KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,514
- 2,325
Anatafutwa huyo sumaye kwanza. Meya anaombwa ruksa akikubali utasikia tu mkuuvip wale waliotajwa katika ripoti ya acacia wameshakamatwa kwa mahojiano au ndo tusahau tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafutwa huyo sumaye kwanza. Meya anaombwa ruksa akikubali utasikia tu mkuuvip wale waliotajwa katika ripoti ya acacia wameshakamatwa kwa mahojiano au ndo tusahau tena?
Achana na huyo kipofutuambie wewe kama unajua
Hao ni wenye nchi uditegemee zaidi ya kutajwavip wale waliotajwa katika ripoti ya acacia wameshakamatwa kwa mahojiano au ndo tusahau tena?
Kutoka juuWanatekeleza maelekezo waliyopewa!
tabu na mateso na maudhi ndo yanawaimalisha wapinzani,
ivo SSM waendeelee kuimalisha upinzani bila kujijua.
Dada yangu mambo sahz humu mitandaon si shwar... jaribu kuwa mpole usije pandishwa kwa pilato na faini juuSizonje vi wonder vimekushinda Acacia wamekushinda.umeona.urudie hobby yako ya unyapala...tehteheteh
Soma post # 20Unajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
Ulitaka kuandika kitu gani? Kwamba amewazuia wananchi kufuatilia haki zao?Kamata huyo.....huyu meya katoa tamko wananchi wavunje wenyewe nyumba zao...bila kufatilia haki zao...kibaya zaidi anatoa matamshi tofauti na siku ya mkutano. Na. Wananchi mbezi mwisho kwenye mkutano wa mnyiks
Hatushangai juu ya hilo,kwan kuteka si ndio kaz mliobaki nayo.Calm down Ben Mzima hadi sasa sema afya yake imedhoofu anapewa magazeti kama Mwananchi yuko fresh tuu mda ukitimia atarudi