Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,411
Calm down Ben Mzima hadi sasa sema afya yake imedhoofu anapewa magazeti kama Mwananchi yuko fresh tuu mda ukitimia atarudi
Hongera sana.Binadamu ni rahisi kusema pole kwa mwenzake/jirani/rafiki pale anapoondokewa na nduguye,ila inakuwa ngumu kupokea hiyo pole pale yanapomfika mtoa pole.
In short furaha yako itakuwa njema kama ukienda kukaa Bar na kujipatia beer zako kadhaa kwa sababu una nuguvu leo!