Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano

Mameya wa CCM wapo busy na majukumu yao, kama yalivyoelekezwa kwa taratibu zote.
Sio huyu anapiga zumari na anacheza mwenyewe.
Ndiyoooooooooooooooooo.

Nipe buku 7 yangu.

Nikiwa bado naendelea kusubiri Noah kutoka serikali tukufu
 
Ilishasemwa wanaopinga watashughulikiwa na vyombo ya dola!
Nakumbuka kisa cha Mfalme mmoja ambae alitembea utupu mji mzima akisifiwa vazi jema na kila raia mpaka alipofika kwa mtoto mdogo aliyemwambia ukweli "mzee mbona unatembea bila kuvaa!!" Ndipo alipozinduka na kutahayari kuwa ameshaaibika mji mzima!! Tusipokuwa tayari kukubali katika kutokubaliana hatuwezi kuwa na mawazo yanayojenga. Tukitaka "yetu" yawe ndio wakati sio na tulishafeli hapo awali na waliotuambia tuko uchi tukawabeza na leo tunapojaribu kujistiri tunawaona hawafai kwa vigelegele na mapambio kama kwamba si sisi walewale... Nakumbuka kauli ya Mkosamali hakika tunapaswa kupimwa vichwa!
 
Sheria inasema polisi akikumata anapaswa awe na hati ya kukukamata pia akueleze sababu ya kukukamata.
Mkuu hizo taratibu zipo kisheria lakini polisi hawazifuati, tena ukiwa mwananchi wa kawaida na ukademand kitambulisho na kujua sababu utafika kituoni ukiwa hoi taabani.
 
Intelijensia yao imeshindwa kufanya kazi Ikwiriri na Kibiti. Ila kwa upinzani ipo 'sharp'.
 
Meya wa uingereza akisikia habari hii atashangazwa Sana!
 
Meya nae ni miongoni mwa wale jamaa walio sign ile mikataba ya madini!?!?
 
Ushasikia mameya wa ccm wanatafuta kiki kwwenye matukio,? unamjua au kumsikia meya wa Temeke au meya wa Kigamboni? huyu kazidi sasa anatafuta kiki, mpaka basi, bora yake meya wa jiji Isaya Mwita
Kwani kuna sheria inayokataza kutafuta kiki?
 
Back
Top Bottom