Mfahamu Andreas Felipe Ballesteros Uribe Raia wa Colombia aliyekaa Keko mahabusu miaka 8 kwa kesi ya dawa za kulevya

Mfahamu Andreas Felipe Ballesteros Uribe Raia wa Colombia aliyekaa Keko mahabusu miaka 8 kwa kesi ya dawa za kulevya

Prisoners2.jpg
 
Kuna jamaa yangu miaka ya 90 aliwekwa mahabusu Ruanda. Anakuambia Mbeya Kuna baridi lakini joto la mle ndani Ni over la Dar. Mkilala lazima mpeane taarifa kwamba Sasa tunageukia ubavu wa pili.
Duh
 
Kwa hiyo alikamatwa na madawa au aliuziwa jumba bovu?
Huyu inaonekana alikamatwa na madawa. Sema ndiyo hivyo tena. Kama una hela, unafanya "mazungumzo" na DPP! Mnamalizana kibingwa.

Huu utaratibu wa kufanya "mazungumzo" na DPP usipowekewa vipengele makini vya sheria, basi hiyo ofisi itawatajirisha ma DPP wengi.
 
Huyu inaonekana alikamatwa na madawa. Sema ndiyo hivyo tena. Kama una hela, unafanya "mazungumzo" na DPP! Mnamalizana kibingwa.

Huu utaratibu wa kufanya "mazungumzo" na DPP usipowekewa vipengele makini vya sheria, basi hiyo ofisi itawatajirisha ma DPP wengi.
Sana anadai DPP aliyekuwepo kabla ya huyu mpya ndugu Basala Mangungungu(sio jina halisi) alimpiga hela ndefu.
 
Sasa imagine hadi raia kama wa columbia ambao tunajua ni nchi ya ovyo km kwetu wanalalamika tz ni shida na wanaona bora kwao kuliko tz.

Hapo yupo keko gereza la kishua angepelekwa kilosa huko si ndo angesema yupo jihanam kabisa.

bongo nyoso..
Tazama banged up abroad kule DStv,uone hayo magereza ya Colombia na Latin..huko ndiyo jahannam
 
Tena ashukuru mungu kuna Sheria ya plea bargaining huyu jamaaa angefia jela alikuwa na gram 958 alikutwa nazo kwenye suruali na nyingine alikuwa kameza ziilitolewa kwa njia ya choo maalum pale JNIA huyu alitumwa kuleta madawa ya kulevya bongo baada ya kushindwa kulipa deni alilokuwa anadaiwa huko kwao ,alikuwa anamdai akammwambia kama huwezi kunilipa deni langu nisafirishie mzigo wangu Dar es salaam.Ndio kukamatwa kwake.otherwise ni mtu poa tu na inaonekana lilikuwa ni ndio mara ya kwanza huko kwao Colombia ndugu yake aliwaaminisha kwamba anaonewa hapa Tanzania lakini alipohojiwa na kituo kimoja cha TV kila raia aliyechangia walimwita muongo wakihusianisha story yake ya kuja kutalii Tanzania kusherekea birthday akiacha familia.hata HIVYO ni maisha tu ni mtu poa tu mshikaji sana pale KEKO.
Vipi kaondoka kajua kiswahili!?
 
Kuna jamaa yangu miaka ya 90 aliwekwa mahabusu Ruanda. Anakuambia Mbeya Kuna baridi lakini joto la mle ndani Ni over la Dar. Mkilala lazima mpeane taarifa kwamba Sasa tunageukia ubavu wa pili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom