Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: www.channel ten
Haya Rwakatare amekutwa amejificha kwa mrembo wa Kizaramo sasa sijui kosa la mrembo au Rwakatare!
 
Haya Rwakatare amekutwa amejificha kwa mrembo wa Kizaramo sasa sijui kosa la mrembo au Rwakatare!
Wahaya kwa bebez ni tabia ya asili.huyu nae ndo hivyo alikuwa kwa bebez Ashura ,mrembo wa kizaramo.wazaramo nanyny kwa waume za watu mmezidi. Yaani mtu anamng'ania mtu bila huruma ,angalau kumruhusu ahudhulie vikao .huyu mzaramo katisha
 
Kama aliendeleza biashara ya NGADA baada ya mama yake kutwaliwa basi inawezekana wamedhulumiana na kwenye hiyo biashara ukijitia mjanja wanakupoteza!!! Wamuulize kaka yake mkubwa anaweza kujua mdogo wake aliko!
Songolo pia is a person of interest kama kweli huyu diwani katoweka; he is also mentioned as being involved in the illicit trade!!! Anaweza kujua kitu kizito kilichompata huyu diwani.
We nawe ujuaji tu. Hakuna cha ganda wala nini
 
Mtekaji[emoji39][emoji15][emoji23]
IMG-20220524-WA0562.jpg
IMG-20220524-WA0563.jpg
 
Ndiyo!! Jiwe alishirikiana kwa karibu sana, na Membe!! Lengo lao ili wamfurahishe Rais Kikwete!.... na ili kikwetet atakapo maliza mda wake awafikirie kwenye teuzi za kugombea u rais!........

Jiwe akapata, lkn kawageuka wenzake faster tena wengi tu, akiwamo Boss wake wa zamanai pia Membe! jiwe akajifanya yeye mafia zaidi... kuumbe toto la kisukuma sijui mRundiyule?........, watoto wa mjini wakawa wanalichora tu kwa povu!

ndo maana, yeye huyo Membe akawa mwiba Lugumya maksudi tu.... kwenye utawala wa jiwe kwa kuwa jiwe alimgeuka wazi, akiamini Membe anataka muua huko mbele ya safari!! ...kwa kuwa Membe ni afisa usalama mbobevu hasa bin zoefu !!

anaweza kuua dakika sifuri kwa remote ya masafa, mbinu za kimafia alizo jifunza Urusi!....hili lilimtatiza kwa hofu kubwa sana jiwe na kila akijaribu kumuweka Membe mkononi mwake hakushikika.....hata jiwe alipo kufa alitamka wazi...''amenimaliza huyu bwana''

tafuta clip humu zinazo husu kifo cha jiwe utaziona zimo!......kwani unaona Membe kuna siku aliomboleza kifo cha jiwe??...alikuwa hamuogopi jiwe hata dakika sifuri! sababu alijua mapungufu lukuki ya utawala wa jiwe ''A to Z'' ni usipime.

Maskini wa Mungu jiwe hakujua Uwezo wa watu aliokuwa anapambana nao ambao walikuwa ni very vital kwa tawala zote, tangu zama za Edward Twinning! hili hakulijua kamweee!.....ukisha kuwa Rais popote Duniani lazima uwekwe kwenye mizania kwanza!

Kumbuka kwamba Dunia hii ina wenyewe hata uwe nani lazima upitishwe kwenye tanuru of know how!!...utake usitake, wakigundua ni wrong choice ndo km hayo ya jiwe!....JF keneddy nk!

Kumbuka jiwe wkt huo alikuwa waziri!! Maafisa usalama walikuwa wanamfundisha mbinu za kimafia!! pindi wao watakapo kuwa ktk uongozi wa juu!! lkn bahati mbaya nafasi ikamdondokea jiwe!

Jiwe kashindwa kuwaweka wenzie sawa akawageuka tena kwa kejeli mbaya,...... akidhania ni Rahisi ivo!! lkn jua Membe alinuna!!....alichoshindwa kujua jiwe ni kuwa Membe alikuwa kaiva ki mafia!...na kiusalama zaidi ya nchi! yule aliandaliwa kuua tu!

nchi hii imesukwa na ika sukika wapo wachache sana tunao jua mchezo ukiingia humu uwe flexible! uishi......

