Mfadhili mkubwa wa Hezbollah akamatwa

Kweli kabisa. Bila Marekani dunia sijui ingekuwaje. Ona kule Yemen wanavyopigana watu wa dini moja. Yaani jamaa hawasomeki wanataka nini. Roho ya mauaji imo ndani yao.
Hata vita vya dunia walipigana watu wa dini moja,, hata ukraine na Russia wanapigana watu wa dini moja,,
Ugomvi hauangalii dini,,
Iran na azerbanjain ni shia wote, lakini hawapatani,,
Saudi arabia na qatar ni suni, lakini hawapatani,
Marekani na Russia ni wakristo, lakini hawapatani,
 
NYINYI ZENU NI MAKELELE TU BASI, SISI OUR MISSION COMPLETE, TUMESHAJICHUKULIA 20% NA SASA TUNASUBIRI WAVAMIZI WAJE WATUVAMIE TUWAFYEKEE MBALI
 
M
Aliondoka baada ya maslahi yake kukamilika na kumaliza mision yake,afgan wakaianza kufuga tena magaidi wajiandae na kipigo heavy.
Mengine yapo juu ya upeo wako,uwe unayaacha
 
Acha ujinga, ile ilikiwa sinema tu ya kudanganya ulimwengu kuwa wamemkamata Osama.
Marekani kwa kutaka masifa kwanini hawakuonyesha ulimwengu sura ya mtu waliemkamata na kumnadi ni Osama?
Hahaha....! Una elimu ipi yakhee Ilmu Madrassat au Ilmu Akhera??
 
Naendelea kusoma comments ya Waarabu wa Tandale wenye nywele ngumu nyeusi, lips pana na pua kama ngumi [emoji23]
 
Acha ujinga, ile ilikiwa sinema tu ya kudanganya ulimwengu kuwa wamemkamata Osama.
Marekani kwa kutaka masifa kwanini hawakuonyesha ulimwengu sura ya mtu waliemkamata na kumnadi ni Osama?

Basi na wewe utuambie yuko wapi tangia hapo maana hata video za kurekodiwa akizokuwa anarusha wakati huo hazipo tena na pia kundi lake la Alqaeda lilishasambaratika vipande vipande! Kenge wewe!
 
Alqaeda wenyewe wangeshasema alipo kama angekuwa hai

Al Qaeda confirms bin Laden is dead, vows revenge
By Augustine Anthony

ISLAMABAD (Reuters) - Al Qaeda confirmed on Friday that Osama bin Laden was dead, dispelling doubts by some Muslims the group’s leader had really been killed by U.S. forces, and vowed to mount more attacks on the West.

The announcement by the Islamist militant organization, which promised to publish a taped message from bin Laden soon, appeared intended to show its adherents around the globe the group had survived as a functioning network.

In a statement online, it said the blood of bin Laden, shot to death by a U.S. commando team in a raid on Monday on his hide-out in a Pakistani town, “is more precious to us and to every Muslim than to be wasted in vain.

“It will remain, with permission from Allah the Almighty, a curse that hunts the Americans and their collaborators and chases them inside and outside their country.”

Al Qaeda urged Pakistanis to rise up against their government to “cleanse” the country of what it called the shame brought on it by bin Laden’s shooting and of the “filth of the Americans who spread corruption in it.”

The statement also warned Americans not to harm bin Laden’s corpse and to hand it and those of others killed to their families, although U.S. officials say bin Laden’s body has been buried at sea and no others were taken from the compound.

Some in the Muslim world have been skeptical of bin Laden’s death. One survey conducted in Pakistan this week by the British-based YouGov polling organization found that 66 percent of over 1,000 respondents did not think the person killed by U.S. Navy SEALs was bin Laden.

Before Friday prayers at a mosque in Paris, one man who declined to give his name said: “This whole story is a myth. They invented it to distract Americans from real problems over there, like the economy and gas prices.”

But U.S. President Barack Obama continued to bask in public approval for the killing of bin Laden. He flew to a military base at Fort Campbell, Kentucky, on Friday to thank special forces involved in the raid.

RELATED COVERAGE
 
K

Kwanini aliyesema yupo asimtoe, mbona saddam mlimnyonga hadharani bila kusahau gaddaf.wapi isis.

Al Qaeda confirms bin Laden is dead, vows revenge
By Augustine Anthony

ISLAMABAD (Reuters) - Al Qaeda confirmed on Friday that Osama bin Laden was dead, dispelling doubts by some Muslims the group’s leader had really been killed by U.S. forces, and vowed to mount more attacks on the West.

The announcement by the Islamist militant organization, which promised to publish a taped message from bin Laden soon, appeared intended to show its adherents around the globe the group had survived as a functioning network.

In a statement online, it said the blood of bin Laden, shot to death by a U.S. commando team in a raid on Monday on his hide-out in a Pakistani town, “is more precious to us and to every Muslim than to be wasted in vain.

“It will remain, with permission from Allah the Almighty, a curse that hunts the Americans and their collaborators and chases them inside and outside their country.”

Al Qaeda urged Pakistanis to rise up against their government to “cleanse” the country of what it called the shame brought on it by bin Laden’s shooting and of the “filth of the Americans who spread corruption in it.”

The statement also warned Americans not to harm bin Laden’s corpse and to hand it and those of others killed to their families, although U.S. officials say bin Laden’s body has been buried at sea and no others were taken from the compound.

Some in the Muslim world have been skeptical of bin Laden’s death. One survey conducted in Pakistan this week by the British-based YouGov polling organization found that 66 percent of over 1,000 respondents did not think the person killed by U.S. Navy SEALs was bin Laden.

Before Friday prayers at a mosque in Paris, one man who declined to give his name said: “This whole story is a myth. They invented it to distract Americans from real problems over there, like the economy and gas prices.”

But U.S. President Barack Obama continued to bask in public approval for the killing of bin Laden. He flew to a military base at Fort Campbell, Kentucky, on Friday to thank special forces involved in the raid.

RELATED COVERAGE
 
Basi na wewe utuambie yuko wapi tangia hapo maana hata video za kurekodiwa akizokuwa anarusha wakati huo hazipo tena na pia kundi lake la Alqaeda lilishasambaratika vipande vipande! Kenge wewe!
Kuwa na akili hata ya kuvukia barabara, Osama alishajifia siku nyingi kabla ya hilo tukio la sinema la marekani
 
Huu ndio unaona ushaidi? Mbona ushaidi wa aina hii ata kingwendu anaweza kuutengeneza. Leta ushaidi wa Video
 
UKRAINE kuna MAGAIDI YA KINAZI na yatashughulikiwa mpaka yaishe ama yasiwe na madhara


SMO iendeleee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…