Uchaguzi 2020 Mfa maji haachi kutapatapa! CHADEMA maji shingoni

Uchaguzi 2020 Mfa maji haachi kutapatapa! CHADEMA maji shingoni

Naona mkuu CHADEMA imekunata akilini. Kutaja kuwa CHADEMA inakwapua hela ya Serikali badala ya CCM, inadhihirisha hoja hiyo. Pili n kwamba CCM bila msaada wa tume ya uchaguzi na vyombo vya dola na habari ni wepesi sana. Kama CCM inapendwa na wananchi kwa nini itumie tume kuengua wagombea wa upinzani na kutisha vyombo vya habari visitangaze kampeni za wapinzani? "The entire media through CCM influence is biased against the opposition. Shame on CCM!"
Sasa hapa umemkosoa nini mtoa mada? Maana alikosea kuandika ila ujumbe ukawa emeulewa. Wewe ni mpumbavu huna akili.
 
Uchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo

Zimebaki siku 49 watanzania waende kupiga kura ili kuchagua wabunge, madiwani na rais wa JMT kakini mpaka siku ya leo inafika tayari Chadema wameshaonyesha kushindwa. Na hii ni kwa sababu wamenza kulialia kama watoto wadogo.

Kitendo cha Mgombea Urais wa CHADEMA kuanza kutoa sababu ambazo hazina msingi, hizi ni Dalili kuwa sasa jahazi linazama. Mfano kulialia kwa waandishi wa habari kuwa sasa hana pesa na inalazimu kutembeza bakuli hii ni dalili kuwa hali ni mbaya. Lakini kwa nini hakufanya tahimini kuwa Chama chake hakina fedha hivyo akakaa kando na kuacha kuingia kwenye mtanange ambao ni gharama kubwa kuuendesha? Lissu hakufanya tathimini kuwa kuna michango ya wabunge iliyokuwa itumike kwenye uchaguzi ilikwapuliwa na wamiliki wa Chadema? Maana hii ni aibu kutembeza bakuli wakati wananchi tuna hali ngumu.

Kusema kuwa CCM wanachota pesa za serikali pia ni dalili kuwa huyu jamaa amekosa hoja za msingi. Hivi hajui kuwa Ccm wana asset ambazo zinawaingizia pesa lukuki ambazo wakizikusanya kwa miaka mitano zinaweza kuendesha kampeni kwa ufanisi mkubwa? Kutoa sababu eti Hayati Benjamin Mkapa alisema kuna watu walimdanganya na kukwapua pesa za Epa sio justification kuwa Ccm inachota pesa serikalini. Maana CCM ya mwaka 2005 sio hii ya leo.

Kuleta hoja eti CCM imepitisha mgombea ubunge wa Njombe ambae alikuwa na mashitaka ya ufisadi. Kwa hiyo Ccm haipambani na ufisadi huku nako ni kukosa hoja zenye mashiko na zisizo na msaada kwa CHADEMA . Mimi nafikili kama chama makini wangetuambia namna gani watamshinda huyu mgombea ubunge aliyekuwa na makosa ya ufisadi ili wachukue jimbo la Njombe kuliko kuanza kulalama juu ya kuteuliwa kwake kugombea.

Pia ifahamike huyu mgombea baada ya kubainika amefanya makosa ya kusaidia Acaccia wasilipe kodi alikamatwa nakufunguliwa mashitaka na kisha kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria. Na hukumu yake haijamuondolea sifa ya kuwa mgombea ubunge. Kwa hiyo ni wazi kuwa serikali ya CCM ilichukua hatua stahiki, kusema kwamba haipambani na ufisadi ni uongo na kukosa hoja.

Kujibu hoja ya kuwa anatumiwa na mabeberu kizembe hivyo pia imeonyesha ni wazi kuwa anapata misaada toka kwa mabeberu. Maana huwezi kusema kuwa kisa Usaid au JICA wakitoa misaada tayari tumepata msaada toka kwa mabeberu. Maana dhana nzima ya ubeberu huwa inakamilika pale misada ya taifa lenye uwezo linapotoa msaada ambao una lengo la kuinyonya nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni. Hili hajajibu vuzuri maana anakiri kuwa impliedly kuwa anapata misaada. Je hiyo misaada anaipata kwa mashariti gani huyu ndugu Lissu? Ili aje alinde faragha za watu wanaovunja sheria za nchi!

