Mfahamu binadamu wa kwanza kumwaga nje na adhabu aliyopata ni kuuawa baada ya kufanya kitendo hicho

Mfahamu binadamu wa kwanza kumwaga nje na adhabu aliyopata ni kuuawa baada ya kufanya kitendo hicho

Sisi wenye tango wala hatuvimbi..

Ila kutana na kibamia sasa🤣🤣🤣
 
Umefafanua vizuri sana! Katika mengi uliyofafanua; nihoji kidogo kuhusu "dhamiri ya Onan".

Dhamiri ya Onan ilikuwa njema au mbaya? Kwamba ilimtuma "uzao huu sio wako"; ni kwa kuwa hakutaka kuleta "chokoraa" duniani? If yes, alifanya jambo jema? Lakini "desturi zao" ziliruhusu huo utaratibu!

Au alikuwa tu na wivu kwamba nduguye (marehemu) angeinuka kuliko yeye kupitia "mbegu" zake? Inatupa funzo gani? Wivu kitu kibaya?

Je, dhamiri (tunaambiwa dhamiri ni sauti ya Mungu ndani yetu) inashinda "agizo la Mungu"? Hilo agizo la Mungu lilimfikiaje Onan? Au maelekezo ya baba yake (Yuda) ndio maagizo ya Mungu?
Maswali mazuri. Dhamiri ya Onan ilikuwa njema kabisa kwani aliona sio vyema azae watoto kutoka kiunoni kwake ambao wataonekana kuwa sio wake na yeye hatakuwa baba yao. Hili jambo sijui kama kuna mtu atalipenda.

Kama dhamiri ni sauti ya Mungu mwenyewe basi hilo ndilo agizo la Mungu, kulingana na ulivyosema. Nachojua ni kwamba mtu anahukumiwa kwa dhamiri yake. Watu watatu watafanya kosa lile lile lakini hukumu zao ni tofauti!

Yaonekana maelekezo ya Yuda ndio ya Mungu. Agizo la BWANA lilimfikiaje Onan? Kwa kupitia matakwa ya utamaduni. Wewe leo hii ukiasi jambo la dini yako utaonekana umemwasi Mungu.
 
Mimi huwa nachomoa mpaka wanawake ninao kuwa nao huwa wananishangaa nawezaje,nimegundua wanawake wengi hawapend mwanaume achomoe wanapenda wamwagiwe ndani

Afu mimi mwenyew hutokea wanawake kuwachoka haraka,ingawaje kuna baadhi ya siku huwa nataman nipate starehe iliyokamilika huwa naandaa bajeti ya p2 kabisa

Siku hz nimekuja nampango mpya natafuta wanawake wagumba ndo nakula na kumwaga humo humo

Sipendi watoto,
We ni onani wa kizazi hiki cha AI
 
Back
Top Bottom