Uchaguzi 2020 Mfa maji haachi kutapatapa! CHADEMA maji shingoni

I see hii dunia Kuna vituko mwee, ccm oyee
 
Michango endelevu
 
Matunda ya Miaka 43 ya Utawala wa CCM Maradhi, Ujinga na Umaskini wa kutupwa. Walau wakati wa TANU hawajamaa walikuwa wanakondeana... tangu CCM ifanye Azimio la Zanzibar 1992, kasi ya unono na ukibonge inaongezea maradufu!
Wewe wasema, CCM imeleta maendeleo katika kila maeneo: Elimu, afya, usafiri, viwanda, uvuvi, madini, amani na maeneo mengine. Usione vyaelea vimeundwa. Viongozi wa Serikali ambayo iko chini ya CCM wana uzalendo na taifa hili.
 
Kama wewe ni mwana ccm halisi,jifunze kuwaambia watu wenu wawe fair ktk uchaguzi. Unajisifuje kushinda uchaguzi wakati tayari tume imeshakupatieni viti karibu theluthi ya madiwani wote na majimbo kadhaa ya ubunge. Hapo unafurahia nini? Hicho chama chako kinaona fahari gani kutambia ushindi wa kimagumashi namna hiyo? Kama mngekuwa mmefundwa vizuri msingefurahia ushindi wa ajabu hivyo!
 
Knockout ya karne. Pesa kwisha
Pesa ilikuwepo labda imeyeyuka;
1.Pesa ya luzuku 300 x 12 x 5 =18B
2.Mchango wa Wabunge 70 x12 x5 x laki tano 2.1 B
3.Pesa iliobaki kwenye kampeni 2015
Pesa ya diaspora.
4.Pesa iliotolewa na European Union kwa Chadema
5.Pesa ya michango ya wapenzi
6.Pesa za NEC
Mali bila daftari......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…