Kusingizia media za Tanzania hazifanyi coverage ya mikutano yake ni aibu na hii ndio imeonyesha sasa ameishiwa nguvu. Amesahau kilichotokea pale Zakheim? Lakini pamoja na hayo mimi naona vyombo vya habari karibu vyote vinaripoti mikutano yake.

Kusema rais anatumia madaraka yake kujipatia kura. Hili nalo linachanganya. Kwani Tundu Lissu hajui kuwa ukomo wa rais wa JMT ni mpaka aapishwe mwingine? Maana pale Nyehunge rais Magufuli alikuwa anatumia kofia yake ya urais kutekeleza majukumu yake,na kwa katiba ya JMT lipo wazi. Ila dalili zinaonyesha sasa maji yamefika shingoni na baada ya siku kumi itakuwa aibu kwa Chadema.
Tupeane pole
 
Uchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo

Zimebaki siku 49 watanzania waende kupiga kura ili kuchagua wabunge, madiwani na rais wa JMT kakini mpaka siku ya leo inafika tayari Chadema wameshaonyesha kushindwa. Na hii ni kwa sababu wamenza kulialia kama watoto wadogo.

Kitendo cha Mgombea Urais wa CHADEMA kuanza kutoa sababu ambazo hazina msingi, hizi ni Dalili kuwa sasa jahazi linazama. Mfano kulialia kwa waandishi wa habari kuwa sasa hana pesa na inalazimu kutembeza bakuli hii ni dalili kuwa hali ni mbaya. Lakini kwa nini hakufanya tahimini kuwa Chama chake hakina fedha hivyo akakaa kando na kuacha kuingia kwenye mtanange ambao ni gharama kubwa kuuendesha? Lissu hakufanya tathimini kuwa kuna michango ya wabunge iliyokuwa itumike kwenye uchaguzi ilikwapuliwa na wamiliki wa Chadema? Maana hii ni aibu kutembeza bakuli wakati wananchi tuna hali ngumu.

Kusema kuwa CCM wanachota pesa za serikali pia ni dalili kuwa huyu jamaa amekosa hoja za msingi. Hivi hajui kuwa Ccm wana asset ambazo zinawaingizia pesa lukuki ambazo wakizikusanya kwa miaka mitano zinaweza kuendesha kampeni kwa ufanisi mkubwa? Kutoa sababu eti Hayati Benjamin Mkapa alisema kuna watu walimdanganya na kukwapua pesa za Epa sio justification kuwa Ccm inachota pesa serikalini. Maana CCM ya mwaka 2005 sio hii ya leo.

Kuleta hoja eti CCM imepitisha mgombea ubunge wa Njombe ambae alikuwa na mashitaka ya ufisadi. Kwa hiyo Ccm haipambani na ufisadi huku nako ni kukosa hoja zenye mashiko na zisizo na msaada kwa CHADEMA . Mimi nafikili kama chama makini wangetuambia namna gani watamshinda huyu mgombea ubunge aliyekuwa na makosa ya ufisadi ili wachukue jimbo la Njombe kuliko kuanza kulalama juu ya kuteuliwa kwake kugombea.

Pia ifahamike huyu mgombea baada ya kubainika amefanya makosa ya kusaidia Acaccia wasilipe kodi alikamatwa nakufunguliwa mashitaka na kisha kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria. Na hukumu yake haijamuondolea sifa ya kuwa mgombea ubunge. Kwa hiyo ni wazi kuwa serikali ya CCM ilichukua hatua stahiki, kusema kwamba haipambani na ufisadi ni uongo na kukosa hoja.

