Mfahamu Double Agent wa CIA na EIJ aliyemfundisha OSAMA mbinu za kigaidi na vita

Hili bandiko ni zuri na linamaswali mengi sana au pia Osama wanaye wanaatudhihaki
maana hapa huu muunganiko unanipa mashaka CIA,FBI NA EIJ?mmmh

kwangu mimi i do believe huu ni mpango wao tu, cheki walivyomkamata osama hata mwili hatujaona. lakini pia utaona kuwa CIA ndio waasisi wa Alqaeda ili kuwatoa warusi afghanistan( hapa ni uchumi zaidi hamna lingine) na obviosly lazima waweke watu wao walio wa-train vizuri akiwemo huyo Osama.. baada ya kumuondoa mrusi akzi iliyobaki ndio hii, unafikiri marekani wangepata vipi mafuta nchini afgahnistani, wangeingia vipi mikataba na mataifa ya uarabu ku-provide silaha na security na wao kupata mafuta kama sio kutengeneza kitu chenye kupelekea hayo..mi siamini kweli eti osama aliwakimbia wamarekani all the years. hawa CIA ni noma , uchafu wowowtw wenyw maslahi kwa taigfa unafanywa. inasemekana pia ndio mawakala wakubwa wa cocain huko marekani kwenyewe
 

Yah apa nimetoka kuichek Wikipedia haijamaliziwaa kweli ila inaeleweka
 
Jama mwenyewe yupo fiti kweli nasuti yake hapo kukulipua haoni tabu ufe tu?.
 
Yah apa nimetoka kuichek Wikipedia haijamaliziwaa kweli ila inaeleweka

yah mambo ya kijasusi haya ndio yanavyoishiaga hivi hivi, hata akija kuhukumiwa tunaweza ambiwa amefungwa jela maalum kumbe anakula pension yake au afanyiwe plastic surgery anarudi kitaa
 
yah mambo ya kijasusi haya ndio yanavyoishiaga hivi hivi, hata akija kuhukumiwa tunaweza ambiwa amefungwa jela maalum kumbe anakula pension yake au afanyiwe plastic surgery anarudi kitaa

Lakin sijaelewa mana uyu aliisalit marekan sasa iweje waone tabu kumfunga
 
Lakin sijaelewa mana uyu aliisalit marekan sasa iweje waone tabu kumfunga

mimi sidhani kama aliisaliti, hayo yote yanayoonekana kama usaliti ni kama cover tu kuwazuga watu (may be alqaeda) na sie watu wengine. Lakini ukiangalia mtiririko mzima wa kuanzia mwanzo huyu ni agent wao na aliyoyafanya ndio mission yake. Mengi wanajua wao
 

Kwa iyo kuanzishwa kwa al Qaeda marekani inahusika mana huyu ndio alieenda kuwafundisha waasis wa kikundi kile
 
Kwa iyo kuanzishwa kwa al Qaeda marekani inahusika mana huyu ndio alieenda kuwafundisha waasis wa kikundi kile

tusaidiane kuunganisha hizo dots mkuu, inabidi hapo kuchekecha kichwa kwa kweli, haya mambo bana ukweli wanaujua wenyewe... umewahi sikia ukaribu wa kibiashara katika makampuni ya ujenzi kati ya Osama na wamarekani akiwemo george bush?
 
tusaidiane kuunganisha hizo dots mkuu, inabidi hapo kuchekecha kichwa kwa kweli, haya mambo bana ukweli wanaujua wenyewe... umewahi sikia ukaribu wa kibiashara katika makampuni ya ujenzi kati ya Osama na wamarekani akiwemo george bush?

Hii sijawaipata ngoja niingie Internet
 
mmeisahau mossad ya Israel? Hiyo ndo noma sasa,majasusi wa mossad wametapakaa dunia nzima na huwezi kuwajua hata kidogo,kuna wengine wanajifanya ma padre ma sister,wapo ktk taasisi za kimataifa kama UNHCR,UNICEF,UN na nk,tena wengi wao wakitumia paspot za mataifa mengine,ili kuficha utaifa wao,hata hapa TZ tunao wengi,mwaka 2007 nikiwa nafanya bulyanhulu gold mine,nilishangaa kumuona mzungu mmoja akiwa anajua kiswahili vyema ana uraia wa canada ila cha ajabu anaijua mno israel na kuizungumzia mara nyingi kuliko canada,nataka niwaeleze kuwa,hawa mabalozi wa marekani ktk nchi mbalimbali ni majasusi namba 1 wa CIA,nyie huwa mnadhani hao ni diplomats,marekani na Israel si mataifa ya kawaida ktk medani za kijasusi,ni hatari sana.
 

Mkuu mi napenda kujua izi vitu hata movie zake huwa napenda sana
 
AHSANTE kwa kuntoa tope maana nlikuwa sijui.......duh mambo ya nchi yana maajabu lakin kumbe tunayoyaona kwenye movie na series kweli yapo hapa nakumbuka series ya THE XIII kama ya Ali vile aaahh mtu unakaa nae kumbe nae anakupeleleza,,,,,,unamuona muharifu kumbe anafanya kazi na serikali haya mambo yanashangaza sana......
 

mkuu nilishawahi kutana na mnunuzi moja wa madini kwa bahati akaja kua rafiki wa karibu, ila mazoea yangu kwake yalinifanya kuamini na kuelewa kua hakua mfanyabiashara wa kawaida, ali kua x special forces, na haya madude yakimaliza kazi zao huko yanaingia kwenye biashara kubwa, jamaa linatisha balaa...
 

Kwa nchi za wenzetu wafanyakazi wa vyombo vya usalama wakishastaafu wanavua gwanda wanavaa suti

Refer MICHAEL HARARI alivyofanya biashara Panama na kuwa karibu na Raisi Noriega mwishowe kusaidia kumpindua ndani ya kitabu cha Victor Ostrovesky "By way of Deception"
Harari alikuwa ex-mossad katsa
 


Ukiangalia kwa nje nikama alikuwa kastaafu vile ila amini ilikuwa ni port of entry!!!!!
 

Urafiki wenu haukuwa wa bahati ila planned chunguza mienenndo yenu utajua kupitia wewe kakutana na watu au kafika maeneo mengi tu "orientation and/ raport"
Ali expose hiyo historia as past ili wewe usijue current mission na kukuweka karibu ni kukisimulia hayo uliyopenda kuyasikia!!!!!
Katika urafiki wenu wewe ulikuwa ukiongea naye nini??!!!
 
Pamoja na ziara zake nyingi huko Texas USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…