Mfahamu binadamu wa kwanza kumwaga nje na adhabu aliyopata ni kuuawa baada ya kufanya kitendo hicho

Mfahamu binadamu wa kwanza kumwaga nje na adhabu aliyopata ni kuuawa baada ya kufanya kitendo hicho

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Kweli hakuna jipya chini ya jua, Kwa jina anaitwa Onani.

Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.

Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.

Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamuua yeye naye.

Mwanzo 38:8-10
 
Kweli hakuna jipya chini ya jua, Kwa jina anaitwa Onani.

Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.

Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.

Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamuua yeye naye.

Mwanzo 38:8-10
In Genesis 38:8-10, Judah instructs his son Onan to fulfill his duty as a brother-in-law by marrying his deceased brother Er's wife, Tamar, and raising offspring for him. Onan, aware that the children would not be considered his, deliberately avoids this responsibility by spilling his seed on the ground during their encounters. This act is deemed wicked in the eyes of the Lord, resulting in God putting Onan to death as a consequence.
 
Kweli hakuna jipya chini ya jua, Kwa jina anaitwa Onani.

Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.

Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.

Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamuua yeye naye.

Mwanzo 38:8-10
🤣🤣🤣🤣 Daah hiki kizazi
 
In Genesis 38:8-10, Judah instructs his son Onan to fulfill his duty as a brother-in-law by marrying his deceased brother Er's wife, Tamar, and raising offspring for him. Onan, aware that the children would not be considered his, deliberately avoids this responsibility by spilling his seed on the ground during their encounters. This act is deemed wicked in the eyes of the Lord, resulting in God putting Onan to death as a consequence.
Kama huyo Onan alikuwa hataki nduguye apate uzao kupitia yeye (Onan) kilichomfanya akamwingilie shemeji yake bila kumkojolea ni nini? Si angekataa kumwingilia toka mwanzo? Ok labda hii ingeharakisha kifo chake.

Badala yake akafanya udanganyifu akiamini ya chumbani yatabaki chumbani kumbe yupo aonaye ya humo pia! Yuda alinuaje aliyoyafanya Onan? Aliambiwa na Mungu? Aliambiwa na shemeji? Na aliyemuua Onan ni nani? Kifo cha aina gani alikufa? Natural death, aliuwawa?

Pana mengi ya kujifunza hapa. But the point is, whatever you do, do it properly!
 
Back
Top Bottom