LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Ccm wanakwapua hazina tufedha haramu zimezuiwa, mwaka huu hakuna jinsi utakavyo penyeza fedha haramu lazima udakwe tu.
Tanzania sio shamba la bibi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm wanakwapua hazina tufedha haramu zimezuiwa, mwaka huu hakuna jinsi utakavyo penyeza fedha haramu lazima udakwe tu.
Tanzania sio shamba la bibi tena
HaahaaChadema ingekuwa inatapatapa mngejaza watoto mikutanoni ? Sasa Chadema na CCM Nani anatapatapaView attachment 1564308View attachment 1564311View attachment 1564313View attachment 1564310
Vipi kudeki lami na kuzungusha mikono safari hii; mmeghairi ile staili au?Umeona eeh, ccm wao wanachota hazina tu wanasonga
Hwana akili za kujaza form na bado mme waacha kama watoto wa bata badala ya kuwasaidia kujaza form. Mlipeni kibatara awasaidie wakati wa kujaza form hayo yote hayata tokea.Kitendo cha tume kuengua wagombea wa upinzani inaonyesha ccm hali mbaya
Mgombea wa CCM John Pombe Joseph Magufuli amesema kwa kipindi cha miaka 5 ametengeneza ajira milioni 6.Majuzi kati alienda Zanzibar, badala ya kumnadi mgombea wa chama chake akamnadi mgombea wa act wazalendo.
Shida kwelikwelii
Wewe kwa level yako huwezi kuelewa wenye chama chao ndiyo wanaelewa wewe ngoja kwenda kwenye fiesta kuangalia watu wakicheza singeli tu.Lis
Lisu anamchamchaka gani, ambao unaweza kuisumbua ccm? Hivi lisu inje ya kupayuka na kushudia kiki za miujiza na kuwatoza watu sadaka za lazima na kuwataka wanatanzania wampe uraisi kama kifuta machozi, anasera zipiii?? Au unataka tuanike kiki zenu zote hapa??
Tuliwashauri mapema kuwa mumeanza kwa pupa mno, uwezo mnao? mna fedha za kutosha kuzunguka hii nchi miezi mitatu? wakawa kichwa ngumu.Yaani sikutegemea hawa makamanda uchwara wa ufipa wataishiwa pumzi mapema kiasi hiki, duh.
Wako kama yule jamaa wa kiki za miujizDah uvccm humu hoja hakuna..yaani ni empty kichwani hawana critical reasoning mihemko na mahaba niue ya chama yamewajaa kichwani... Mpaka Muite maji mmma.![]()
![]()
![]()
![]()
Fiesta hata nyie mnaitamani saana tuuuu, unakumbuka kipindi kile wema sepetu atishie kujiunga na kundi lenu, mlivyokesha kumpokea na kabla hajapata kiparata cha kundi lenu mlimwita kamanda wema, baada ya kuona SMS za fly to KIA zimekuwa nyingi akawatosa. Wasanii hata nyie mnaao wengi saana sema tuu wakwenu nimapopoma.Wewe kwa level yako huwezi kuelewa wenye chama chao ndiyo wanaelewa wewe ngoja kwenda kwenye fiesta kuangalia watu wakicheza singeli tu.
Asante saaana mkuuuu. Sema tuu hayaelewi haya majamaaa.Tuliwashauri mapema kuwa mumeanza kwa pupa mno, uwezo mnao? mna fedha za kutosha kuzunguka hii nchi miezi mitatu? wakawa kichwa ngumu...
Comrade acha jazba.Mada Sio Mama
Acha upuuzi
Mpo hali tete Vibendera na Mkipata 20% Mmeshinda
Kwa kuwa chadema wanatapatapa ili tuwashinde vizuri bila ulalamishi nashauri ccm tusiiibe Kura,Uchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo....
Hapana, Sheria ya Gharama za Uchaguzi inakataza ya Nyehunge na ya Musoma yaliyofanywa na Magufuli. IsomeUchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo...
Kweli kabisa, ila ukwasi wa CCM sio wa kujivunia, kwa kuwa nyingi ni mali ya umma waliyonyakua wakati wa mwanzo wa vyama vingi, na sasa wanafanya mikataba ya malipo na watuhumiwa nyuma ya pazia kupitia ofisi za mashitaka za serikali. Wapinzani walikosea. Walitakiwa kudai mgawanyo wa assets kwanza sambamba na kujaribu kwenda IkuluNdugu zangu,
Sisi waswahili huwa tuna msemo ''ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa''..hali ipo hivi, yawapasa muelewe. Hakuna mtu anayeweza kusema ''nimeshindwa'' au ''tumeshindwa'' hasa ikiwa alishajigamba na kujimwambafai kuwa anashinda saa mbili asubuhi.
Kauli za ''kiutu uzima'' ni kama ''hatuna pesa za kampeni'', ''mguu wangu haukunjuki'' ''habaru zangu hazirushwi'',''mshindani wangu anahela sana''.
Kwa wale tunaojua hesabu za ''cross multiplications'' tunasema ''ikiwa Tundu kafanya mikutano 10 ndani ya siku 10 basi ndani ya siku 60 anatafanya mikutano 60''
Ukweli ni kuwa angalau ya watanzania asilimia 70 wanaishi vijijini sasa kama kishagundua kuwa hawezi kukutana na kushawishi wanachi walio wengi wampigie kura, ni dhahiri kishaanguka.
Wakati umefika ambao Robert Amsterdam amejichokea na kutokomea bila kuandika ''vijibarua vyake uchwara''.
Uraisi sio Urahisi.
Huo wimbo umechuja, mbona hamuongelei 8.9 billion michango ya wabunge walizokatwa kwa ajili ya kampeni Mbowe akala?Hakuna asiyejua kwamba CCM wana assets zinazozidi hata 1.5T 😛
Halafu eti makamu wa rais wa JMT atakuwa Salum Mwalimu! Hawako serious Hawa wanachangamsha genge tu Hawa.Hakuna msimu chadema wamekosa mgombea uraisi kama awamuu hiiii.
Maana ukiangalia mgombea walie mpisha, kwenye kujenga hoja na kuleta heshima ya mgombea uraisi, kiukweli anapwaya saana. Tungu lisu mda wote wa kampeni anautumia kama mwanaharakatii. Sasa hiii imesha mgarimu, vinginevyo abadili namna ya kuendesha kampeniii. Au viongozi wenzake wamshauliiii.
Tu ndio ukweliComrade acha jazba.