Mfahamu Charles Martel, aliyeokoa bara Uropa kutoka kwa mapanga ya waislamu

Mfahamu Charles Martel, aliyeokoa bara Uropa kutoka kwa mapanga ya waislamu

Kabla ya Yesu kuondoka, alihubiri kwamba tupende majirani zetu kama tunavyojipenda, kwamba baada yake haikupaswa mtu yeyote kuuawa kisa dini, sasa iweje miaka 500 baadaye aje mtume mwingine asababishe matukio ya mauaji yakiwemo kuchinja, soma mauaji ya watoto wa Wayahudi kwa maagizo ya mtume kule Banu Qurayza, mara nyingi mkihojiwa hili huwa mnakimbilia matukio ya agano la kale kwenye Biblia, sasa jikite kwenye baada ya Yesu.

Leo hii ningeamini matukio ya wauaji wanaojiita waislamu kuwa ya wahuni wachache kama yangetokea sehemu chache, ila ni kinyume, ni maeneo machache yenye hiyo dini yana utulivu, na huko kwenye utulivu ni kisa tu watu wanaishi kwa kulazimishiwa hiyo dini, hawana uhuru wa kuamua waishi vipi.
Mbona Pana manabii na mitume wanawaibia watu masikini kinyume na mafundisho ya Yesu na wanajiita ni Wakristo je yapo kwenye maandiko.
Ni jukumu lako kujua pumba na mchele
 
Mbona Pana manabii na mitume wanawaibia watu masikini kinyume na mafundisho ya Yesu na wanajiita ni Wakristo je yapo kwenye maandiko.
Ni jukumu lako kujua pumba na mchele

Ha ha ha unatumia nguvu nyingi sana kupindisha hoja, hawa wote unaowataja walishatabiriwa, Yesu alisema watakuja manabii na mitume wa uwongo, tunawashuhudia na asiyekua makini atatekwa nao.
Mitume na manabii wa kweli baada ya Yesu akina Paulo na Petero walihubiri amani na kutenda mema pote walipokwenda, lakini huyu mtume wenu mohammed kaja baada ya hao akina Paulo, kaja na yake, kasababisha mauaji ya watoto wa Wayahudi kule Qurayza, alifanya memngi kinyume na mafundisho ya Yesu.

Zaidi kafanya ikiwemo kuoa katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka sita na kuja kukagegeda kakiwa na umri wa miaka tisa, nikiangalia nje huku katoto kokote kenye huo umri hadi nahisi kichefuchefu nikiwaza mzee wa miaka 50 anakatia uume wake.
Hayo hapo na mauchafu mengine mengi yalifanywa na mtume wenu, na kuna mengi mumeendelea kutenda mpaka leo.
 
Ha ha ha unatumia nguvu nyingi sana kupindisha hoja, hawa wote unaowataja walishatabiriwa, Yesu alisema watakuja manabii na mitume wa uwongo, tunawashuhudia na asiyekua makini atatekwa nao.
Mitume na manabii wa kweli baada ya Yesu akina Paulo na Petero walihubiri amani na kutenda mema pote walipokwenda, lakini huyu mtume wenu mohammed kaja baada ya hao akina Paulo, kaja na yake, kasababisha mauaji ya watoto wa Wayahudi kule Qurayza, alifanya memngi kinyume na mafundisho ya Yesu.

Zaidi kafanya ikiwemo kuoa katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka sita na kuja kukagegeda kakiwa na umri wa miaka tisa, nikiangalia nje huku katoto kokote kenye huo umri hadi nahisi kichefuchefu nikiwaza mzee wa miaka 50 anakatia uume wake.
Hayo hapo na mauchafu mengine mengi yalifanywa na mtume wenu, na kuna mengi mumeendelea kutenda mpaka leo.
Kuoa watoto ni mila za kale zilikufa baada ya ujio wa Sheria za kulinda watoto hata hapa mjini pana makabila yalioa watoto kuoa sio kuingilia.
Mtoto aliolewa akalipiwa kabisa mahari akiendelea kuishi kwao hadi ulipofika wakati sahihi wa kuingiliwa ndipo aliruhusiwa kwenda kwa mumewe kipi cha ajabu kwa Mtume.
 
Angewaadhidu kwa kutumia qurani kama kweli inahubiri amani na upendo, na kama kweli alikua mtume wa Mungu, ila yeye alichinja watoto kiume, hao watoto wa kiume walihusiana vipi na huo mkataba, aliuza mabinti zao utumwani, hao mabinti walihusiana vipi na huo mkataba.
Wayahudi wenyewe walikubali kuadhibiwa kwa taurat kwa mujibu wa mkataba wao sasa wewe nani unataka kupinga
 
Kuoa watoto ni mila za kale zilikufa baada ya ujio wa Sheria za kulinda watoto hata hapa mjini pana makabila yalioa watoto kuoa sio kuingilia.
Mtoto aliolewa akalipiwa kabisa mahari akiendelea kuishi kwao hadi ulipofika wakati sahihi wa kuingiliwa ndipo aliruhusiwa kwenda kwa mumewe kipi cha ajabu kwa Mtume.

Mohammed alioa hako katoto kakiwa na umri wa miaka sita, japo alikua anakapapasa kwenye umri huo.
Mohammed aliingilia hako katoto kakiwa na umri wa miaka tisa, hapo ndio huwa nahisi kichefu chefu maana leo hii hata nikiambiwa kuna babu yangu alifanya uchafu kama huu niamchukia sana.
 
Wayahudi wenyewe walikubali kuadhibiwa kwa taurat kwa mujibu wa mkataba wao sasa wewe nani unataka kupinga

Kwamba Wayahudi wakakubali mohammed achinje watoto wao....na hata kama Wayahudi walikubali, asingewachinja kama kweli alikua mtume wa Mungu mwenye huruma na rehema.
 
