Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano

vip wale waliotajwa katika ripoti ya acacia wameshakamatwa kwa mahojiano au ndo tusahau tena?
Mkuu wa wilaya anataka waombe kibali kutoka kwa manispaa cha kwenda kufanya ziara kwenye miradi hii ndio tanzania mpya
 
tuambie wewe kama unajua
Anajua wapi kibibi huyu anajua kutetea tu ujinga kwa kudhani yeye ni mwerevu, juzi alikua analia baada ya kuona Ana mgairwa kuteuliwa kua mkuu wa mkoa yeye kabaki solemba
 
Hapo ndoo utamu wa siasa unapokuja
 
Meya kihelehele huyu, tuna mameya karibu sita katika jiji hili lakini huyu meya kazi kuuza sura tu kwenye media, sijui hana kazi, mara kamshitaki Makonda, mara kaandamana bomoabomoa. ndio alitaka umeya wa jiji la Dar huyu, ovyooo!
Sawa na yule wa Arusha kashapiga m300 za kwenye msiba wa mzee ndesa saivi wapo kimya. familia ya ndesa inalilia rambirambi.

Acha upimbi za maafa bukoba mmekula za vifo vya wanafunzi mkatia ndani sasa mmekuja na ngonjera za ndesa kwa kuwa hamkuona hata thumni take manina zenu
 
View attachment 526952
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano kituo cha polisi Mbezi, sababu haijajulikana.

========

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu za kuchukuliwa kwake bado hazijawekwa wazi.

Tukio limetokea leo Jumatatu saa sita mchana katika makao makuu ya wilaya hiyo yaliyopo Kibamba.

Askari wapatao wanne wakiwa katika gari aina ya Land Cruise walifika katika eneo hilo kisha kuzuia msafara wa viongozi wa Chadema waliokuwa tayari kuanza ziara ya kutembelea manispaa hiyo.

Miongoni mwa viongozi hao wa Chadema ni waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na viongozi wengie wa Ubungo na Kanda ya Pwani.

Baada ya kuzuia msafara huo, mmoja wa askari alishuka na kumfuata Jacob na kumweleza anamuhitaji kuambatana naye hadi Kituo cha Polisi cha Mbezi.

"Tunakuomba uongozane na sisi hadi kituoni tuna maongezi na wewe yasiyozidi dakika 10 tukiridhika tunakuachia uendelee na shughuli zako,"

Baada ya kumweleza hayo, ofisa huyo alikwenda moja kwa moja katika gari la Sumaye na kumweleza kuwa wanamuhitaji meya kwa dakika 10 kisha watamuachia.


Chanzo: Mwananchi
Hivi hawa CCM ni nani aliyewaroga? Nilimsikia mkuu wa wilaya ya ubungo akimtuhumu Meya Jacob eti "anajiita Meya". Ikiwa mkuu wa wilaya hamtambui Jacob kama ni meya unategemea nini? Hii nchi imerogwa na CCM.
 
Hivi hawa CCM ni nani aliyewaroga? Nilimsikia mkuu wa wilaya ya ubungo akimtuhumu Meya Jacob eti "anajiita Meya". Ikiwa mkuu wa wilaya hamtambui Jacob kama ni meya unategemea nini? Hii nchi imerogwa na CCM.

Akimpandisha mahakamani atamtambua kama ni Mayor kwa sasa mwache aendelee kunywa kinywaji cha Madaraka ni HAKI yake
 
Ndio maana hatujasikia wazee wa makinikia wakikamatwa kwa kuwa hakuna sababu ya kuwakamata.
Mtabaki kulalama kutwa kucha.

Sioi, mume wa binti Lowassa vipi, kesi imekwisha?
 
View attachment 526952
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano kituo cha polisi Mbezi, sababu haijajulikana.

========

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu za kuchukuliwa kwake bado hazijawekwa wazi.

Tukio limetokea leo Jumatatu saa sita mchana katika makao makuu ya wilaya hiyo yaliyopo Kibamba.

Askari wapatao wanne wakiwa katika gari aina ya Land Cruise walifika katika eneo hilo kisha kuzuia msafara wa viongozi wa Chadema waliokuwa tayari kuanza ziara ya kutembelea manispaa hiyo.

Miongoni mwa viongozi hao wa Chadema ni waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na viongozi wengie wa Ubungo na Kanda ya Pwani.

Baada ya kuzuia msafara huo, mmoja wa askari alishuka na kumfuata Jacob na kumweleza anamuhitaji kuambatana naye hadi Kituo cha Polisi cha Mbezi.

"Tunakuomba uongozane na sisi hadi kituoni tuna maongezi na wewe yasiyozidi dakika 10 tukiridhika tunakuachia uendelee na shughuli zako,"

Baada ya kumweleza hayo, ofisa huyo alikwenda moja kwa moja katika gari la Sumaye na kumweleza kuwa wanamuhitaji meya kwa dakika 10 kisha watamuachia.


Chanzo: Mwananchi



Tunatetea vyama vingi lkn tukumbuke hivi hivi visipokuwa controlled ndivyo vitakavyo tupeleka katika machafuko.
Mimi napenda sana Rais anavyocontrol vyama....
Hadi uchaguzi watu ndio waanze misafara ya kujitangaza na kujisheua si sasa.. Sasa wafanye kazi..Wajenge barabara..Halmashauri yaUbungo barabara za Mitaa mbovu hawajengi wanakalia kubwabwaja tuu...Mbezi kwa Msuguli barabara hovyo, Mbezi kwa Yusufu barabara hadi kwenda Mpiji kutokea Bunju barabara ina wakazi wengi ila hovyo...
Ahhh chadema waache usanii bana wafanye kazi.

Watendaji wake ni wezi.
Watendaji pale Manispaa ni wezi sana...Hasa maofisa wa Ardhi..mimi wamenichosha kabisa..yaani bahati yao mtu aliniambia nisiwafanyie hivyo...la sivyo Ningewashikisha Rushwa...Tangu lini ardhi ya serikali ikawa inaweza kufanyiwa marekebisho katika ramani...Eti toa hela tufanye marekebisho...
 
Back
Top Bottom