Mfahamu Juma Jangalu anayedaiwa kuuawa na wafanyakazi wa OYA

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936

Huyu ndiye marehemu Juma Jangalu, aliyekuwa mfanyabiashara wa korosho kwa kutembeza mtaani, na pia alimiliki duka hilo hapo pichani.

Huyu ndiye aliyeuawa na wakusanya madeni wa kampuni ya mikopo ya OYA huko Mlandizi.

Juma hakuwa amewakopa OYA bali ni mkewe ndiye aliyekopa OYA tena bila kumshirikisha mumewe. Baada ya mambo kuwa magumu, mke alikimbia nyumbani kuwakwepa OYAOYA walipofika wakamvaa mumewe kama madalali wa mahakama wa Yono Auction Mart.

Soma Pia:
 
Mwanamke akikopa bila ruhusa ya mumewe,ujue huyo ni Malaya muuza Kei yake.

Na wakija kumfuata wanaomdai toa ushirikiano wamkamate waende wakamnyandue kufidia pesa yao.

Hakuna namna kwenye hili.

Adinywe adinywe adinywe kama yule binti wa Yombo na hata maji ya kunywa asipewe,adinywe tu.
 
Jina la kampuni limekaa kishari na kihuni, eti kampuni inaitwa "OYA".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…