Kwamba Wayahudi wakakubali mohammed achinje watoto wao....na hata kama Wayahudi walikubali, asingewachinja kama kweli alikua mtume wa Mungu mwenye huruma na rehema.
Yeye alifuatisha makubaliano ya mkataba
 
Yeye alifuatisha makubaliano ya mkataba

Mkataba ulisema mohammad achinje watoto kama ikitokea amegombana na wazazi?
Yeye kama alikua anawakilisha Mungu wa kweli na kitabu cha Mungu huyo wa kweli alipaswa atumie sheria za hicho kitabu kuwahurumia hao watoto, asingewafanyia ukatili wa kuwachinja halafu ajinasibu mtu wa dini ya amani.
 
Mkataba ulisema mohammad achinje watoto kama ikitokea amegombana na wazazi?
Yeye kama alikua anawakilisha Mungu wa kweli na kitabu cha Mungu huyo wa kweli alipaswa atumie sheria za hicho kitabu kuwahurumia hao watoto, asingewafanyia ukatili wa kuwachinja halafu ajinasibu mtu wa dini ya amani.
Hakuchinja watoto sijui wewe hayo umeyapata wapi

Yeye alikuwa anawauwa wanaume wenye uwezo wa kupigana na kuwachukua mateka wanawake na watoto.
 
Inasikitisha sana.
Injiri ikimaanisha Habari Njema imesha kutufikia duniani.
Ni maamuzi yako kuisikiliza Habari Njema au kusikiliza Habari Nyingine.
Kama hizo habari.
 
Hakuchinja watoto sijui wewe hayo umeyapata wapi

Yeye alikuwa anawauwa wanaume wenye uwezo wa kupigana na kuwachukua mateka wanawake na watoto.

Alichinja watoto wote wa kiume waliofikisha umri wa kubalehe, ambao kawaida huanzia miaka tisa.
Na pia wengine aliochinja walikua wamejisalimisha, maana kwamba angewalazimisha huo uislamu badala ya kuchinja chinja.
Aliuza watoto wa kike kama watumwa....ukatili wa mtu kama huyo atakuhubiriaje rehema na neema za Mungu.
 
Alichinja watoto wote wa kiume waliofikisha umri wa kubalehe, ambao kawaida huanzia miaka tisa.
Na pia wengine aliochinja walikua wamejisalimisha, maana kwamba angewalazimisha huo uislamu badala ya kuchinja chinja.
Aliuza watoto wa kike kama watumwa....ukatili wa mtu kama huyo atakuhubiriaje rehema na neema za Mungu.
Mtu akishabalehe sio mtoto
Labda ulete hoja nyingine
 
Hili Ndo Linawapa Furaha Wakristo Wote Duniani Kuutukana Uislamu Na Kiongozi Wa Umma Huu Wa Mwisho Mtume Muhammad S.A.W
Chuki Zimezidi Ila Zinawaumiza Zaidi Kuliko Kuwanufaisha.
Sababu Uislamu Unazidi Kustawi Zaidi Mtume Ni Maarufu Zaidi.
 
Mtu akishabalehe sio mtoto
Labda ulete hoja nyingine

Kubalehe ni kipindi, sio utu uzima, ni kipindi ambacho mwili wa mtoto unaanza maandalizi ya kumbadilisha kuelekea utu uzima, katoto ka miaka 9 au hata 10 hauwezi ukakafanyia ukatili unaopaswa mtu mzima.
Na hata watu wazima waliojisalimisha, bado aliwachinja badala awasilimishe
 
Hili Ndo Linawapa Furaha Wakristo Wote Duniani Kuutukana Uislamu Na Kiongozi Wa Umma Huu Wa Mwisho Mtume Muhammad S.A.W
Chuki Zimezidi Ila Zinawaumiza Zaidi Kuliko Kuwanufaisha.
Sababu Uislamu Unazidi Kustawi Zaidi Mtume Ni Maarufu Zaidi.

Hakuna sehemu waislamu wametukanwa au mtume kutukanwa, tunahoji maukatili yake ambayo yapo kwenye vitabu vyenu.
Uislamu kustawi sio jambo geni maana hata freemason na illuminati na mapagan/atheits wanastawi, yote haya yalitabiriwa na Yesu kwamba baada yake watakuja mitume na mifumo ya kusababisha Wakristo wengi waanguke kiimani na kujiunga hayo mavitu, watakaovumilia hadi mwisho ndio wataokoka.
 
Kubalehe ni kipindi, sio utu uzima, ni kipindi ambacho mwili wa mtoto unaanza maandalizi ya kumbadilisha kuelekea utu uzima, katoto ka miaka 9 au hata 10 hauwezi ukakafanyia ukatili unaopaswa mtu mzima.
Na hata watu wazima waliojisalimisha, bado aliwachinja badala awasilimishe
Hao ni watu wazima sio watoto
Kuhusu waliojisalimisha hapo ilitakiwa wafuate tu mkataba unasemaje
Kwani mwizi akijisalimisha ndo anaachiwa
 
Hao ni watu wazima sio watoto
Kuhusu waliojisalimisha hapo ilitakiwa wafuate tu mkataba unasemaje
Kwani mwizi akijisalimisha ndo anaachiwa

Mtu mzima ni yule amemaliza kipindi cha kubalehe, kabla ya hapo ni mtoto.
Hao waliojisalimisha kwa mtume aliyejinasibu kuwakilisha Mungu wa rehema walipaswa wasilimishwe sio kuchinjwa au kuuzwa mateka.
 
Back
Top Bottom