Kujibu hoja ya kuwa anatumiwa na mabeberu kizembe hivyo pia imeonyesha ni wazi kuwa anapata misaada toka kwa mabeberu. Maana huwezi kusema kuwa kisa Usaid au JICA wakitoa misaada tayari tumepata msaada toka kwa mabeberu. Maana dhana nzima ya ubeberu huwa inakamilika pale misada ya taifa lenye uwezo linapotoa msaada ambao una lengo la kuinyonya nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni. Hili hajajibu vuzuri maana anakiri kuwa impliedly kuwa anapata misaada. Je hiyo misaada anaipata kwa mashariti gani huyu ndugu Lissu? Ili aje alinde faragha za watu wanaovunja sheria za nchi!

Kusingizia media za Tanzania hazifanyi coverage ya mikutano yake ni aibu na hii ndio imeonyesha sasa ameishiwa nguvu. Amesahau kilichotokea pale Zakheim? Lakini pamoja na hayo mimi naona vyombo vya habari karibu vyote vinaripoti mikutano yake.

Kusema rais anatumia madaraka yake kujipatia kura. Hili nalo linachanganya. Kwani Tundu Lissu hajui kuwa ukomo wa rais wa JMT ni mpaka aapishwe mwingine? Maana pale Nyehunge rais Magufuli alikuwa anatumia kofia yake ya urais kutekeleza majukumu yake,na kwa katiba ya JMT lipo wazi. Ila dalili zinaonyesha sasa maji yamefika shingoni na baada ya siku kumi itakuwa aibu kwa Chadema.
Uchambuzi wa kijinga, ni bahati mbaya umeletwa Jamii Forum mahali ambapo wajinga ni wachache sana!
 
Mbona hamueleweki? Kelele na hofu za nini kama mko imara? Kama wapinzani wenu hawajiwezi si ndiyo furaha kwenu na mtumie udhaifu wao kuwashinda bila kuwapigia kelele? Kuendelea kufanya hivyo ni kufunnua udhaifu wenu kwao na wanaweza kuutumia kuwanyuka.
Chadema hawana jeuri hiyo , na tunakoelekea mgombea wenu atatema damu , kutembea ukipiga kampeni non stop Kwa miez miwili inahtaj mapafu ya mbwa na ugali wa Dona , Acha mchezee vitasa vya uso
 
Inawezekana sana. Kampeni za chadema 2010 na 2015 zilikuwa na hamasa sana kulinganisha na hizi za Lisu mwaka huu.
Hamna hamasa yyte , kibaya Zaid 60% ya wafuasi wa Chadema ni dead project, yaan hawana sifa au hawana mda wa kuhangaika kupiga kura ....so sad
 
Hivi zile Buku saba za Lumumba bado zipo kweli..
 
Alifikiri uraisi ni kula myama choma na bia akiwa ana hudumiwa na mzungu huko uberigiji?
Mmemdanganya kwenye mitandao nae akavimba kichwa sasa joto linamuwakia.
Kama ameshindwa kumuuliza Mbowe wapi pesa za wabunge zipo, basi wacha akione cha moto.
Huyo pimbi anatakiwa ale za uso za kutosha af arud Kwa Wale waliomtuma , jinga kabisa , huwez kutuuza kizembe hvo , af kumbe ndo lilikuwa linatumia elimu yake ya Sheria kuikandamiza nchi kwa kuwatetea mchwa, kwenye mikataba ya kinyonyaji ya madini tuliyoingia kichwa kichwa, ndo mana waliliwasha vyuma vya kutosha ...
 
Kwa kuwa chadema wanatapatapa ili tuwashinde vizuri bila ulalamishi nashauri ccm tusiiibe Kura,

pia tusiinglie maamamuzi ya tume, tuwaambie tume wawarudishe wagombea wote walioenguliwa,

alafu Tuache kumwogopa Lissu, tufungulue vyombo vya habari vitangaze na kuonyesha mikutano ya Lissu

Mwisho tumtangaze Lissu mshindi baada ya uchaguzi
Huo upumbavu hayupo wa kuufanya , Simba akifukuza panya huwa anatumia nguvu zote the same kama anawinda mbogo, Chadema wamejinasibu wako vizur so wanatakiwa wachapike Kwa kila silaha iliyopo mezani ....kila mmoja atumie kila aina ya resources alizo nazo , no mercy here, haki na usawa utazikuta mbinguni, hapa duniani ni mwendo wa sarakasi tuuu...na ukizingua unawashwa vyuma kama kawaida
 
