Huu ndio muujiza pekee mudy aliufanya hadi sasa hakuna mwingine aliyethubutu..View attachment 3255629
Hivi ni kweli ilikuwa hivyo au ni mambo za kuchafuana tu
Siyo vizuri mtume kuwa na uchu wa papuchi hivyo ni mfano mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio muujiza pekee mudy aliufanya hadi sasa hakuna mwingine aliyethubutu..View attachment 3255629
Hivi ni kweli ilikuwa hivyo au ni mambo za kuchafuana tu
Siyo vizuri mtume kuwa na uchu wa papuchi hivyo ni mfano mbaya.
Huo unaoongea ni wehu mtupu,hizo unazosema kusambaa,hazisambai ila kwa nguvu ya ushawishi wa kimaslahi..ila hiyo dini aliyoisambaza Muhammad jiulize ukiwa na akili timamu vp kwa matendo hayo unayosema ya kinyama ya kuwachinja Banu Qurayzah miaka 1500 imepita sasa na bado ina ushawishi na ikizidi kusambaa?
Yaani Muhammad rasulullah afanye unyama kwa wanadamu wenzake lakini bado awe na ushawishi maelfu ya miaka baada ya kufa kwake,iwe kwa watu kuiga vaa yake,kula yake hata tembea yake,Bado hujiulizi tu ni mtume wa kweli na haki?
Tatizo elimu yako ndogo hujui chochote, kasome kuhusu 1st crusade utaelewa. Wayahudi na waislam walichinjwa kama kuku kisa kumpinga Yesu.
Yesu ni Mungu, hivyo agano la kale Yesu alikuepo!! Sasa basi umesahau kwamba Mungu alitoa order waisrael wachinje wakazi wote wa canaan? Yaani wasiache hata nukta!! Au umesahau genocide ya Joshua?
Bangi tupuWatu wanajiunga freemason kumuabudu shetani mwenyewe licha ya matendo yake maovu yanayohubiriwa kila siku sembuse maovu ya mtume wenu, halafu maovu ya mtume wenu yapo kwenye vitabu vyenu sio kwamba anasingiziwa, alikua anapapasa katoto kenye umri wa miaka 6, akaja kukagegeda kakiwa na umri wa miaka 9.
Alichinja Wayahudi wa Qurayzah na kuuza watoto wao mateka, yote haya mumeandika nyie kwenye vitabu vyenu.
Binadamu kushawishika kujiunga kwenye hayo mambo yenu ni kitu kilitabiriwa na Yesu kabla hajaondoka, alitabiri ujio wa mpinga Kristo atakayekua na ushawishi mkubwa sana, na wengi watajiunga naye na ndicho tunakiona leo hii.
Mkristo atakayevumilia hadi mwisho ndiye ataokoka...... Njia iendayo jehanamu ni pana, na ndio maana kwenu huko mnahubiriana sijui mabikira 72, mara pombe na maushetani mengine yote yatakayowashawishi wengi kuja, ila njia iendayo uzimani ni nyebamba, Wakristo wachache watavumilia hadi mwisho.