Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #141
walizimia ila hawakuachia mifuko ya sangara !Hii topic sidhani kama inamuhusu Mwendakuzimu lakini hata yeye alikuwa na chawa wengi sana ila kwa majina tofauti, wengine wapo humu JF wanapambana kulinda 'legacy' yake.
2025 Kuna watu watalia mpaka watahisi roho zina toka ila Mungu atawaambia hamfi mpaka muwe viroboto maana uchawa hamkufanya vyema...Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .
Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .
Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu
Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
Wacha makapi na ngano viote pamoja mwisho makapi na ngano yatatengwa wasiishie hapo wazunguke nchi nzima hao Chawa we need 2025 iwe darasa kwa chawa na makunguni mpaka viroboto na utitiri..Huwa nikifananisha Mayor wa duniani na wa kwetu naona hata udereva asingepewa
Hebu angalia nguvu za Mayor wa majiji makubwa na kazi zao halafu anakuja mwingine kwa cheo hicho hicho anaandaa upuuzi huu
Poleni sana View attachment 2478383View attachment 2478384View attachment 2478385
[emoji1] [emoji1787]Wacha makapi na ngano viote pamoja mwisho makapi na ngano yatatengwa wasiishie hapo wazunguke nchi nzima hao Chawa we need 2025 iwe darasa kwa chawa na makunguni mpaka viroboto na utitiri..
Dawa ya chawa ni kuwapulizia dawa (dumu) na wanakufa wote na mara moja...!!View attachment 2478363
🤣🤣🤣tulipofikia
Unasema …?Nihivi mahitaji yetu makubwa wa darl nikumuona mh makonda akiludishwa kwenye kiti chake kama mkuu wa mkowa ili mkowa wetu uwe na amshaamsha
Atutaki maswala ya chawa tunataka wachapa kazi
Nonsense.View attachment 2478363
🤣🤣🤣tulipofikia
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .
Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .
Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu
Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
Sasa Steve Nyerere atafanya kazi gani ?Nihivi mahitaji yetu makubwa wa darl nikumuona mh makonda akiludishwa kwenye kiti chake kama mkuu wa mkowa ili mkowa wetu uwe na amshaamsha
Atutaki maswala ya chawa tunataka wachapa kazi
Chawa sio viumbe wazuri. Lengo lao nikunyonya damu. Anayejiita chawa aogopweKuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .
Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .
Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu
Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
Ngoja nimcheki Steve NyerereUzinduzi unaendeleaje huko??
Halmashauri ya Jiji ipo, set up yake imebadilishwa, kabla Halmashauri ya Jiji la DSM ilikuwa ipo inacover DSM yote pamoja na kila wilaya kuwa na halmashauri yake.Jiji la Dar Lilifutwa na JPM na kubaki Jiji la Ilala.
Mbona kuna Jiji la Dar tena?