Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana.Uzazi wa mpango nao utakuwa chukizo kwa Muumba
Maswali mazuri. Dhamiri ya Onan ilikuwa njema kabisa kwani aliona sio vyema azae watoto kutoka kiunoni kwake ambao wataonekana kuwa sio wake na yeye hatakuwa baba yao. Hili jambo sijui kama kuna mtu atalipenda.Umefafanua vizuri sana! Katika mengi uliyofafanua; nihoji kidogo kuhusu "dhamiri ya Onan".
Dhamiri ya Onan ilikuwa njema au mbaya? Kwamba ilimtuma "uzao huu sio wako"; ni kwa kuwa hakutaka kuleta "chokoraa" duniani? If yes, alifanya jambo jema? Lakini "desturi zao" ziliruhusu huo utaratibu!
Au alikuwa tu na wivu kwamba nduguye (marehemu) angeinuka kuliko yeye kupitia "mbegu" zake? Inatupa funzo gani? Wivu kitu kibaya?
Je, dhamiri (tunaambiwa dhamiri ni sauti ya Mungu ndani yetu) inashinda "agizo la Mungu"? Hilo agizo la Mungu lilimfikiaje Onan? Au maelekezo ya baba yake (Yuda) ndio maagizo ya Mungu?
Aaagh, ila umefika mbali sana..Au ndio akaamua ile show asimamie mwenyewe kwa Maria pengine alihisi akiagiza waja wata mwaga nje akakosekana kuzaliwa mwokozi Yesu.
Kweli iyo ilikua ni do or dieMwamba alizidisha ujanja ukamponza kifupi dili ni dili ukikiuka makubaliano inakula kwako
Ungeamia kabisa sioZoezi jepesi kama hilo linifanye nife??? ningepewa hiyo kazi uzao wa ndugu yangu ungepata watoto 15
We ni onani wa kizazi hiki cha AIMimi huwa nachomoa mpaka wanawake ninao kuwa nao huwa wananishangaa nawezaje,nimegundua wanawake wengi hawapend mwanaume achomoe wanapenda wamwagiwe ndani
Afu mimi mwenyew hutokea wanawake kuwachoka haraka,ingawaje kuna baadhi ya siku huwa nataman nipate starehe iliyokamilika huwa naandaa bajeti ya p2 kabisa
Siku hz nimekuja nampango mpya natafuta wanawake wagumba ndo nakula na kumwaga humo humo
Sipendi watoto,
Mzima mzimaUngeamia kabisa sio
🤣🤣🤣KmmkSasa starehe ya bao ipo wapi hapo? yaani nijitume halafu badala ya kumng'ang'ania niskilizie ati nichomoe!
Huyo Onana alikuwa na mtindio wa ubongo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Daah hiki kizazi