaida yao mpango huu ulisha pangwa ili tu kumuharibia rais shughuli alienda kuifanya, ujuwe hawa jamaa tangu washindwe wana mipango ya chini kwa chini kukiujumu chama tawala lakiniwataisoma namba kama walivyo isoma namba ktk uchaguzi mwaka jana.

Poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hapa njaa itakuua !
 
Back
Top Bottom