CDM tangu waanze Kampeni sijawahi kusikia wakitoa hoja za msingi kama alivyokuwa Dr.Slaa.
Kwa tathmini ya haraka haraka, hawa jamaa wameshashindwa tayari. Tena wameshindwa kwa kipigo cha MBWA KOKO.
MAGUFULI ni moto wa NYUKLIA.
 
Uchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo.

Zimebaki siku 49 watanzania waende kupiga kura ili kuchagua wabunge, madiwani na rais wa JMT kakini mpaka siku ya leo inafika tayari Chadema wameshaonyesha kushindwa. Na hii ni kwa sababu wamenza kulialia kama watoto wadogo.

Kitendo cha Mgombea Urais wa CHADEMA kuanza kutoa sababu ambazo hazina msingi, hizi ni dalili kuwa sasa jahazi linazama. Mfano kulialia kwa waandishi wa habari kuwa sasa hana pesa na inalazimu kutembeza bakuli hii ni dalili kuwa hali ni mbaya. Lakini kwa nini hakufanya tahimini kuwa chama chake hakina fedha hivyo akakaa kando na kuacha kuingia kwenye mtanange ambao ni gharama kubwa kuuendesha? Lissu hakufanya tathimini kuwa kuna michango ya wabunge iliyokuwa itumike kwenye uchaguzi ilikwapuliwa na wamiliki wa Chadema? Maana hii ni aibu kutembeza bakuli wakati wananchi tuna hali ngumu.

Kusema kuwa CCM wanachota pesa za serikali pia ni dalili kuwa huyu jamaa amekosa hoja za msingi. Hivi hajui kuwa Ccm wana asset ambazo zinawaingizia pesa lukuki ambazo wakizikusanya kwa miaka mitano zinaweza kuendesha kampeni kwa ufanisi mkubwa? Kutoa sababu eti Hayati Benjamin Mkapa alisema kuna watu walimdanganya na kukwapua pesa za Epa sio justification kuwa Ccm inachota pesa serikalini. Maana CCM ya mwaka 2005 sio hii ya leo.

Kuleta hoja eti CCM imepitisha mgombea ubunge wa Njombe ambae alikuwa na mashitaka ya ufisadi. Kwa hiyo Ccm haipambani na ufisadi huku nako ni kukosa hoja zenye mashiko na zisizo na msaada kwa CHADEMA . Mimi nafikiri kama chama makini wangetuambia namna gani watamshinda huyu mgombea ubunge aliyekuwa na makosa ya ufisadi ili wachukue jimbo la Njombe kuliko kuanza kulalama juu ya kuteuliwa kwake kugombea.

Pia ifahamike huyu mgombea baada ya kubainika amefanya makosa ya kusaidia Acaccia wasilipe kodi alikamatwa nakufunguliwa mashitaka na kisha kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria. Na hukumu yake haijamuondolea sifa ya kuwa mgombea ubunge. Kwa hiyo ni wazi kuwa serikali ya CCM ilichukua hatua stahiki, kusema kwamba haipambani na ufisadi ni uongo na kukosa hoja.

Kujibu hoja ya kuwa anatumiwa na mabeberu kizembe hivyo pia imeonyesha ni wazi kuwa anapata misaada toka kwa mabeberu. Maana huwezi kusema kuwa kisa Usaid au JICA wakitoa misaada tayari tumepata msaada toka kwa mabeberu. Maana dhana nzima ya ubeberu huwa inakamilika pale misada ya taifa lenye uwezo linapotoa msaada ambao una lengo la kuinyonya nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni. Hili hajajibu vuzuri maana anakiri kuwa impliedly kuwa anapata misaada. Je hiyo misaada anaipata kwa mashariti gani huyu ndugu Lissu? Ili aje alinde faragha za watu wanaovunja sheria za nchi!

