Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano

kwa hiyo unataka kutuambia nini mkuu.meya wa ccm waoga awajui kuhoji
Mameya wa CCM wapo busy na majukumu yao, kama yalivyoelekezwa kwa taratibu zote.
Sio huyu anapiga zumari na anacheza mwenyewe.
 
View attachment 526952
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano kituo cha polisi Mbezi, sababu haijajulikana.

========

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu za kuchukuliwa kwake bado hazijawekwa wazi.

Tukio limetokea leo Jumatatu saa sita mchana katika makao makuu ya wilaya hiyo yaliyopo Kibamba.

Askari wapatao wanne wakiwa katika gari aina ya Land Cruise walifika katika eneo hilo kisha kuzuia msafara wa viongozi wa Chadema waliokuwa tayari kuanza ziara ya kutembelea manispaa hiyo.

Miongoni mwa viongozi hao wa Chadema ni waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na viongozi wengie wa Ubungo na Kanda ya Pwani.

Baada ya kuzuia msafara huo, mmoja wa askari alishuka na kumfuata Jacob na kumweleza anamuhitaji kuambatana naye hadi Kituo cha Polisi cha Mbezi.

"Tunakuomba uongozane na sisi hadi kituoni tuna maongezi na wewe yasiyozidi dakika 10 tukiridhika tunakuachia uendelee na shughuli zako,"

Baada ya kumweleza hayo, ofisa huyo alikwenda moja kwa moja katika gari la Sumaye na kumweleza kuwa wanamuhitaji meya kwa dakika 10 kisha watamuachia.


Chanzo: Mwananchi
Wametumwa na bosi wao yule msaidizi wa Janet aliyepewa madaraka makubwa na hana shule
 
Sisi kama polisiccm tunatekeleza ilani ya ccm aka gamba kwa vitendo.
 
Kwenda kibiti kumewashinda wanaishia kukamatwa walemavu na wapinzan....aibu sana hii km ndo weledi wao ulipoishia
 
Wametumwa na bosi wao yule msaidizi wa Janet aliyepewa madaraka makubwa na hana shule

Tunajua Mhe. Jacob hataki ujinga na tayari alishapeleka kesi Mahakamanii ili sheria ichukue mkondo dhidi Bashite kwa kughushi!!!!!Bila ya shaka Bashite ameshaanza figisu ili kumpunguza kasi Mhe. Meya.
 
View attachment 526952
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano kituo cha polisi Mbezi, sababu haijajulikana.

========

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu za kuchukuliwa kwake bado hazijawekwa wazi.

Tukio limetokea leo Jumatatu saa sita mchana katika makao makuu ya wilaya hiyo yaliyopo Kibamba.

Askari wapatao wanne wakiwa katika gari aina ya Land Cruise walifika katika eneo hilo kisha kuzuia msafara wa viongozi wa Chadema waliokuwa tayari kuanza ziara ya kutembelea manispaa hiyo.

Miongoni mwa viongozi hao wa Chadema ni waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na viongozi wengie wa Ubungo na Kanda ya Pwani.

Baada ya kuzuia msafara huo, mmoja wa askari alishuka na kumfuata Jacob na kumweleza anamuhitaji kuambatana naye hadi Kituo cha Polisi cha Mbezi.

"Tunakuomba uongozane na sisi hadi kituoni tuna maongezi na wewe yasiyozidi dakika 10 tukiridhika tunakuachia uendelee na shughuli zako,"

Baada ya kumweleza hayo, ofisa huyo alikwenda moja kwa moja katika gari la Sumaye na kumweleza kuwa wanamuhitaji meya kwa dakika 10 kisha watamuachia.


Chanzo: Mwananchi
Tupo bongo bahati mbaya tuuu.....
 
Ulichoandika hapo hata hakieleweki
1. Kwamba polisi ni Majini?
2. Kwamba majini kazi yao ni kutumwa tu hayatumii ubongo!? hapo umeelewa?
3. Kwamba majini siyo watu ni viumbe aina nyingine umeelewa nafikiri
hapo umeelewa loud and clear!
 
1. Kwamba polisi ni Majini?
2. Kwamba majini kazi yao ni kutumwa tu hayatumii ubongo!? hapo umeelewa?
3. Kwamba majini siyo watu ni viumbe aina nyingine umeelewa nafikiri
hapo umeelewa loud and clear!
Mangi jifunze Kiswahili maana inaonekana unaandika kwa kichaga
 
Yani hawa askari wako vizuri sana kwenye kudeal na wapinzani


Majambawazi yanaendelea kuua raia na Polisi wenyewe huko Kibiti mchana kweupe lakini Polisi wenyewe walishapoteza mwelekeo badala ya kuwashughulikia hao Majambazi wanawatafuta Viongozi wa upinzani kuwatesa na kuwanyanyasa.
Si ajabu Mungu analipa kisasi cha Watu wake kuonewa pasi na sababu...
 
Meya kihelehele huyu, tuna mameya karibu sita katika jiji hili lakini huyu meya kazi kuuza sura tu kwenye media, sijui hana kazi, mara kamshitaki Makonda, mara kaandamana bomoabomoa. ndio alitaka umeya wa jiji la Dar huyu, ovyooo!
Sawa na yule wa Arusha kashapiga m300 za kwenye msiba wa mzee ndesa saivi wapo kimya. familia ya ndesa inalilia rambirambi.
Ww kijana wa lumumba shika adabu, kwan kazi yake ni kukaa ofisini
 
CCM bila ya Polisi ni wepesi kama karatasi......
 
Back
Top Bottom