Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM ni MTU Wa chuki na visasi.
JPM ni MTU Wa chuki na visasi.
Hivi huyu anapenda kiki na kuuza sura mitandaoni kama Bashite? 😀😀😀 Kuandika kwenye haujui🙄🙄🙄 kihelehele❌ kiherehere✔✔Meya kihelehele huyu, tuna mameya karibu sita katika jiji hili lakini huyu meya kazi kuuza sura tu kwenye media, sijui hana kazi, mara kamshitaki Makonda, mara kaandamana bomoabomoa. ndio alitaka umeya wa jiji la Dar huyu, ovyooo!
Sawa na yule wa Arusha kashapiga m300 za kwenye msiba wa mzee ndesa saivi wapo kimya. familia ya ndesa inalilia rambirambi.
Ninyi ndio wale wanaosemwa "wanachuja mbu na kumeza ngamia". kwamba unaweza kuacha mada kuu na kuingia kwenye typos. Kwa mfano Rais Magufuli anaposema "Tunataka Watanzania wapate LAHA" unaweza kumkosoa kweli, kwamba siyo LAHA bali ni RAHA, kama unavyokosoa typos, lakini katika GT tungependa zaidi kuangalia siyo tu typos, bali vitu vingine vya juu zaidi, kama SEMANTICS. hivi si wengi sana ambao wanashughulika navyo, wengi hupendelea kwenye "low levels" kama hapo ambapo inaonekana wewe hupendelea sana. ni wazo tu, sisemi umekosea, hapana, siku nyingine badilisha mtindo kidogo= yanawaimarisha
= kuimarisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Acha Likamatwe na Lifungwe kabisa. Tumechoka nalo. Mijitu mingine shida tupu.View attachment 526952
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano kituo cha polisi Mbezi, sababu haijajulikana.
========
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu za kuchukuliwa kwake bado hazijawekwa wazi.
Tukio limetokea leo Jumatatu saa sita mchana katika makao makuu ya wilaya hiyo yaliyopo Kibamba.
Askari wapatao wanne wakiwa katika gari aina ya Land Cruise walifika katika eneo hilo kisha kuzuia msafara wa viongozi wa Chadema waliokuwa tayari kuanza ziara ya kutembelea manispaa hiyo.
Miongoni mwa viongozi hao wa Chadema ni waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na viongozi wengie wa Ubungo na Kanda ya Pwani.
Baada ya kuzuia msafara huo, mmoja wa askari alishuka na kumfuata Jacob na kumweleza anamuhitaji kuambatana naye hadi Kituo cha Polisi cha Mbezi.
"Tunakuomba uongozane na sisi hadi kituoni tuna maongezi na wewe yasiyozidi dakika 10 tukiridhika tunakuachia uendelee na shughuli zako,"
Baada ya kumweleza hayo, ofisa huyo alikwenda moja kwa moja katika gari la Sumaye na kumweleza kuwa wanamuhitaji meya kwa dakika 10 kisha watamuachia.
Chanzo: Mwananchi
Nilidhani umetoa majibu, kumbe nawe umeuliza swali!Kwani Zile dakika 10 zimeisha?
Hapana tunaanza na Meya wa Chadema kwanza. Mkuu hao waliotajwa kwenye report zote mbili za profesors kuhusu makanikia na kuiingizia serikali yetu hasara kwa kukubali kusaini mikataba mibovu na Mhe.Rais kutoa agizo kuwa wakamatwe na wachukuliwe hatua za kisheria "effectively" effectively bado haijatimia, ila hawa wa Chadema ngoja tuwashughulikie haraka haraka si unajua siku hizi issue za wapinzani ndiyo zinazotuweka mjini? watu wa media watauza magazeti, wengine watapanda vyeo na kupandishwa madaraja, wengine tutaonekana ni watendaji wakutukuka.Na pia hao ndiyo wameisababishia serikali hasara kubwa sana kwa "kukutana" Hao waliotajwa tunasubiria ifike effectively kama ilivyosemwa, bado itafika watakamatwa mnawasi wasi gani wana JF? Kwanza wezi wakubwa ni "wadhungu" wamekuja na wameshakiri kosa. Tunasubiri watulipe trilioni zetu 386 tuwasamehe.vip wale waliotajwa katika ripoti ya acacia wameshakamatwa kwa mahojiano au ndo tusahau tena?