Kusingizia media za Tanzania hazifanyi coverage ya mikutano yake ni aibu na hii ndio imeonyesha sasa ameishiwa nguvu. Amesahau kilichotokea pale Zakheim? Lakini pamoja na hayo mimi naona vyombo vya habari karibu vyote vinaripoti mikutano yake.

Kusema rais anatumia madaraka yake kujipatia kura. Hili nalo linachanganya. Kwani Tundu Lissu hajui kuwa ukomo wa rais wa JMT ni mpaka aapishwe mwingine? Maana pale Nyehunge rais Magufuli alikuwa anatumia kofia yake ya urais kutekeleza majukumu yake,na kwa katiba ya JMT lipo wazi. Ila dalili zinaonyesha sasa maji yamefika shingoni na baada ya siku kumi itakuwa aibu kwa Chadema.
CCM ndiyo inatapatapa ushetani wa kupita bila kupingwa kwa njia haramu ni kupora haki za wapiga kura
 
Tuliwaambia CCM ipo well organized watu wakaja na ngojera za nyomi la wavuta bangi , CCM kirumba imejaa watu wakaja na ngojera et watoto wamesombwa , hii mbinu ya Chadema kutokubali uimara wa CCM itawacost Sana , CCM wanajua vizur kabisa Chadema hawawez kurun show effectively cse wapo poor funded.
Kirumba ilijaa wanafunzi na wawili kufa kwa kukanyagwa huku waliosombwa na mabasi wakikosa usafiri wakarejea makwao kwa miguu
 
Huo wimbo umechuja, mbona hamuongelei 8.9 billion michango ya wabunge walizokatwa kwa ajili ya kampeni Mbowe akala?
Trilion 1.5 mpaka kumtoa CAG kafara ipo wapi? Ununuzi wa Ndege kuna ufisadi mpaka kumzuia CAG kukanyaga huko, miradi yote mikubwa ina ufisadi mkubwa CCM ni ile ile Ukoo wa panya
 
CHADEMA haina mikakati ya kampeni, kila siku wanalalamika. Watashindwa vibaya.
Watashindwa na nani? Kwani CCM hawaihujumu chadema? Hutaki walalamike ili iweje? Yaani watendewe ubaya waache kulalamika?
 
Sasa si ufafanue ili tuelewe vizuri. Mfano mmoja tu rais wa JMT ametoa maagizo barabara ya Sengerema Nyehunge itengenezwe.Hapo kosa lipo wapi?
Ccm ni chama ambacho kina assets nyingi. Mapato yake yanayosha kujiendesha kwa kila namna. Weka uthibitisho wamechota pesa hazina.
CCM hawana pesa, pesa wanachota Hazina BOT kienyeji uthibitisho ni jinsi walivyonunua Ndege kienyeji, jinsi walivyojenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge , Assets nyingi zipi?
 
Hawa ni wale wanaCdm ambao akili zao Mbowe ameziroga.
Hawa ni wanaccm ambao akili zao ni sawa na za wale wanaoshinda gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz wakikaririshwa ujinga huku wakivuta Bangi.
 
Nchi ina miaka 59 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani,Mda huu Tanzania ilipaswa iwe na kura ya veto iwe kwenye G5 kwani Tanzania kwa utajiri iliokuwanao ipo level ya America, German, China, Japan, India, Urusi, Canada, Oman, Qatar, England, na mataifa mengine tajiri zaidi, CCM inafuja pesa za walipa kodi, inazitumia kudidimiza demokrasia, pesa inayotumika kuwabambikia kesi, kununua wabunge madiwani, kudhoofisha chadema kuua upinzani na sasa ushetani mpya wa kupita bila kupingwa ni pesa nyingi sana, ni pesa ambazo zingeweza kujenga viwanda kila kata, vyuo vikuu kila wilaya, Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa kila mkoa mpaka Nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania, pesa zote za viwanda kaenda kuwekeza chato Airport na mbuga mpya ya wanyama ambao sasa wameliwa na wananchi wa vijijini vya jirani mpaka kukaribia kumalizika.
 
Back
Top Bottom