Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walifanyaje hao wachina mkuu?Kuna wale Wachina wapo Gereza la Ruanda Mbeya wamekula miaka 30 washazoea hali.
Hii butimba mkuu?
DuhKuna jamaa yangu miaka ya 90 aliwekwa mahabusu Ruanda. Anakuambia Mbeya Kuna baridi lakini joto la mle ndani Ni over la Dar. Mkilala lazima mpeane taarifa kwamba Sasa tunageukia ubavu wa pili.
Hawa nao duuh maisha haya jamani.Itabidi Abdul Nsembo na Shamim watoe hela sema washakula namba ya Maisha.
Huyu inaonekana alikamatwa na madawa. Sema ndiyo hivyo tena. Kama una hela, unafanya "mazungumzo" na DPP! Mnamalizana kibingwa.Kwa hiyo alikamatwa na madawa au aliuziwa jumba bovu?
Sana anadai DPP aliyekuwepo kabla ya huyu mpya ndugu Basala Mangungungu(sio jina halisi) alimpiga hela ndefu.Huyu inaonekana alikamatwa na madawa. Sema ndiyo hivyo tena. Kama una hela, unafanya "mazungumzo" na DPP! Mnamalizana kibingwa.
Huu utaratibu wa kufanya "mazungumzo" na DPP usipowekewa vipengele makini vya sheria, basi hiyo ofisi itawatajirisha ma DPP wengi.
Tazama banged up abroad kule DStv,uone hayo magereza ya Colombia na Latin..huko ndiyo jahannamSasa imagine hadi raia kama wa columbia ambao tunajua ni nchi ya ovyo km kwetu wanalalamika tz ni shida na wanaona bora kwao kuliko tz.
Hapo yupo keko gereza la kishua angepelekwa kilosa huko si ndo angesema yupo jihanam kabisa.
bongo nyoso..
Vipi kaondoka kajua kiswahili!?Tena ashukuru mungu kuna Sheria ya plea bargaining huyu jamaaa angefia jela alikuwa na gram 958 alikutwa nazo kwenye suruali na nyingine alikuwa kameza ziilitolewa kwa njia ya choo maalum pale JNIA huyu alitumwa kuleta madawa ya kulevya bongo baada ya kushindwa kulipa deni alilokuwa anadaiwa huko kwao ,alikuwa anamdai akammwambia kama huwezi kunilipa deni langu nisafirishie mzigo wangu Dar es salaam.Ndio kukamatwa kwake.otherwise ni mtu poa tu na inaonekana lilikuwa ni ndio mara ya kwanza huko kwao Colombia ndugu yake aliwaaminisha kwamba anaonewa hapa Tanzania lakini alipohojiwa na kituo kimoja cha TV kila raia aliyechangia walimwita muongo wakihusianisha story yake ya kuja kutalii Tanzania kusherekea birthday akiacha familia.hata HIVYO ni maisha tu ni mtu poa tu mshikaji sana pale KEKO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaye lalamika kuwa magereza ya tanzania ni hatari ni kupaka matope tu angalia ya colombia sasaView attachment 2459849
View attachment 2459850
View attachment 2459851
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zambia magereza yao bora ufungwe porini.
unalala kwa ubabe la sivo utalala umesimama
Kwa hiyo alikamatwa na madawa au aliuziwa jumba bovu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahKuna jamaa yangu miaka ya 90 aliwekwa mahabusu Ruanda. Anakuambia Mbeya Kuna baridi lakini joto la mle ndani Ni over la Dar. Mkilala lazima mpeane taarifa kwamba Sasa tunageukia ubavu wa pili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah hatareeeeeh.Mimi navofahamu Magereza ya TANZANIA Ni kaburi watu wanaoEnjoy Ni manyampara tu na Mademu zao over
Sio wabongo hawa, Butimba ukiingia ukatoka hata mtu akikutemea Mate unamuomba msamaha hutaki urudi tena!!Hii butimba mkuu?
Miaka yote hiyo,atakuwa anakiongea vizuriVipi kaondoka kajua kiswahili!?
Shenzy zake,atatumiss,hasa wali ndondoMiaka yote hiyo,atakuwa anakiongea vizuri