Mfahamu Double Agent wa CIA na EIJ aliyemfundisha OSAMA mbinu za kigaidi na vita

Lakin sijaelewa mana uyu aliisalit marekan sasa iweje waone tabu kumfunga

Hakuna chances huko mkuu umesikia ya South Africa leo? ?!!!!!
Umesikia Snowden anavyohitajika???!!!!

Kama angesaliti "kweli" saa hizi ingekuwa historia hakuna litmus ya msaliti kwenye ujasusi "before a man there is a man and after a man there is a man"!!!!!!!
 
wachilamu utawajua tu jinchi wanavyopenda kuchifia ugaidi.
bhaaa.!
Wewee Y-N acha ujinga wewe hapa tunachambua UKWELI,UNAFIKI,UJASUSI,UHAINI,nk.. ilitupate taswira kamili ya majngaa ya yanyojirii Duniani na hata kizingitini hapa nchini! Chukuwa fursa hii ujifunze uhakika yasijekukuta by surprise!! Acha kushadidia chuki za kidini... JUST BE FAIR.
Take care and Good luck.
 

Umri wake je?!
 
Ukiangalia kwa nje nikama alikuwa kastaafu vile ila amini ilikuwa ni port of entry!!!!!

That might be the case

Kuna mfano mwingine wa huyo Alexander Lebedev,ex-kgb and filthy rich

Mlolongo ni mrefu wa ex-kgb operatives ambao sasa ni wafanyabiashara wa kubwa Russia
 
That might be the case

Kuna mfano mwingine wa huyo Alexander Lebedev,ex-kgb and filthy rich

Mlolongo ni mrefu wa ex-kgb operatives ambao sasa ni wafanyabiashara wa kubwa Russia

Ni watu muhimu na hatari hawa sasa huwezi muacha tu akizurura na unajua ujuzi hauzeeki!!!!!

Sasa kama sio madaraka ni kutengenezewa kampuni na yeye ukiendesha huku akiwa on and off duty au permanent silencing!!!!!

Kwa wanaobaki na nidhamu na kuzingatia viapo ni aidha madaraka au "biashara" na waliokuwa imani nusu basi option ya tatu ni lazima how and when ndio task ya wengine wenye specialization hiyo!!!!!
 
Katika tasnia ya ujasusi miaka ya nyuma KGB walikuwa juu sana,waliweza kuweka watu wao MI6 na CIA na wakawa na nafasi za juu katika taasis hizo,kwa sasa sijui kama bado wananguvu kama enzi hizo,pia wapakstan nao wako vizuri kwa upande wa asia
 
niliwahi kutazama a full documentary video ya huyu jamaa ( Ali Abdoul Saoud Mohamed)kule youtube,ikimzungumzia yeye na ushirika kama jasusi na agent wa CIA.nilibaki mdomo wazi.
 
Katika tasnia ya ujasusi miaka ya nyuma KGB walikuwa juu sana,waliweza kuweka watu wao MI6 na CIA na wakawa na nafasi za juu katika taasis hizo,kwa sasa sijui kama bado wananguvu kama enzi hizo,pia wapakstan nao wako vizuri kwa upande wa asia

KGB ambao sasa ni FSB wako vizuri sana.walibadilisha jina tu maana hadi jengo la HQ ni lile lile.Angalia link hiyo

http://rt.com/news/fsb-detain-cia-agent-253/
 






yaliyotokea 1998 tunaomba yasitokee tena ilikuwa noma

Tanzania tulikuwa hatuna hili wala lile masikini
 
kweli kabisa mkuu
 

watu km hawa wasiopenda kufikiri ndio hupelekwa hovyo
 
yaliyotokea 1998 tunaomba yasitokee tena ilikuwa noma

Tanzania tulikuwa hatuna hili wala lile masikini

tuombe mungu kwa kweli, sasa sijajua huu ukaribu uliomarika na marekani utatuweka mbali au karibu na matukio haya?
 
Katika tasnia ya ujasusi miaka ya nyuma KGB walikuwa juu sana,waliweza kuweka watu wao MI6 na CIA na wakawa na nafasi za juu katika taasis hizo,kwa sasa sijui kama bado wananguvu kama enzi hizo,pia wapakstan nao wako vizuri kwa upande wa asia

kilichowapaisha wapakistani ni ushirikiano wao na CIA, ulianza mda mrefu sana tangu zama hizo za huyu jamaa
 
Reborn !! kwa hali iliyokuwepo sasa kundi linajizaa upya na kurudi kwa mfumo wa kisasa!!
 
kweli, hawa CIA ni noma sana.. i do believe ndio wanaendesha Al-qaeda


Mbona hata former US Secretary of State, Hillary Clinton alishakili kuwa Al Qaeda wanafadhiliwa na CIA. Until then, ndipo akili yamgu ilifunguka na kuona kila kitu hapa duniani ni planned, mambo hayatokei yenyewe tu...
 
Mbona hata former US Secretary of State, Hillary Clinton alishakili kuwa Al Qaeda wanafadhiliwa na CIA. Until then, ndipo akili yamgu ilifunguka na kuona kila kitu hapa duniani ni planned, mambo hayatokei yenyewe tu...

sasa kuna watu hawataki hata kufikiria mkuu, kweli kabisa mambo kama haya hayatokei tu hivi hivi
 

Kweli kabisa, inabidi tubadilike nasi kwani miaka hii siyo ya kipindi kile cha 60's na 70's.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…