Meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomfurusha Mwita Waitara akamatwa na polisi

Meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomfurusha Mwita Waitara akamatwa na polisi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
RPC wa Mwanza Jumanne amesema jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomtukana na kutaka kumpiga Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara.

RPC Jumanne amesema Bwire amekamatwa baada ya kushindwa kuitikia wito wa polisi uliomtaka afike kituoni kwa mahojiano.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
RPC wa Mwanza Jumanne amesema jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomtukana na kutaka kumpiga Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara.

RPC Jumanne amesema Bwire amekamatwa baada ya kushindwa kuitikia wito wa polisi uliomtaka afike kituoni kwa mahojiano.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
October election loading...

Jr[emoji769]
 
Hivi Waitara mbona ameanza kutia usumbufu wakati wananchi ndio hawamtaki
 
RPC wa Mwanza Jumanne amesema jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomtukana na kutaka kumpiga Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara.

RPC Jumanne amesema Bwire amekamatwa baada ya kushindwa kuitikia wito wa polisi uliomtaka afike kituoni kwa mahojiano.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Yohana Yohana hujatumia neno zuri. Waitara hakufurushwa aliondoka baada ya kuona wapuuzi wanafanya vurugu. Acha polisi wamshughulikie meya.
 
waitara ni mbunge ajaye Tarime vijijini tunampenda wana Tarime asikatishwe tamaa na mtu yeyote.
japo bwire nae analitaka jimbo lakini nafasi bado hana.
 
Back
Top Bottom