Tetesi: Meya wa Ilala ndiye aliyemdhalilisha Rais Magufuli

Tetesi: Meya wa Ilala ndiye aliyemdhalilisha Rais Magufuli

Umeona maigizo hayatoshi kwenye Tv na Magazeti umeamua kuleta humu jf Maigizo

mwana habari uru wakati mwingine ukweli lazima usemwe ili kulinda heshima ya taifa hili. Kama kweli mnajambo lakukosoa ccm au Rais wa jamuhuri ya muungano Tz kosoeni lakini msitengeneze thread kumchafuwa rais alie jitoa kuleta mabadiliko ndan na nje ya taifa hili, kama karata yakutoka kisiasa. Tuseme kweli nia yenu sio njema hata kidogo kama ni njema niambie kwani meya hakuwepo? Kwanini aliweka jiwe badala yake? Je hakuwa na mwaliko? Au nidharau alizofundishwa? Sasa amejibiwa akazidi kulalamika. Ukidharau watu na wewe unadharauliwa. Mbaya zaid alipo mdharau amiri jesh mkuu hakujibiwa ila leo yeye hajatajwa dunia nzima anatangaza. Huu ni unafiki mkubwa sana.
 
Nikwel huwez ona hoja kwakuwa mipango yenu sio ya amani. Nahuu ni ujumbe wa amani.
 
Mwisho wa huu upuuzi wenu mwezi wa 6,simu feki zikizimwa mtapungua tu
 
Mods jukwaa hili linaharibiwa na aina ya threads za kipuuzi kama hizi
kijana umerudi hongera kwa kuwepo tena jukwaani,jukwaa lilishaharibika tangu uchaguzi uanze,huu ni mwendelezo tu wa yale yalioanzishwa tokea huko....na msimlaumu huyu kwakuwa tu anamtetea rais tambueni hata wapinzani kuna wengine washenzi sana humu wanatoa post za kishenzi na za kipumbavu zinazoendelea kushusha hadhi jukwaa hili............
 
Mwenzako aliyepewa ukuu wa mkoa mkubwa alianzia mbali mno!Si hivyo unavyotaka kufanya wewe! Kidumu chama chetu.
 
Kujipendekezaa tu hamjamboooo njaa Kali sana..halafu hata uandishi weenyewe Ni kama hukupitaa vidudu(nimerudia herufi simu hii inabadilisha maneno)Mi sio kama kilaza mleta huu Uzi....mpaka shumeee!!!
 
Hawa UKAWA sijui wakoje? Bungeni Viongozi Wakuu wa UKAWA walimsusia JPM sasa huku wamejileta kufanya nini? Ule mwaliko ulikuwa formality kama ile ya "Jirani karibu tule".kwny kukata Utepe JPM alimtaka Mwnykt wa CCM Mzee Madabida awepo kuonesha heshma kwa CCM. Mliosubiri akipotezee CCM mtasubiri sana na subirini June akikabidhiwa Chama. Waulizeni Chato watakupeni habari zake.
Jk alilea sana hawa Wahuni mpaka wakakaribishwa kuinajisi Ikulu. Hata Changamoto ya Znz leo ililetwa na Uamuzi wake wa kushinikiza Mseto Znz na Watu wasiofaa wakati Chama kilimkatalia.
Watu wengine wana phd ya upumbavu, nimeshindwa kumuelewa kabisa. Inabidi na upumbavu zaidi ndo umuelewe anamaanisha nn.
 
Wakati mwingine sioni maana yakuanzisha thread zinazo mkashifu rais wakati ukweli upo wazi kabisa kuwa huyu meya alikuwa na mpango mchafu kuchafuwa shughuli ya kuweka jiwe la msingi kwenye madi mkubwa wa umeme wa gas. Nivile rais wetu ni mpole some time hanamuda wakukimbiza upepo umemfanya mleta mada kuleta uzushi kwa sababu zake binafsi.

Hizi ndi dharau za meya wa chama Fulani maana sikuizi hata jina sitaki kulitaja maana soon hatuna aina ya chama hicho.

Hakuudhuria huo ufunguzi na badala yake akaweka jiwe kwa niaba yake kisa chakutoudhuria nikujuwa ataabika maana alisha anzisha dharau tangu hapo mwanzo kwa mkuu.

Pili huyu bwana aliwahi kunukuliwa wakati Fulani akiubeza mchango wa rais ktk shule za msingi kwa kusem hana haja na hizo pesa wakati vijana wana shida ya madawati.

Tatu inasemekana ni mmoja ya watu wanatia fujo ktk uchaguzi wa meya wa jiji huku akiwa mwana mtandao ndani ya chama Fulani kuharibu uteuzi wa meya wajiji.

Nne kama ilivyo kawaida yao mpango huu ulisha pangwa ili tu kumuharibia rais shughuli alienda kuifanya, ujuwe hawa jamaa tangu washindwe wana mipango ya chini kwa chini kukiujumu chama tawala lakiniwataisoma namba kama walivyo isoma namba ktk uchaguzi mwaka jana.

Poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hivi kisomo cha ngumbaru kilikwishafutwa hapa nchini!! Nadhani huko bado kunakufaa!!!
 
Sasa ndio umeandika nini wewe Jamaa,aiseee umechemka,babu yako wasira alishawai kuitabiria hicho Chama unachosema kitakufa kifo matokeo yake Heyerdahl ndie yuko chali.
Kijana think beyond your nose.
 
Ungekuwa karibu nikungekupiga ngumi ya chembe moyo moja takatifu.
 
Bora wengine wanaambulie free p wewe mlala hoi kisa uonekane umesema utaambulia nn? Aibuuu mda huu ungeutumia hata kuwatafutia wazazi wako ka pesa hili nao angalau wawashe ka solar kijijin wewe unabinua mdomo kwa kujipendekeza upate kazi! Ni aibu iliyoje? Hongera saaaaaaaaaaaana papalazi!
 
Natamani nikutusi....
Ujinga wenu nyinyi vijana hampendi version za wenzenu na mnalazimisha ishu. Mambo kama kwanza hayajengi, pili hayanafaida kwa jamii na tatu inakuwa nyimbo iliyozoeleka [hamtosikilizwa] mwishowe mtajifuta wenyewe kwenye nyanja za siasa maana wananchi wanataka maendeleo na siyo siasa ngojeni 2020 Anzeni strategicl plans ya 2020 sasa vinginevyo mtakuwa kama ilivyokuwa NCCR mageuzi, TLP na vinginevyo
 
Back
Top Bottom