Cohenlukinga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 279
- 352
Mudy na Allah watatumia njia nyingine tu kuifutilia mbali taifa la IsraelMirija imekatwa....sijui mtume atatumia mbinu gani kuwasaidia, raundi hii mnapata tabu sana hehehe
allah mohamed akbar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mudy na Allah watatumia njia nyingine tu kuifutilia mbali taifa la IsraelMirija imekatwa....sijui mtume atatumia mbinu gani kuwasaidia, raundi hii mnapata tabu sana hehehe
allah mohamed akbar
Hezbollah ni jeshi, sio magaidi,, west wanawaita magaidi kwa sababu zao,, hilo ni kundi na linaongoza serikali ya lebanoni likishirikiana na chama cha wakristo, wanaoongozwa na Rais Michaeli Auon kama atakua hajastaafu,,
Rais wa lebanoni ni mkristo.
Waziri mkuu ni sunni islamic.
Spika wa bunge ni hezbollah,
Hezbullah wako na wabunge na pia mawaziri,,. Katika lebanon, hezbollah wako karibu na christian part, na kuna mda waliunda coalition wakawa na majority bungeni dhidi ya sunni party,
Hezbollah ilianzishwa 1982 baada ya israel kuivamia lebanon ya kusini na kuikalia,, kama siyo syria kuingiza majeshi lebanon israel wangeishika lebanon yote, kwani kieneo lebanon ni ndogo kwa israel.
Baada ya israel kuikalia lebanon kusini hezbollah iliundwa na kupigana na israel hadi kuwatoa lebanon.
Sass uhasama ndo ulianzia hapo
Umeongea kama maamuma mkubwa. Huwa wana record? Au mnapewa maandishi wakati wa mhadhara?Weka ushaidi wa hayo makubaliano. Audio au ya kimaandishi
Sukupangii nakushangaa tu.Usinipangie, lazima muambiwe ukweli ya mlivyo, mumenyamaziwa sana
Haya.Al Qaeda confirms bin Laden is dead, vows revenge
By Augustine Anthony
ISLAMABAD (Reuters) - Al Qaeda confirmed on Friday that Osama bin Laden was dead, dispelling doubts by some Muslims the group’s leader had really been killed by U.S. forces, and vowed to mount more attacks on the West.
The announcement by the Islamist militant organization, which promised to publish a taped message from bin Laden soon, appeared intended to show its adherents around the globe the group had survived as a functioning network.
In a statement online, it said the blood of bin Laden, shot to death by a U.S. commando team in a raid on Monday on his hide-out in a Pakistani town, “is more precious to us and to every Muslim than to be wasted in vain.
“It will remain, with permission from Allah the Almighty, a curse that hunts the Americans and their collaborators and chases them inside and outside their country.”
Al Qaeda urged Pakistanis to rise up against their government to “cleanse” the country of what it called the shame brought on it by bin Laden’s shooting and of the “filth of the Americans who spread corruption in it.”
The statement also warned Americans not to harm bin Laden’s corpse and to hand it and those of others killed to their families, although U.S. officials say bin Laden’s body has been buried at sea and no others were taken from the compound.
Some in the Muslim world have been skeptical of bin Laden’s death. One survey conducted in Pakistan this week by the British-based YouGov polling organization found that 66 percent of over 1,000 respondents did not think the person killed by U.S. Navy SEALs was bin Laden.
Before Friday prayers at a mosque in Paris, one man who declined to give his name said: “This whole story is a myth. They invented it to distract Americans from real problems over there, like the economy and gas prices.”
But U.S. President Barack Obama continued to bask in public approval for the killing of bin Laden. He flew to a military base at Fort Campbell, Kentucky, on Friday to thank special forces involved in the raid.
RELATED COVERAGE
Hajulikani kama ni NATO AU RUSSIA.Anajulikana kama wa kiume humu ila mienendo yake ina walakini fulani.
