Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Harafu wewe wewe kuwa na heshima aiseeWapiga nyeto wanyongwe
Kwa kweli ingekua quran apo uzi ungekua ushafikisha comments 1000Ila biblia imemwaga Damu nyingi sana
Biblia inanuka damu
Bwana alikuwa na hasira sana kabla hajamleta YesuNeno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamuua yeye naye.
In Genesis 38:8-10, Judah instructs his son Onan to fulfill his duty as a brother-in-law by marrying his deceased brother Er's wife, Tamar, and raising offspring for him. Onan, aware that the children would not be considered his, deliberately avoids this responsibility by spilling his seed on the ground during their encounters. This act is deemed wicked in the eyes of the Lord, resulting in God putting Onan to death as a consequence.Kweli hakuna jipya chini ya jua, Kwa jina anaitwa Onani.
Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.
Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.
Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamuua yeye naye.
Mwanzo 38:8-10
Haiwashindi wajitoa muhanga...Ila biblia imemwaga Damu nyingi sana
Biblia inanuka damu
🤣🤣🤣🤣Wapiga nyeto wanyongwe
Wapiga nyeto wanyongwe
Mungu kwenye biblia kaua watu wengi kulinganisha na ShetaniIla biblia imemwaga Damu nyingi sana
Biblia inanuka damu
Wapiga nyeto wamefikiwaWapiga nyeto wanyongwe
Nini mbaya mkuuHarafu wewe wewe kuwa na heshima aisee
Nayo ni talentSasa starehe ya bao ipo wapi hapo? yaani nijitume halafu badala ya kumng'ang'ania niskilizie ati nichomoe!
Huyo Onana alikuwa na mtindio wa ubongo.
🤣🤣🤣🤣 Daah hiki kizaziKweli hakuna jipya chini ya jua, Kwa jina anaitwa Onani.
Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.
Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.
Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa Bwana, basi akamuua yeye naye.
Mwanzo 38:8-10
Au ndio akaamua ile show asimamie mwenyewe kwa Maria pengine alihisi akiagiza waja wata mwaga nje akakosekana kuzaliwa mwokozi Yesu.Bwana alikuwa na hasira sana kabla hajamleta Yesu
Kama huyo Onan alikuwa hataki nduguye apate uzao kupitia yeye (Onan) kilichomfanya akamwingilie shemeji yake bila kumkojolea ni nini? Si angekataa kumwingilia toka mwanzo? Ok labda hii ingeharakisha kifo chake.In Genesis 38:8-10, Judah instructs his son Onan to fulfill his duty as a brother-in-law by marrying his deceased brother Er's wife, Tamar, and raising offspring for him. Onan, aware that the children would not be considered his, deliberately avoids this responsibility by spilling his seed on the ground during their encounters. This act is deemed wicked in the eyes of the Lord, resulting in God putting Onan to death as a consequence.