Umeandika ujinga mpaka nahisi kama una Familia Basi Ina msiba wa kuishi na binadamu ambaye kafa kiakili.
 
Mama Rwalatare alipata mali kwa nia ya kupreempty waumini wake na makafarayamehusika sana, hizo mali zitaitesa hii familia mpaka basi
 
Umeandika ujinga mpaka nahisi kama una Familia Basi Ina msiba wa kuishi na binadamu ambaye kafa kiakili.
Hilo ni jibu rahisi kwa hoja nzito!!! ndo hii tabia na majibu ya vilaza weeeengi!! ... Mutu akifa akili still ataishi vepi?? ..... umesomea wapi kwanza wewe?? au umekusudia kuropoka tu?? ...Mtu km weye ndo mnasababisha shule zetu zinaitwa St. Kayumba!
 
Kijana upo mjini gani

Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie

Ova
JF bana kila kitu kinafahamika,
Ila Jamaa utakuwa ni ndugu wa ashura sio bure
 
Mama Rwalatare alipata mali kwa nia ya kupreempty waumini wake na makafarayamehusika sana, hizo mali zitaitesa hii familia mpaka basi
Hata km humjui Mungu!! ...hivi?? Rwakatare anawezaje husisha Mungu wa kweli na kafara bila kuumbuka?? kweli??.....au weye unaandika hapa kutokea kuzimu?? tumekustukia weye ujue??

kuwa weye ni mwenyeji wa kuzimu!! km siyo kweli basi dhihirisha hapa makafara hayo aliyo fanya Mama Rwakatare tuyajue! Wapi? nani? Lini? na ilikuwaje zaidi ya hapo wewe ni motoni moja kwa moja!! subiri uone!......

au Lah! mlikuwa wote akakupiga kibuti sasa leo umetoa siri...kwa sababu km hayo makafara yataitesa Familia si wao?? weye una umia na nin?? pilipili iso kuwa shambani kwako yakuwashia nini??...ni wazi ulikosa mgawo wa chochote sasa unapiga kelele humu!!!

Kama weye Makafara ya shetani yamekukataa sasa unaonea wivu wengine???...... fikiria tu hata shetani hakutaki!! kwa Mungu hakutaki umebakia kulalama tu!! afadhari yeye Mashtani yalimkubali kapeta mnoo mpka Bungeni!!

km haitoshi hayo Makafara yake basi ni mazuri mnoo!! kwakuwa yamejenga shule zake nyiiingi humo nchini TZ, wangapi wamesoma kupitia makafara ya huyo Mama?? Basi Jua anafaa sana kuliko weye mfu,

Hongera Mama Lwakatare, na siku ya hukumu tutakutetea na kukuombea Msamaha kwa nguvu zooote!! hakika tutanadamana kwa kazi zako nzuri kuwa ulikuwa njia sahihi na shujaa waa ukombozi wa Elimu ya mutu mweusi ......

na wewe kurunzi la wachawi nenda kafanye upembuzi utuletee shule nchi nzima! km ni rahisi ivo!! Nyambaf!! mijitu ya mbagala wivu tuuuu!!....... hata hayajifichi!! Mimasikini sijui yakoje haya!!

kwanza hata Mungu hayatambui! haya! ..kwa Mungu tutaenda matajiri kwa sana tu hata yeye ni tajiri! Maskini takataka nyie mtakuwa kuni tuu! za kuchoma wenye dhambi!!...siku ya mwisho mtashangaa wenzenu wanarudi kutoka paradisio wamejaa upako!

Nyie mtakuwa bado mnapanga foleni za vihepe hapo kwenye Madimbwi ya Rangi tatu!! sikutanii litunze tu hili bandiko langu uone maajabu ! km unabisha tunza bandiko langu hili mpaka siku ya mwisho ndo uttaamini maneno yangu1!

Usijidanganye kuwa eti utatubu!!!! kuna dhambi nyingine hazi sameheki......umefikia mahali pabaya mpaka unafanya mambo ya dhihaka na kumhusisha Roho Mtakatifu na Mashetani hii dhambi huchomokimo!....na dhambi nyingine hazi subiri...

ziko mle mle ndani ya kitendo chenyewe..........hujui mapepo menzako yalimtii?
 
Back
Top Bottom