[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwann aligombea udiwani?Muta Rwakatare diwani wa Kawe.
Muta Rwakatare ni rais wa chama cha ngumi Tanzania.
Muta Rwakatare ni mrithi wa Mali zote za mama yake Getruda Rwakatare kuanzia Kanisa na mashule yote ya St. Mary's ( Dar, Mbeya, Mwanza na Ifakara).
Muta Rwakatare hawezi kupoteza muda aje akae kwenye kikao Siku nzima kwa posho ya elfu 30.
Kheeeeeeeeh hatareeeeh.Kijana upo mjini gani
Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie
Ova
Code hii mlishindwa kuingamuaaaaKijana upo mjini gani
Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie
Ova
Ilikuwa rahisi vyombo vya dola kumtrace,kuamua tuKheeeeeeeeh hatareeeeh.
Makubwa tenaaahIlikuwa rahisi vyombo vya dola kumtrace,kuamua tu
Ova
DuuuKijana upo mjini gani
Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie
Ova
Mlipishana kitambaa cheupe au??Jamaa yuko zake lodge uko anatafuna sungura tope
uwe unabakisha akiba ya maneno unaona unavyoumbuka?Wameishaanza kutekana
Apumzike wapi yule Mweee!! hivi unacheza na adhabu ya kaburi wewe dogo?? kwanza hakukumbuka kutubu kwa yesu wake mzungu!!...sasa fikiria mwenyewe kaenda wapi huyo??.....mwizi....Mwacheni baba wa watu apumzike hadi ulevi na uzinzi mnamsingizia
yaani wewe mkuu unaonekana ulitumbuliwa na jpm kwa wizi au matumizi mabaya ya ofisi haiwezekani umchukie jpm hivyo kila uchangiapo ni kumtukana tuHuna lolote BASHITE wewe ndio ulitakiwa ufukiwe na KICHAA Magufuli, ulijitia baba baba kila wakati ukawasahau Mama Daudi na mumewe Kolomije. HAYAWANI waHEDI.
Shikamoo jfKuna mchepuko kamfungia. Yasemekana ni mpiga mitungi mzuri sana huyu. Na mitungi na bebez ni mapacha wanaofanana
Alifichwaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ashura Mungu anamwona.
Nchi imejamba hii
Watu wapi wanajilia uroda wewe ujinga tu.Mlishaambiwa wakimaliza wapinzani mtafuatana wenyewe kwa wenyewe. Dhuluma mbaya
Umewauliza familia yake??Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo
Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro
Chanzo: www.channel ten
Na kapatikana huko huko Tabata.Kijana upo mjini gani
Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie
Ova