Pre GE2025 Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bado mnawaza biashara za kununua watu?
Bonny hanunuliki....

Namjua vyema..."CHA PUA" hicho...

Mtata mtatuzi....jamaa ana moyo mgumu sana....

Ingekuwa yuko kule "palestina hamas" angekuwa mkuu wa "operesheni za kujitoa muhanga na kujilipua "...naye angekuwa AMESHAJILIPUA siku nyingi[emoji1787][emoji1787]


Kulee....atajipeleka tu mwenyewe [emoji1787]
 
 

Attachments

  • IMG-20240901-WA0034.jpg
    126.9 KB · Views: 1
😆😆😆😆
 
Tamaa ya madaraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…