US wana uhasama na hezb, wa tangu miaka ya 80,, kambi ya jeshi la marekani mjini beirut, Lebanon ililipuliwa na wanamgambo hao wa hezb, US marine 295 wakafa hapo hapo, baada ya hapo US waliondoa majeshi yao kutoka lebanon, kipindi hicho US walikua wanasupport wanamgambo wa General michael Aun,, sasa hawa christian militias supported by israel and US walikua wanapigana civil war, beirut,, inasemekana waliingia kambi ya wakimbizi shatila(kama sikosei),wakachinja wakimbizi wa lebanon kama kuku, zaidi ya 300,,Ni magaidi wa dini bana, wapigwe....
US wana uhasama na hezb, wa tangu miaka ya 80,, kambi ya jeshi la marekani mjini beirut, Lebanon ililipuliwa na wanamgambo hao wa hezb, US marine 295 wakafa hapo hapo, baada ya hapo US waliondoa majeshi yao kutoka lebanon, kipindi hicho US walikua wanasupport wanamgambo wa General michael Aun,, sasa hawa christian militias supported by israel and US walikua wanapigana civil war, beirut,, inasemekana waliingia kambi ya wakimbizi shatila(kama sikosei),wakachinja wakimbizi wa lebanon kama kuku, zaidi ya 300,,
Baada ya kambi ya jeshi la US kulipuliwa, wananchi wa marekani waliandamana na kutaka US marine waondolewa, lebanon,
Hivyo mpaka kesho, Hezbollah itakuwa na uhasama na US,,
US wamekuwa wakiwa target viongozi wa hizb, kila wanapopata upenyo ili kulipa kisasi cha kupoteza marine wao 295 kwa mpigo
Kama tukio gani bosi?, Taja angalau moja🤷🏻♂️Unasema inasemekana, ina maana unatunga, ila hao Hezbollah magaidi wa dini tumeshuhudia matukio yao ya ugaidi.
🤷🏼♀️Unasema inasemekana, ina maana unatunga, ila hao Hezbollah magaidi wa dini tumeshuhudia matukio yao ya ugaidi.
Umesema sina uhakika sababu nimesema, "yasemekana",hizo picha na copy na paste ndo jibu,, 😂😂,Sijaelewa hizi picha za wikipedia unakusudia zitimize nini...
Bado uko mzito kuelewa soma hiyo paste, inaeleza CIA walitaka kulipiza kisasi kwa hezb,, wakatuma gari limejaa mabomu kumlipua ayotolah wa lebanon, akaponea chupu chupu,Kuwa serious bana...anyway nitakuelewa maana nyie wale wale...
Bado uko mzito kuelewa soma hiyo paste, inaeleza CIA walitaka kulipiza kisasi kwa hezb,, wakatuma gari limejaa mabomu kumlipua ayotolah wa lebanon, akaponea chupu chupu,
Sasa nikuulize, hicho walichofanya CIA ni ugaidi au siyo ugaidi?,
Lakini miaka mitano nyuma, CIA na mossad waliua kamanda wa hezb, kwa kumtegea car bomb,,
Nachomaanisha, magharibi wana tabia kuwapa bad name maadui zao, for specific reason,
Mfano rahisi ili uelewe vizuri,, Mandela aliitwa gaidi na nchi za kizungu🤷♂️
.sasa mkongwe kama wewe wa jf, hizi vitu huzijui kweli au unajitoa ufahamu?
😂😂,Unaona sasa,, wewe uelewa wako uko weak sana,, mi naongelea ayotolah wa lebanon, ambae afterall ni marehemu, wewe unadhani naongelea ayotollah khamein wa iran, kwani huyo ndio mabeberu humshutumu eti analazimisha watu kufaa shungi,,Wapi taarifa rasmi za hiyo copy paste yako, hata hivyo huyo ayatollah ni gaidi namba moja la kidini, kwanza anaua raia wake kabisa kisa nywele za mwanamke.