Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwann aligombea udiwani?
 
Kheeeeeeeeh hatareeeeh.
 
Code hii mlishindwa kuingamuaaaa
We johnthebaptist vp tena nyie
Unaniangusha mzee

Ova
 
Duuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwacheni baba wa watu apumzike hadi ulevi na uzinzi mnamsingizia
Apumzike wapi yule Mweee!! hivi unacheza na adhabu ya kaburi wewe dogo?? kwanza hakukumbuka kutubu kwa yesu wake mzungu!!...sasa fikiria mwenyewe kaenda wapi huyo??.....mwizi....

km uongo hela za kujengea Chato air port ziliidhinishwa na Bunge lipi??, sasa jiulize alizitoa wapi km siyo mwizi......riuaji, alitaka kumuua Lisu, sasa mwenzake anakula Bata.....ropo! ropo tuuu!! muoga wa wapinzani anatumia risasi kuwanyamazisha Rais gani yule!!!

angalia Mkwere alikuwa anawaita wapinzani Ikulu anakula nao Vyakula tele!! bila uoga, huyop hapo chalinze nzee anakula bata tu!! Duniani kote wanamuhitaji lkn huyo mfu hakualikwa hata zanzibar hapo
 
Huna lolote BASHITE wewe ndio ulitakiwa ufukiwe na KICHAA Magufuli, ulijitia baba baba kila wakati ukawasahau Mama Daudi na mumewe Kolomije. HAYAWANI waHEDI.
yaani wewe mkuu unaonekana ulitumbuliwa na jpm kwa wizi au matumizi mabaya ya ofisi haiwezekani umchukie jpm hivyo kila uchangiapo ni kumtukana tu
 
Umewauliza familia yake??
 
Na kapatikana huko huko Tabata.
Kweli wewe mutoto ya mujini mpambanaji ndugu mrangi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…