Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo munaenda kumpoteza kama mulivyompeta benny unaonekana unafuraha sana angalia walikuwepo akina maabotu akina sadaamu gaddaafi wote wako chini ya kilo mia tano za mchanga enjoy your time but you will rip what you sowNdo mnajipa moyo!
Ndiyo useme sasa!Unajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
Yaani ccm+police wangekuwa na uwezo wangeua wapinzani wote ili wabaki wenyewe tu watawale wazee,maskini nawasio na Elimu
HATA WAWAUE MAWAZO YA KIMAPINDUZI YAMO VICHWANI MWA WATOTO WADOGO WASIO NA VYAMA.Yaani ccm+police wangekuwa na uwezo wangeua wapinzani wote ili wabaki wenyewe tu watawale wazee,maskini nawasio na Elimu
Aibu kubwa sana mkuuUpuuzi wa hali ya juu mkuu
Uzoefu unaonyesha wapinzani huwa wanakamatwa kwa uchochezi hakuna kingine, usijifanye wewe ni mgeni Tanzania sababu tu ni CCM damu yako.Unajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
Calm down Ben Mzima hadi sasa sema afya yake imedhoofu anapewa magazeti kama Mwananchi yuko fresh tuu mda ukitimia atarudiKwa hiyo munaenda kumpoteza kama mulivyompeta benny unaonekana unafuraha sana angalia walikuwepo akina maabotu akina sadaamu gaddaafi wote wako chini ya kilo mia tano za mchanga enjoy your time but you will rip what you sow
vip wale waliotajwa katika ripoti ya acacia wameshakamatwa kwa mahojiano au ndo tusahau tena?
Kamata wachumia TUMBO.....sasa ni wakati wa KAZI...siasa 2020!View attachment 526952
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na Polisi kwa ajili ya mahojiano kituo cha polisi Mbezi, sababu haijajulikana.
========
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu za kuchukuliwa kwake bado hazijawekwa wazi.
Tukio limetokea leo Jumatatu saa sita mchana katika makao makuu ya wilaya hiyo yaliyopo Kibamba.
Askari wapatao wanne wakiwa katika gari aina ya Land Cruise walifika katika eneo hilo kisha kuzuia msafara wa viongozi wa Chadema waliokuwa tayari kuanza ziara ya kutembelea manispaa hiyo.
Miongoni mwa viongozi hao wa Chadema ni waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na viongozi wengie wa Ubungo na Kanda ya Pwani.
Baada ya kuzuia msafara huo, mmoja wa askari alishuka na kumfuata Jacob na kumweleza anamuhitaji kuambatana naye hadi Kituo cha Polisi cha Mbezi.
"Tunakuomba uongozane na sisi hadi kituoni tuna maongezi na wewe yasiyozidi dakika 10 tukiridhika tunakuachia uendelee na shughuli zako,"
Baada ya kumweleza hayo, ofisa huyo alikwenda moja kwa moja katika gari la Sumaye na kumweleza kuwa wanamuhitaji meya kwa dakika 10 kisha watamuachia.
Chanzo: Mwananchi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sizonje vi wonder vimekushinda Acacia wamekushinda.umeona.urudie hobby yako ya unyapala...tehteheteh
Meya kihelehele huyu, tuna mameya karibu sita katika jiji hili lakini huyu meya kazi kuuza sura tu kwenye media, sijui hana kazi, mara kamshitaki Makonda, mara kaandamana bomoabomoa. ndio alitaka umeya wa jiji la Dar huyu, ovyooo!
Sawa na yule wa Arusha kashapiga m300 za kwenye msiba wa mzee ndesa saivi wapo kimya. familia ya ndesa inalilia rambirambi.
Ccm polisi endeleeni kupokea ujumbe kutoka juu tumeanza na Tarime
Swissme