Kwahiyo huyu Simba ana kipaji kuliko wasanii wetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo huyu Simba ana kipaji kuliko wasanii wetu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ni mtu halisi!! Najuaga ni robot.
Na mie ndo natakaga kujua hilo.Na ile ya simba anajigeuza kichwa je?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huku ata tukisema tumlipe msanii mamilioni hizo filamu zinaingiza bei tsh ngapi unakuta filamu zima mapato yake ni million 6 sasa mnagawanaje na actors/actress wakutosha tu.. mnaishia kupeana laki na nusu kila mtu apite hivi..Wenzetu wanazijua haki zao hata wanaotoa kazi wanajua lazima walipe vizuri siyo kama bongo mtu anapewa bia mbili safari na mishkaki mitatu anaingizwa kwenye kipande cha film watu wanaenda kupiga hela yeye anaachwa kula vumbi mtaani.
Mleta mada shukrani kwa historia nzuri.
Ahsanteeee, kucheka na kutabasamu ndo hulka yangu.Cjui kwanni huwa unapend kucheka asee,, koment zako nying kweny story tofauti tofaut hum jf lazima uweke emoj za kucheka,, nakupend bure #cocastic huna baya mwaya
Ahsanteeee, kucheka na kutabasamu ndo hulka yangu.
Nakupenda pia mwayaaa
[emoji8][emoji8][emoji8]One love coc,,
Wale ni MGM kama sijakoseaNa ile ya simba anajigeuza kichwa je?
Metro Goldwyn Mayer. Ila sauti inayotumika ni ya tiger, simba ana sauti mbaya na haitoi kiholela
Alipata hela kidogo sana na sio mtu famous wa kujionyesha. Ni kama dada wa tiki ya Nike (swoosh) aliyeiuza dola 35 akiwa designer chuo. Kwa sasa ile logo pekee ina thamani zaidi ya $20 billionUtakuta Jeni kawa tajiri kwa kazi hiyo tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ile itakuwa yanga walitaka kumnyonga
Aende akadai chenchiAlipata hela kidogo sana na sio mtu famous wa kujionyesha. Ni kama dada wa tiki ya Nike (swoosh) aliyeiuza dola 35 akiwa designer chuo. Kwa sasa ile logo pekee ina thamani zaidi ya $20 billion
Ile itakuwa yanga walitaka kumnyongaHa ha ha dadeki.
.. na BrazzersNazikubali movies zao na wale dream line, Lions gate
Anamzidi Mkojani?Kwahiyo huyu Simba ana kipaji kuliko wasanii wetu?